Ni dakika 5 za Lowassa

Ni dakika 5 za Lowassa

AlhamduliLlah, mie mzima wa afya tele.

Ninakuombea na wewe uzima na afya.

Lowassa hali yake kiafya hamruhusu kabisa kuongoza hata nyumba kumi, wach nchi.

Tuwache ushabiki wakijinga tunaongelea watu zaidi ya million 45.

Isitoshe, kuumwa kuna kuna kuumwa magonjwa amabyo yanajulikana kabisa haya hayana madhara na yanatibika na ya kupita tu, lakini kwa Lowassa, hebu jisomee hapa chini:

Requires a medical diagnosis
Parkinson's often starts with a tremor in one hand. Other symptoms are slow movement, stiffness, and loss of balance.
People may experience:
Tremor: can be postural, can occur at rest, in the hands, or limbs
Muscular: difficulty standing, difficulty walking, difficulty with bodily movement, involuntary movements, muscle rigidity, muscle twitch, problems with coordination, slow bodily movement, stiff muscles, or slow shuffling gait
Cognitive: amnesia, confusion in the evening hours, dementia, or difficulty thinking and understanding
Sleep: daytime sleepiness, early awakening, nightmares, restless sleep, or sleep disturbances
Sensory: distorted sense of smell, loss in contrast sensitivity, or loss of smell
Speech: impaired voice, soft speech, or voice box spasms
Facial: jaw stiffness or reduced facial expression
Urinary: dribbling of urine or leaking of urine
Whole body: dizziness, fatigue, or poor balance
Psychological: anxiety or depression
Also common: apathy, blank stare, constipation, difficulty swallowing, drooling, falling, fear of falling, neck tightness, restlessness, small handwriting, trembling, unintentional writhing, or weight loss




Bado tu tumpe Urais mtu namna hiyo? No. No. No.



Ukimchaguwa mtu mwenye ugonjwa kama wa Lowassa itakuwa hujitendei haki wewe mwenyewe na watoto zetu ambao hawajafikia umri wa kupiga kura - Kumbuka hilo.

Halafu wananishangaza zaidi CUF, kauli mbiu yao ni "haki kwa wote" sasa kumchaguwa mgonjwa ni kutenda haki kwa wote? - Wanazidhulumu nafsi zao na wale wanaowatagemea kuwa watafanya maumuzi sahihi, hususan watoto ambao hawajafikia umri wa kupiga kura.

Afya inatoka kwa Allah pekee kama hayo mabaya uliyoyasema hapo juu yametoka moyoni basi hakika na wewe utalipwa hapahapa duniani siku zi mbali sana
 
Mbona dak 5 nyingi jamani,EL angeongea tu dk 1,tosha shida ya nini,hotuba ndefu na ahadi za danganya Toto tangia 1961 hadi Leo,no! No! EL tunamwelewa,tunamwamini,tumemkubali yeye apite tu atusalimie,atupungie mkono...tosha. Wanaotaka hadithi hadithi za chekechea avuke mto.
 
Team Pombe at work
 

Attachments

  • 1442172961874.jpg
    1442172961874.jpg
    61.6 KB · Views: 155
Wameshasema hata akiwa maiti watamchagua tu. Huko mbele watakuwa wanamshikilia asimame tu kama lisanamu watu wanamuona halafu "Pipozi pawaaaaaaaaaaaaaaa" mkutano kwisha. Haya ni mabadiliko ya aina yake mkuu. Let's wait and see.


Wee kadogo, pamoja na kuwa umenichekesha saana tu, lakini MABADILIKO YAPO PAAALE PAAALE.

Sisyemu imetufanya wachooov ilhal! We acha tu hata tuimbie sanamu PAWAAAA!

LONG LIVE LOWASSA
LONG LIVE UKAWA
 
Hawa wanaojifanya wanajua ugonjwa wa mkuu wakamjaribu kumgeiya waone..
 
Naomba muelewe kitu kimoja. Lowassa sio mgonjwa.

Lowassa ni mzima sana, na huu ugonjwa anautumia kama kisingizio ili asihutubie muda mrefu jukwaani.

Lowassa kama angekua hajiwezi asingepanda jukwaani halafu ahutubie dakika tatu dodoma

Lowassa kama angekua mgonjwa asingehutubia dakika saba tu kwenye siku yake kubwa ya ufunguzi

Lowassa haumwi ila anasingizia ugonjwa ili asihutubie muda mrefu kwa sababu zifuatazo:

Hawezi kumbuka kitu cha kutuambia

Hawezi kemea ufisadi
Hawezi kemea rushwa
Hawezi kemea ugaidi
Hawezi kemea uhalifu
Hawezi jua ilani ya chama
Hawezi sema ataukuzaje uchumi
Hawezi jitetea tuhuma zinazomkabili
Hawezi jibu mashambulizi
Hawezi kataa kua yeye ni fisadi papa
Hawezi sema kapataje mali zake
Hawezi sema ukweli
Hawezi penda masikini
Hawezi poteza sauti yake kujieleza kwa mafala
Hawezi sema kwa nini lazima awe Rais
Hawezi nyooshea kidole mafisadi wenzake
Hawezi sema atafanyaje kazi
Hawezi sema kalifanyia nini taifa
Hawezi sema Zero ni Zero
Hawezi kumbuka jina la mke wake

Yaani wewe na akili zako, mtu anakuja kukuoba kazi halafu kwenye interview anaona uvivu kujieleza kwako anakuambia kasome website halafu unamkubali?

