ni busara kuhamia kwa mwanamke?

ni busara kuhamia kwa mwanamke?

Aise Aise wacha kabisa hiyo kitu. Achaneni na nyumba zenu kaanzeni maisha mapya!! Mwambie kama ni nyumba ya urithi au alijenga mpangishe zote (yako na yake) mkapange wakati mkitefuta ya kwenu ya kudumu!! Heshima mbele mkuu!! Usipoteze heshima yako ya kuwa mkuu wa nyumba (the head of the house). Kama kweli anakupenda basi atakubaliana na wazo lako la kuwa sehemu independent kabisa na makazi yake. Mimi naamini kama anakupenda hata hapo kwako uswahilini atakaa tu!! Angryyyyyyyyyyyyyyyyy!! Mapenzi ya masharti siwezi.
 
Si hiyo red tu tena ilikuwa saa tisa usiku kamata kibegi chake tupa kuleeeeeeeeee
aaaaaah Dena Amsi!!!!ulifanya kosa sana!!yaani mtoto wa mwanamke mwenzio unamtimua usiku akibakwa na vibaka huoni utakuwa umemsababishia!!!ungesubiri kupambazuke ukamchukulie hela benki ya kuanzia maisha harafu ndo muagane hata kwa kiss anaondoka!!usiku!?
 
Last edited by a moderator:
aaaaaah Dena Amsi!!!!ulifanya kosa sana!!yaani mtoto wa mwanamke mwenzio unamtimua usiku akibakwa na vibaka huoni utakuwa umemsababishia!!!ungesubiri kupambazuke ukamchukulie hela benki ya kuanzia maisha harafu ndo muagane hata kwa kiss anaondoka!!usiku!?


Ha ha ha hiyo bank account alikuwa nayo basi??? Yaani nikukaribishe halafu uniletee mwanamke ndani ya nyumba yangu eti nikuchekee cheza sana weye...........ha ha ha kamata kibegi tupa kuleeeeeeeee
 
Back
Top Bottom