Hao ni kwa siye wakongwe kwa sasa ni JotiVipi Mr. Bean na Charlie Chaplin ?
Mkojani kwangu ni the best
Kenya ni makohaa
Noma sana mkuu
Huyu jamaa MKOJANI bongo nzima hakuna kama yy
Joti na mkojani wako vizuri sana!
Comedy yao ni kipaji halisi. Kwa kweli wanaweza. Usipocheka basi una matatizo ya afya! — probably huna bandama.
Kuna wajinga wengine huwa hata siwaelewi. Mfano yule wanamuita sijui idriss!!
Huwa sifahamu hata anachekesha nini!! Naona anakenua kenua tu ovyo!
Ng'ombeeeeeeeeeeh wheeeeeweeeeeeeeeeeeeeeee
Jamaaaa namkubaliii sana
Anaitwa KAGODO AKA MC WHITE, pale New Mwanza hotelMaisha kwasasa yamekuwa so boring and stressful.
Nadhani ndio maana industry ya comedy inaonekana kukua sana siku za hivi karibuni.
Je, kwako ni Comedian gani bora unayependa kumsikiliza au kumwangalia.
Any recommendations.
Mimi mtu akiniambia anachekeshwa na. Masanja simuelewiNaungaaa mkonoooooo hojaaaaaaaaa
Jamaaa anajuaaa aiseeeeh