Vicenza
JF-Expert Member
- Oct 5, 2019
- 970
- 1,465
Wiki iliyopita nili tafuta fundi mtaani aniwekee double socket Kwa room ambayo nilikuwa naitaji nyongeza ya socket ya kuweka tv ukutani, Sasa fundi akaja usiku sa mbili kupanda darini ,ilibidi nimsamamie adi alipo maliza ,akanijulisha tayr naweza jaribu kuweka kifaa Cha umeme kama Ina fanya kazi,kwel ikawa inafanya kazi,
Usiku nikiwa zangu nacheki TV nikasema ngoja nizime taa ya ukutani Ili niendelee kupata burudani, matokeo yake nataka kuzima taa ya ukutani na tv inazima ,nikasema labda.si kwel ngoja Tena niwashe taa ,Ile nawasha Tena na tv Ina waka ,astagrafulai,
Nikamtafuta fundi kwa simu hapokei Tena ,piga sana simu Kila siku fundi hapokei adi wiki inaisha fundi hapokei simu ,
Habari yangu ikaishia hapo.
Usiku nikiwa zangu nacheki TV nikasema ngoja nizime taa ya ukutani Ili niendelee kupata burudani, matokeo yake nataka kuzima taa ya ukutani na tv inazima ,nikasema labda.si kwel ngoja Tena niwashe taa ,Ile nawasha Tena na tv Ina waka ,astagrafulai,
Nikamtafuta fundi kwa simu hapokei Tena ,piga sana simu Kila siku fundi hapokei adi wiki inaisha fundi hapokei simu ,
Habari yangu ikaishia hapo.