Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Kwa jinsi hali ya nchi kiutawala na kimaendeleo inavyokwenda,nionavyo twendako ni giza tupu ,sasa nikifikiria ile hali ya wazee wetu wa zamani ,tuseme baada ya kipindi cha utumwa ambapo bado wazungu waliendelea kutawala na nisikiavyo nchi ilikuwa nzuri na sheria na hali ya amani kwa wananchi na mali zao ilikuwa ni ya kuridhisha sana ,watu wakilala milango wazi ikafikia milango hufungwa madirisha wazi.
Ila baada ya kupata UHURU ikaondoka kulala madirisha wazi na kufikia hatua za madirisha na milango ya raia wa kawaida kuwa kama madirisha ya mahakamani au tuseme nyumba za siku hizi hazitafautiani na jela kwa style ya milango na madirisha ,nondo tupu hata umbu inakuwa mtihani kupita. Kumbuka tupo katika kujitawala wenyewe Raisi akiwa Kikwete na wengine waliopita.
Je ni lipi litakaloweza kukufanya usione bora kurudi mtawala mzungu kwani imeonekana hata kazini ikiwa kiongozi ni mzungu basi mambo na taratibu huwa nzuri na kila mmoja anazifuata bila ya manung'uniko.
Ila baada ya kupata UHURU ikaondoka kulala madirisha wazi na kufikia hatua za madirisha na milango ya raia wa kawaida kuwa kama madirisha ya mahakamani au tuseme nyumba za siku hizi hazitafautiani na jela kwa style ya milango na madirisha ,nondo tupu hata umbu inakuwa mtihani kupita. Kumbuka tupo katika kujitawala wenyewe Raisi akiwa Kikwete na wengine waliopita.
Je ni lipi litakaloweza kukufanya usione bora kurudi mtawala mzungu kwani imeonekana hata kazini ikiwa kiongozi ni mzungu basi mambo na taratibu huwa nzuri na kila mmoja anazifuata bila ya manung'uniko.