Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Wao kama wao sasa wameridhia CCM ikae madarakani na sasa wanaikubali impliedly. Kwa ni wazi kabisa wanaona CCM haina mbadala wa kuig'oa.
Walimuona JPM kama kikwazo kwa siasa zao ndio maana wakawa hawamkubali. Maana kuna mambo yao ya ajabu ajabu aliyadhibiti.
Kwa jinsi wanavyokenua na kufurahi kwa sasa wameshakubali CCM itawale milele. Kama wapinzani nafikiri wamekubali kuwa CCM ndio inafaa kuongoza.
Ndio maana hawana cha kukosoa juu ya CCM kushindwa kuleta maendeo na kutatua kero za wananchi, bali wanakosoa jinsi hayati JPM alivyodhibiti wakwepa kodi, majambazi na Wahujumu Uchumi.
Walimuona JPM kama kikwazo kwa siasa zao ndio maana wakawa hawamkubali. Maana kuna mambo yao ya ajabu ajabu aliyadhibiti.
Kwa jinsi wanavyokenua na kufurahi kwa sasa wameshakubali CCM itawale milele. Kama wapinzani nafikiri wamekubali kuwa CCM ndio inafaa kuongoza.
Ndio maana hawana cha kukosoa juu ya CCM kushindwa kuleta maendeo na kutatua kero za wananchi, bali wanakosoa jinsi hayati JPM alivyodhibiti wakwepa kodi, majambazi na Wahujumu Uchumi.