Ni bora Freeman Mbowe ajiuzulu ili kulinda heshima yake

Habari zenu ndugu zangu. Leo nimekuja na ushauri mzuri kwa mjomba wangu Mbowe ili umsaidie kulinda heshima yake kidogo aliyobaki nayo.

Najua ni ngumu kukuubali ushauri wangu, na ukizingatia ushauri huu ni wa kumnyanganya tonge mdomoni kumpa mtu mungine, ila kama akiuangalia kwa makini ushauri huu atagundua kuwa ni ushauri mzuri na wa kumjenga zaidi.

Kwani ataonekana kuwa yeye anapigania masilahi ya nchi na wananchi kwa ujumla, sio kiti chake, cheo chake au tumbo lake kama inavyofikiriwa na wengi sasa hivi.

Ki ukweli mjomba wetu huyu amekuwa akihusishwa na tuhuma au kashifa mbali mbali ambazo kwa heshima yake sio vizuri kuziandika hapa.

Sasa kutokana na hizo kashifa kuwa nyingi ukijumlisha na haya ma kesi kesi yanayomuandama sasa, ni vizuri akajiuzulu ili kulinda heshima yake aliyobaki nayo sasa.

Akumbuke kuwa kujiuzulu kwake haitokuwa mwisho wa yeye kujijenga zaidi kisiasa akiwa nje ya kiti, maana wapo watu ambao walijiuzulu kwa makosa yasiokuwa ya kweli au yasiokuwa ya kwao na kujizolea umaarufu na heshima zaidi ya zile walizokuwa nazo kabla ya kujiuzulu.

Mfano wa watu hao ni formerly prime minister wa Uingereza Theresa May. Rais mstaafu wa Tanzania na mzee wetu Ally Hassan Mwinyi pia aliwahi kujiuzulu kwa mauaji yaliofanyika bila amri yake, na kwa hivyo ikamjengea heshima na kupelekea kuwa Rais wa nchi mbili. Yan raisi wa Zanzibar na wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa hiyo kujizulu kwako kutokana na hizo kashfa mbalimbali zinazokuandama iwe za kweli au za uongo kutakujengea heshima zaidi na kuwa miongoni mwa viongozi waliojiuzulu bila shuruti kutoka kwa mtu yoyote.

Najua wapo wanaoishi kupitia mfuko wako kwa kuandika propaganda za hovyo, na hao hawatakubali ujiuzu ili wafe njaa na familia zao, lkn kumbuka Waswahili wanasema "Muungwana akivuliwa nguo huchutama" kwahiyo kwa vile ushavuliwa nguo na makashifa mbali mbali inabidi tu uchutame. Jumapili njema wazalendo wenzangu.

Vipi huyu aliyeingia kwa kudra za Mola huna neno lolote la ushauri kwake?
 
Habari zenu ndugu zangu. Leo nimekuja na ushauri mzuri kwa mjomba wangu Mbowe ili umsaidie kulinda heshima yake kidogo aliyobaki nayo.

Najua ni ngumu kukuubali ushauri wangu, na ukizingatia ushauri huu ni wa kumnyanganya tonge mdomoni kumpa mtu mungine, ila kama akiuangalia kwa makini ushauri huu atagundua kuwa ni ushauri mzuri na wa kumjenga zaidi.

Kwani ataonekana kuwa yeye anapigania masilahi ya nchi na wananchi kwa ujumla, sio kiti chake, cheo chake au tumbo lake kama inavyofikiriwa na wengi sasa hivi.

Ki ukweli mjomba wetu huyu amekuwa akihusishwa na tuhuma au kashifa mbali mbali ambazo kwa heshima yake sio vizuri kuziandika hapa.

Sasa kutokana na hizo kashifa kuwa nyingi ukijumlisha na haya ma kesi kesi yanayomuandama sasa, ni vizuri akajiuzulu ili kulinda heshima yake aliyobaki nayo sasa.

Akumbuke kuwa kujiuzulu kwake haitokuwa mwisho wa yeye kujijenga zaidi kisiasa akiwa nje ya kiti, maana wapo watu ambao walijiuzulu kwa makosa yasiokuwa ya kweli au yasiokuwa ya kwao na kujizolea umaarufu na heshima zaidi ya zile walizokuwa nazo kabla ya kujiuzulu.

