AlhamduliLlah, mie mzima wa afya tele.
Ninakuombea na wewe uzima na afya.
Lowassa hali yake kiafya hamruhusu kabisa kuongoza hata nyumba kumi, wach nchi.
Tuwache ushabiki wakijinga tunaongelea watu zaidi ya million 45.
Isitoshe, kuumwa kuna kuna kuumwa magonjwa amabyo yanajulikana kabisa haya hayana madhara na yanatibika na ya kupita tu, lakini kwa Lowassa, hebu jisomee hapa chini:
Requires a medical diagnosis
Parkinson's often starts with a tremor in one hand. Other symptoms are slow movement, stiffness, and loss of balance.
People may experience:
Tremor: can be postural, can occur at rest, in the hands, or limbs
Muscular: difficulty standing, difficulty walking, difficulty with bodily movement, involuntary movements, muscle rigidity, muscle twitch, problems with coordination, slow bodily movement, stiff muscles, or slow shuffling gait
Cognitive: amnesia, confusion in the evening hours, dementia, or difficulty thinking and understanding
Sleep: daytime sleepiness, early awakening, nightmares, restless sleep, or sleep disturbances
Sensory: distorted sense of smell, loss in contrast sensitivity, or loss of smell
Speech: impaired voice, soft speech, or voice box spasms
Facial: jaw stiffness or reduced facial expression
Urinary: dribbling of urine or leaking of urine
Whole body: dizziness, fatigue, or poor balance
Psychological: anxiety or depression
Also common: apathy, blank stare, constipation, difficulty swallowing, drooling, falling, fear of falling, neck tightness, restlessness, small handwriting, trembling, unintentional writhing, or weight loss
Bado tu tumpe Urais mtu namna hiyo? No. No. No.
Ukimchaguwa mtu mwenye ugonjwa kama wa Lowassa itakuwa hujitendei haki wewe mwenyewe na watoto zetu ambao hawajafikia umri wa kupiga kura - Kumbuka hilo.
Halafu wananishangaza zaidi CUF, kauli mbiu yao ni "haki kwa wote" sasa kumchaguwa mgonjwa ni kutenda haki kwa wote? - Wanazidhulumu nafsi zao na wale wanaowatagemea kuwa watafanya maumuzi sahihi, hususan watoto ambao hawajafikia umri wa kupiga kura.
Afya inatoka kwa Allah pekee kama hayo mabaya uliyoyasema hapo juu yametoka moyoni basi hakika na wewe utalipwa hapahapa duniani siku zi mbali sana