rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Wakuu
mnakumbuka week iliyopita nilileta mada hapa jamvini inahusu kupendana na mwanamke msomi,wote mliochangia nilisoma na kuelewa comment zena na nashukuru sana kwa sababu kuna mambo mengi nilijifunza
uhusiano wangu na yule mwanamke umeendelea kukua siku baada ya siku,nilikuwa sijui kumbe yule mwanamke anatoka familiya ya kitajiri sana halafu ana nyumba nzuri sana na ya kifahari sehemu maarufu
mimi nina kajibanda kangu mahali uswahilini lakini hapendi kuishi pale,anataka nihamie kwake eti ile nyumba ya kwake itakuwa ya kwangu,nimejaribu kuongea na baadhi ya ndugu zangu ambao nawaamini wameniambia sio vizuri mwanaume kuhamia kwa mwanamke kwani nawadhalilisha ukoo wangu manake nakuwa kama nimeolewa na yule mwanamke
mwingine alisema nitakuwa sina say yaani kila kitu ni ndio mama
Jf ni jukwaa la magreat thinker naomba ushauri wakuu
mnakumbuka week iliyopita nilileta mada hapa jamvini inahusu kupendana na mwanamke msomi,wote mliochangia nilisoma na kuelewa comment zena na nashukuru sana kwa sababu kuna mambo mengi nilijifunza
uhusiano wangu na yule mwanamke umeendelea kukua siku baada ya siku,nilikuwa sijui kumbe yule mwanamke anatoka familiya ya kitajiri sana halafu ana nyumba nzuri sana na ya kifahari sehemu maarufu
mimi nina kajibanda kangu mahali uswahilini lakini hapendi kuishi pale,anataka nihamie kwake eti ile nyumba ya kwake itakuwa ya kwangu,nimejaribu kuongea na baadhi ya ndugu zangu ambao nawaamini wameniambia sio vizuri mwanaume kuhamia kwa mwanamke kwani nawadhalilisha ukoo wangu manake nakuwa kama nimeolewa na yule mwanamke
mwingine alisema nitakuwa sina say yaani kila kitu ni ndio mama
Jf ni jukwaa la magreat thinker naomba ushauri wakuu