Mfano wa watu hao ni formerly prime minister wa Uingereza Theresa May. Rais mstaafu wa Tanzania na mzee wetu Ally Hassan Mwinyi pia aliwahi kujiuzulu kwa mauaji yaliofanyika bila amri yake, na kwa hivyo ikamjengea heshima na kupelekea kuwa Rais wa nchi mbili. Yan raisi wa Zanzibar na wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa hiyo kujizulu kwako kutokana na hizo kashfa mbalimbali zinazokuandama iwe za kweli au za uongo kutakujengea heshima zaidi na kuwa miongoni mwa viongozi waliojiuzulu bila shuruti kutoka kwa mtu yoyote.

Najua wapo wanaoishi kupitia mfuko wako kwa kuandika propaganda za hovyo, na hao hawatakubali ujiuzu ili wafe njaa na familia zao, lkn kumbuka Waswahili wanasema "Muungwana akivuliwa nguo huchutama" kwahiyo kwa vile ushavuliwa nguo na makashifa mbali mbali inabidi tu uchutame. Jumapili njema wazalendo wenzangu.
Mwenzako family yake inatajwa kwenye Uhuru wa Nchi hii!!..Jina lake ni zao la Uhuru wetu!!..alafu unasema nini?!!..Unajua heshima Ndugu Mwandishi?!!..Kama yeye ni miongoni waanzilishi wa chama hicho unataka nini tena!!..Au unadhani yeye hadi wakati huu amekosa nini ndani na njee ya nchi hii Ndugu mwandishi?!!..Umesikia na kumjua huyu Mbowe kwenye mitandao tu au kwenye siasa pekee?!!..Unajua yeye ni mmoja wa wafanyabiashara wazawa wa siku Nyingi?!!.. Ndugu mwandishi hebu Fikiria ulichotaka kutueleza vizuri!!!
 
Ninyi ndio mashetani ya nchi hii yaknayofurahia udhalimu na yameshiba kwa wizi kwa wananchi. Wewe ni jitu gani unayefurahia ushenzi unaoendelea nchi hii ambao Mbowe na wengine wamejitolea maisha yao kupambana nao! Mlozoea kushiba kwa makombo ya Magufuli mtakufa na kuwa mashetani wa nchi hii
Ama kweli Mbowe anawapeleka puta. Endeleeni kuhangaika na Kamanda Mbowe badala ya kutafuta chakula cha watoto wenu. Kwa taarifa yenu, sisi CHADEMA ndo tutaamua link Mbowe apumzike na so wanalumumba.
 
Mwenzako family yake inatajwa kwenye Uhuru wa Nchi hii!!..Jina lake ni zao la Uhuru wetu!!..alafu unasema nini?!!..Unajua heshima Ndugu Mwandishi?!!..Kama yeye ni miongoni waanzilishi wa chama hicho unataka nini tena!!..Au unadhani yeye hadi wakati huu amekosa nini ndani na njee ya nchi hii Ndugu mwandishi?!!..Umesikia na kumjua huyu Mbowe kwenye mitandao tu au kwenye siasa pekee?!!..Unajua yeye ni mmoja wa wafanyabiashara wazawa wa siku Nyingi?!!.. Ndugu mwandishi hebu Fikiria ulichotaka kutueleza vizuri!!!
Nimekusoma mkuu, ila mimi nilikuwa nashauri tu kama vile ww unaweza kumshauri mtu yoyote. Japo anaweza kuuchukua ushauri wang kama ulivyo au kuuwacha.
 
Habari zenu ndugu zangu. Leo nimekuja na ushauri mzuri kwa mjomba wangu Mbowe ili umsaidie kulinda heshima yake kidogo aliyobaki nayo.

Najua ni ngumu kukuubali ushauri wangu, na ukizingatia ushauri huu ni wa kumnyanganya tonge mdomoni kumpa mtu mungine, ila kama akiuangalia kwa makini ushauri huu atagundua kuwa ni ushauri mzuri na wa kumjenga zaidi.

Kwani ataonekana kuwa yeye anapigania masilahi ya nchi na wananchi kwa ujumla, sio kiti chake, cheo chake au tumbo lake kama inavyofikiriwa na wengi sasa hivi.

Ki ukweli mjomba wetu huyu amekuwa akihusishwa na tuhuma au kashifa mbali mbali ambazo kwa heshima yake sio vizuri kuziandika hapa.

Sasa kutokana na hizo kashifa kuwa nyingi ukijumlisha na haya ma kesi kesi yanayomuandama sasa, ni vizuri akajiuzulu ili kulinda heshima yake aliyobaki nayo sasa.