Lowassa katudharau sana watanzania, ametuona mafala ndio maana hana ha time ya kuongea na sisi

Katuona kama watoto wadogo kutupa pipi na kutuahidi baiskeli mpya

Amka mtanzania ujitambue

Tunahitaji mtu atakaetuambia yeye mwenyewe kwa kinywa chake kwa nini tumchague

Ukawa wanatuletea sinema ya kihindi

Teh teh mipoooooooooooooooov inakutoka na bado.........wazee wa kujenga reli kwa kiwango cha lami kazi mnayo...wazee wa msituadhibu lazima muombe poo............... makunguni mtajibeba...............
 
Huyu mwizi mkuu wan chi na fisadi mkuu ambaye polisi, mgambo, takukuru, jeshi , wote wamemuacha anadunda mtaani Kwa miaka 8 na bado anadunda, anachukua fomu za uraisi na kugombea bila kukamatwa
Huyu kiongozi mwizi na fisadi ambaye hafai kuwa mgombea wa uraisi wa upinzani ila anafaa kuwa mwenyekiti wa kamati ya usalama ya bunge, na msimamizi wa miradi ya elimu ya serikali, na mbunge wa Monduli
Huyu ndie nayetaka kumchagua huyu.
 
CCM tulieni chini mujipange kwa 2020, mwaka huu waachieni wenyewe......mushasema mengi lkn hakuna kinachobadilika, wananchi wanataka mabadiliko.......mushawadanganya sana wananchi sasa mwisho umefika.
 
Naomba muelewe kitu kimoja. Lowassa sio mgonjwa.

Lowassa ni mzima sana, na huu ugonjwa anautumia kama kisingizio ili asihutubie muda mrefu jukwaani.

Lowassa kama angekua hajiwezi asingepanda jukwaani halafu ahutubie dakika tatu dodoma

Lowassa kama angekua mgonjwa asingehutubia dakika saba tu kwenye siku yake kubwa ya ufunguzi

Lowassa haumwi ila anasingizia ugonjwa ili asihutubie muda mrefu kwa sababu zifuatazo:

Hawezi kumbuka kitu cha kutuambia

Hawezi kemea ufisadi
Hawezi kemea rushwa
Hawezi kemea ugaidi
Hawezi kemea uhalifu
Hawezi jua ilani ya chama
Hawezi sema ataukuzaje uchumi
Hawezi jitetea tuhuma zinazomkabili
Hawezi jibu mashambulizi
Hawezi kataa kua yeye ni fisadi papa
Hawezi sema kapataje mali zake
Hawezi sema ukweli
Hawezi penda masikini
Hawezi poteza sauti yake kujieleza kwa mafala
Hawezi sema kwa nini lazima awe Rais
Hawezi nyooshea kidole mafisadi wenzake
Hawezi sema atafanyaje kazi
Hawezi sema kalifanyia nini taifa
Hawezi sema Zero ni Zero
Hawezi kumbuka jina la mke wake

Yaani wewe na akili zako, mtu anakuja kukuoba kazi halafu kwenye interview anaona uvivu kujieleza kwako anakuambia kasome website halafu unamkubali?

Lowassa katudharau sana watanzania, ametuona mafala ndio maana hana ha time ya kuongea na sisi

Katuona kama watoto wadogo kutupa pipi na kutuahidi baiskeli mpya

Amka mtanzania ujitambue

Tunahitaji mtu atakaetuambia yeye mwenyewe kwa kinywa chake kwa nini tumchague

Ukawa wanatuletea sinema ya kihindi

tumekusikia lakini kura yangu hakosi.
 
Pamoja na hoja zako nzuri lakini pia Lowasa ni mgonjwa sana najua kiundani kabisa kuhusu ugonjwa wake.

kwanza hata wewe hapo ni mgonjwa.na ugojwa sio kitu cha kujitakia.hata rais wenu msoga nae mgonjwa tu.mgombea wenu pombe alifata nn kwa babu loliondo?
 
Kuliko kushuhudia akina tibajuka,chengez,lukuviz,wasiriaz,ngelejaziaz,ndugaiz na system nzima yote ambayo ilifanikiwa kwa ustadi mkubwa kuwakumbatia mawaziri mizigo ni afadhali hata nichague punda kutinga ikulu.Kwahiyo kwa propaganda kama hizi mnazidi kudhihirisha kuwa Lowasa ni moto wa kuotea mbali.NNAPEZ kila mara alikuwa akihutubia ni lazima amnange babu a.k.a dr mihogo lakini tangu mmemnunua naona huyo NNAPEZ ameufyata,kulikoni?
 
Kuliko kushuhudia akina tibajuka,chengez,lukuviz,wasiriaz,ngelejaziaz,ndugaiz na system nzima yote ambayo ilifanikiwa kwa ustadi mkubwa kuwakumbatia mawaziri mizigo ni afadhali hata nichague punda kutinga ikulu.Kwahiyo kwa propaganda kama hizi mnazidi kudhihirisha kuwa Lowasa ni moto wa kuotea mbali.NNAPEZ kila mara alikuwa akihutubia ni lazima amnange babu a.k.a dr mihogo lakini tangu mmemnunua naona huyo NNAPEZ ameufyata,kulikoni?

Ccm sio wazima yaani wezi wote wanao .haki ya Mungu ni heri kupigia jiwe kuliko ccm.wamelibaka taifa sijui wanataka kurudi wafanye nini tena zaidi..ccm ilaaniwe na Baba wa taifa huko alipo aseme .Amina
 
Back
Top Bottom