Naomba muelewe kitu kimoja. Lowassa sio mgonjwa.
Lowassa ni mzima sana, na huu ugonjwa anautumia kama kisingizio ili asihutubie muda mrefu jukwaani.
Lowassa kama angekua hajiwezi asingepanda jukwaani halafu ahutubie dakika tatu dodoma
Lowassa kama angekua mgonjwa asingehutubia dakika saba tu kwenye siku yake kubwa ya ufunguzi
Lowassa haumwi ila anasingizia ugonjwa ili asihutubie muda mrefu kwa sababu zifuatazo:
Hawezi kumbuka kitu cha kutuambia
Hawezi kemea ufisadi
Hawezi kemea rushwa
Hawezi kemea ugaidi
Hawezi kemea uhalifu
Hawezi jua ilani ya chama
Hawezi sema ataukuzaje uchumi
Hawezi jitetea tuhuma zinazomkabili
Hawezi jibu mashambulizi
Hawezi kataa kua yeye ni fisadi papa
Hawezi sema kapataje mali zake
Hawezi sema ukweli
Hawezi penda masikini
Hawezi poteza sauti yake kujieleza kwa mafala
Hawezi sema kwa nini lazima awe Rais
Hawezi nyooshea kidole mafisadi wenzake
Hawezi sema atafanyaje kazi
Hawezi sema kalifanyia nini taifa
Hawezi sema Zero ni Zero
Hawezi kumbuka jina la mke wake
Yaani wewe na akili zako, mtu anakuja kukuoba kazi halafu kwenye interview anaona uvivu kujieleza kwako anakuambia kasome website halafu unamkubali?
Lowassa katudharau sana watanzania, ametuona mafala ndio maana hana ha time ya kuongea na sisi
Katuona kama watoto wadogo kutupa pipi na kutuahidi baiskeli mpya
Amka mtanzania ujitambue
Tunahitaji mtu atakaetuambia yeye mwenyewe kwa kinywa chake kwa nini tumchague
Ukawa wanatuletea sinema ya kihindi