ACT wametangaza tarehe 26/06, wiki moja kabla ya Chadema. Unaweza kuona hapo jinsi Chadema wanavyofanya utoto.
Washiriki wamealikwa kwa kadi , unafikiri zimeanza kutengenezwa jana ? Washiriki wamekuwa na taarifa wiki tatu zilizopita , mtafute mzee wa Dar muulize alipewa taarifa lini...
Dr Slaa aliishatwambia wiki mbili zilizopita kuwa hana ilani wala sera ya kuwaambia watanzania kwa sasa mpaka baada ya mkutano mkuu wa Chadema.Hivyo kumsikiliza asiye na jibu ni kupoteza muda tu, maana atarudia tu story za kila siku, ata kabla hajaongea mtu yeyote anayefuatilia siasa tayari anajua Dr Slaa atakayoongea,ni yale yale ya kila siku ukiongeza na suala la bunge la jana na leo.
Na kuhusu nia kwani nani hajui kuwa Dr Slaa ana nia ya urais toka 2010?ni utoto tu wa kisiasa ,mkikua mtaacha.
Endeleeni sie tunawaangalia tu.Wote wake zetu, wake wanapogombana ni jukumu letu kuwaweka sawa.
Unalia nini sasa? Leo ACT ndio wameomba msaada wa kupata live CH10 na Azam .......acheni kulia , ingekuwaje ingekuwa ni mkutano wa hadhara ?
Unawaza ngono na uzinzi tu kama Supreme leader ......
Kumbe na Supreme nae yupo hivyo?nilikuwa najua tu ya Dr Slaa na mke wa mtu na ya Mbowe kumzawadia mchepuko ubunge wa viti maalum.Kwa wote kuwa hivi ni ishara kuwa huko Chadema hakuna maadili
Jiongeze kidogo .......
Unawaza ngono na uzinzi tu kama Supreme leader .....
Kumbe na Supreme nae yupo hivyo?nilikuwa najua tu ya Dr Slaa na mke wa mtu na ya Mbowe kumzawadia mchepuko ubunge wa viti maalum.Kwa wote kuwa hivi ni ishara kuwa huko Chadema hakuna maadili
Lugha za taarabu hizi,naona vidole juuu
Kumbe mlianza na mungu!, basi ujue hakuna kitu kwa sababu huyo mungu sii lolote sii chochote mbele ya Mungu!, labda kama mgeanza na Mungu, lakini kama mlianza na mungu!, imekula kwenu!.Tulianza na mungu,Tupo na mungu na tutamaliza na mungu..
Sasa huyu padri mwizi wa wake za watu ataongea nini cha maana?kwanza atueleze kwanin aliacha upadri
Sasa huyu padri mwizi wa wake za watu ataongea nini cha maana?kwanza atueleze kwanin aliacha upadri
Tuwe wakweli tu, unalionaje hili la slaa baada ya ZZK kutangaza mkutano wao pale mwembeyanga? Hawatalala usingizi mwaka huu, Zito Mzito kweli.......
NASHUKURU SANA
CHANNEL TEN; BIG UP..................................................................
NYIE NI WAZALENDO WA KWELI; HII NDO CHANNEL TEN YA KINA KIBONDE , NYANGASA N,K
ACT - NDO HABARI YA DAR
CHADEMA PELEKA SHMABA ARUSHA NA KILIMANJARO;
WANATAKA KUOKOA FISADI SABODO NA ACC YAKE YA USWISS NA MBOWE .
MASIKIO YOTE MWEMBEYANGA
![]()
Kwani ni mashindano? Kwenye mdahalo mbona Slaa alikimbia? Huyo Paroko hana uwezo wa kupambana na Msomi Zitto!
Slaa size yake ni Mch Ngwajima ,Mch Lwakatale ,Mch Mwingila
Dr.Slaa na CHADEMA , they have a very good strategy hasa kuhusiana na CCM na kamati kuu yao kesho hiyo , so maamuzi ya CCM hayana impact kubwa .....