mvi au upara unaweza kurithiwa kutoka kwa wazazi na wala c sign ya busara na hekima........tena ukiwaona wenye mvi au upara jiadhari nao kabisaaaa maana wengi ni matapeli wa mjini.Ni kweli si kila mwenye upara ana busara. Mwenye upara mmoja aliendesha gari kizembe akaua watu huku akiwa hana leseni na gari lake halikuwa na bima, akatozwa faini na mahakama. wapo pia wenye mvi wengi tu katika uoungozi lakini wanashindwa kutatua matatizo yetu ya kiuchumi. Hapo mkuu unasemaje? Tafakali.
hapo hamna ubora maana hayo yote maradhii..........Ni bora mwenye matege kuliko mwenye kitambi.......