Ni dakika 5 za Lowassa

Ni dakika 5 za Lowassa

Magufuli akitamka kuwa mafisadi wote waliotuhumiwa na taarifa za kamati za bunge watapekekwa mahakamani akianza na Lowasa, rostam, change, tibaijuka, kalasinga wa escrow,nk nitampa kura yangu. Mambo ya kuunda mahakama ya mafisadi ni usanii tu. Mahakama zilizoko zinatosha serikali yake iwe tu na ujasiri wa kutoangalia nyuso za watuhumiwa.
 
Hii nayo ni thread jf sasa imekuwa ni sehemu ya kuzungumza masuala binafsi ya watu
 
Labda niulize swali la changamoto kwann Lowassa amekua agenda kbwa kwa ccm?? Kwann wasi nadi Ilani yao? Kwanin wasieleze dhamira yao yaktmikia wananchi? Nauliza maana wanatmia nguvu kbwa kmnadi Lowassa kupitia vijana wao kmtusi,kuandamana, waigizaji kumiigiza, midahalo kjadili Lowassa tuu vipindi kwenye television kumudhihaki? Yule ni mzee who deserves respect ata kama ameasii ccm ila amewatumikia kwa mda murefu kwann mnamdhalilisha kiasi hicho?? Mpaka kumvua ubinadam wake kweli anasitihili fedhehea hiyo??? Mwisho niwasihii vijana wenzangu kna maisha baada ya uchaguzii tuepuke ktumika vibaya kama kaka yang polepole unamtusii mzee sawa na baba yako?? Si tanamaduni za kitanzania.
 
Don't involve gwajima!he is a prophet of doom, one of those false prophets who are many these days and they reap from poor ignorant peoples' problems.
 
Naomba muelewe kitu kimoja. Lowassa sio mgonjwa.

Lowassa ni mzima sana, na huu ugonjwa anautumia kama kisingizio ili asihutubie muda mrefu jukwaani.

Lowassa kama angekua hajiwezi asingepanda jukwaani halafu ahutubie dakika tatu dodoma

Lowassa kama angekua mgonjwa asingehutubia dakika saba tu kwenye siku yake kubwa ya ufunguzi

Lowassa haumwi ila anasingizia ugonjwa ili asihutubie muda mrefu kwa sababu zifuatazo:

Hawezi kumbuka kitu cha kutuambia

Hawezi kemea ufisadi
Hawezi kemea rushwa
Hawezi kemea ugaidi
Hawezi kemea uhalifu
Hawezi jua ilani ya chama
Hawezi sema ataukuzaje uchumi
Hawezi jitetea tuhuma zinazomkabili
Hawezi jibu mashambulizi
Hawezi kataa kua yeye ni fisadi papa
Hawezi sema kapataje mali zake
Hawezi sema ukweli
Hawezi penda masikini
Hawezi poteza sauti yake kujieleza kwa mafala
Hawezi sema kwa nini lazima awe Rais
Hawezi nyooshea kidole mafisadi wenzake
Hawezi sema atafanyaje kazi
Hawezi sema kalifanyia nini taifa
Hawezi sema Zero ni Zero
Hawezi kumbuka jina la mke wake

Yaani wewe na akili zako, mtu anakuja kukuoba kazi halafu kwenye interview anaona uvivu kujieleza kwako anakuambia kasome website halafu unamkubali?

Lowassa katudharau sana watanzania, ametuona mafala ndio maana hana ha time ya kuongea na sisi

Katuona kama watoto wadogo kutupa pipi na kutuahidi baiskeli mpya

Amka mtanzania ujitambue

Tunahitaji mtu atakaetuambia yeye mwenyewe kwa kinywa chake kwa nini tumchague

Ukawa wanatuletea sinema ya kihindi

Afadhali umenisaidia kufikisha ujumbe,,Nilipoandika mimi walikua wanaifuta futa na kuunganisha na thread nyingine

Kikubwa ujumbe umefika
 
Huna la maana kuongea sana hakunama.kinachotakiwa ni utekelezaji wa ahadi sio miaka hamsini ahadi zisizo tekelezeka.tumechoka ahadi za midomoni bilakitendo.
 
Unapoteza muda kutuletea ngonjela za miaka 47.
Watz wanataka mabadiriko.

Wanataka kuachana na chama cha majambazi
 
"maneno machache,kazi kubwa"
kauli hii inatumiwa sana na mheshimiwa nabii geordavie wa kisongo arusha.
Nami naamini ya kwamba lowasa,"maneno yake ni machache hayahitaji muda mwingi ila matokeo yake yataibadilisha tanzania kwa wema kabisa.
Mabadiliko,lowasa,lowasa,mabadiliko.
 
Mambo ya kuwashwa tena? Inaonekana haya mambo ya kuwashwa na kuingiliwa unayajua sana. Hongera zako.

Yaani mkiguswa kidogo tu "Ooh tulia dawa ikuingie" Dawa ya ufisadi ama nini hiyo? Muwapelekeage na mama zenu hiyo dawa nao ikawaingie. Lofa mkubwa!

calm down kaka....kuwashwa na dawa kuingia ni nahau za kawaida sana. usipanic. ngoja tusubiri siku 40 ziishe.
 
nimeona kanidharau, mimi ni lofa nitampa kura bila kinyongo kaka we hayakuhusu, kama unamuona hafai kampe kura yako makufuli.
 
Naomba muelewe kitu kimoja. Lowassa sio mgonjwa.

Lowassa ni mzima sana, na huu ugonjwa anautumia kama kisingizio ili asihutubie muda mrefu jukwaani.

Lowassa kama angekua hajiwezi asingepanda jukwaani halafu ahutubie dakika tatu dodoma

Lowassa kama angekua mgonjwa asingehutubia dakika saba tu kwenye siku yake kubwa ya ufunguzi

Lowassa haumwi ila anasingizia ugonjwa ili asihutubie muda mrefu kwa sababu zifuatazo:

Hawezi kumbuka kitu cha kutuambia

Hawezi kemea ufisadi
Hawezi kemea rushwa
Hawezi kemea ugaidi
Hawezi kemea uhalifu
Hawezi jua ilani ya chama
Hawezi sema ataukuzaje uchumi
Hawezi jitetea tuhuma zinazomkabili
Hawezi jibu mashambulizi
Hawezi kataa kua yeye ni fisadi papa
Hawezi sema kapataje mali zake
Hawezi sema ukweli
Hawezi penda masikini
Hawezi poteza sauti yake kujieleza kwa mafala
Hawezi sema kwa nini lazima awe Rais
Hawezi nyooshea kidole mafisadi wenzake
Hawezi sema atafanyaje kazi
Hawezi sema kalifanyia nini taifa
Hawezi sema Zero ni Zero
Hawezi kumbuka jina la mke wake

Yaani wewe na akili zako, mtu anakuja kukuoba kazi halafu kwenye interview anaona uvivu kujieleza kwako anakuambia kasome website halafu unamkubali?

Lowassa katudharau sana watanzania, ametuona mafala ndio maana hana ha time ya kuongea na sisi

Katuona kama watoto wadogo kutupa pipi na kutuahidi baiskeli mpya

Amka mtanzania ujitambue

Tunahitaji mtu atakaetuambia yeye mwenyewe kwa kinywa chake kwa nini tumchague

Ukawa wanatuletea sinema ya kihindi

Gamba at work
 
Mtu anataka kuwa rais wakati hawezi kuongea, unaakili kweli,
 
Back
Top Bottom