Akumbuke kuwa kujiuzulu kwake haitokuwa mwisho wa yeye kujijenga zaidi kisiasa akiwa nje ya kiti, maana wapo watu ambao walijiuzulu kwa makosa yasiokuwa ya kweli au yasiokuwa ya kwao na kujizolea umaarufu na heshima zaidi ya zile walizokuwa nazo kabla ya kujiuzulu.

Mfano wa watu hao ni formerly prime minister wa Uingereza Theresa May. Rais mstaafu wa Tanzania na mzee wetu Ally Hassan Mwinyi pia aliwahi kujiuzulu kwa mauaji yaliofanyika bila amri yake, na kwa hivyo ikamjengea heshima na kupelekea kuwa Rais wa nchi mbili. Yan raisi wa Zanzibar na wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa hiyo kujizulu kwako kutokana na hizo kashfa mbalimbali zinazokuandama iwe za kweli au za uongo kutakujengea heshima zaidi na kuwa miongoni mwa viongozi waliojiuzulu bila shuruti kutoka kwa mtu yoyote.

Najua wapo wanaoishi kupitia mfuko wako kwa kuandika propaganda za hovyo, na hao hawatakubali ujiuzu ili wafe njaa na familia zao, lkn kumbuka Waswahili wanasema "Muungwana akivuliwa nguo huchutama" kwahiyo kwa vile ushavuliwa nguo na makashifa mbali mbali inabidi tu uchutame. Jumapili njema wazalendo wenzangu.
Kachukue 7000 kule lumumba
 
Habari zenu ndugu zangu. Leo nimekuja na ushauri mzuri kwa mjomba wangu Mbowe ili umsaidie kulinda heshima yake kidogo aliyobaki nayo.

Najua ni ngumu kukuubali ushauri wangu, na ukizingatia ushauri huu ni wa kumnyanganya tonge mdomoni kumpa mtu mungine, ila kama akiuangalia kwa makini ushauri huu atagundua kuwa ni ushauri mzuri na wa kumjenga zaidi.

Kwani ataonekana kuwa yeye anapigania masilahi ya nchi na wananchi kwa ujumla, sio kiti chake, cheo chake au tumbo lake kama inavyofikiriwa na wengi sasa hivi.

Ki ukweli mjomba wetu huyu amekuwa akihusishwa na tuhuma au kashifa mbali mbali ambazo kwa heshima yake sio vizuri kuziandika hapa.

Sasa kutokana na hizo kashifa kuwa nyingi ukijumlisha na haya ma kesi kesi yanayomuandama sasa, ni vizuri akajiuzulu ili kulinda heshima yake aliyobaki nayo sasa.

Akumbuke kuwa kujiuzulu kwake haitokuwa mwisho wa yeye kujijenga zaidi kisiasa akiwa nje ya kiti, maana wapo watu ambao walijiuzulu kwa makosa yasiokuwa ya kweli au yasiokuwa ya kwao na kujizolea umaarufu na heshima zaidi ya zile walizokuwa nazo kabla ya kujiuzulu.

Mfano wa watu hao ni formerly prime minister wa Uingereza Theresa May. Rais mstaafu wa Tanzania na mzee wetu Ally Hassan Mwinyi pia aliwahi kujiuzulu kwa mauaji yaliofanyika bila amri yake, na kwa hivyo ikamjengea heshima na kupelekea kuwa Rais wa nchi mbili. Yan raisi wa Zanzibar na wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa hiyo kujizulu kwako kutokana na hizo kashfa mbalimbali zinazokuandama iwe za kweli au za uongo kutakujengea heshima zaidi na kuwa miongoni mwa viongozi waliojiuzulu bila shuruti kutoka kwa mtu yoyote.

Najua wapo wanaoishi kupitia mfuko wako kwa kuandika propaganda za hovyo, na hao hawatakubali ujiuzu ili wafe njaa na familia zao, lkn kumbuka Waswahili wanasema "Muungwana akivuliwa nguo huchutama" kwahiyo kwa vile ushavuliwa nguo na makashifa mbali mbali inabidi tu uchutame. Jumapili njema wazalendo wenzangu.
Sasa mbona hujaainisha hizo kashfa? Ainisha hizo kashfa bila hivyo unaleta propaganda tuu
 
Habari zenu ndugu zangu. Leo nimekuja na ushauri mzuri kwa mjomba wangu Mbowe ili umsaidie kulinda heshima yake kidogo aliyobaki nayo.

Najua ni ngumu kukuubali ushauri wangu, na ukizingatia ushauri huu ni wa kumnyanganya tonge mdomoni kumpa mtu mungine, ila kama akiuangalia kwa makini ushauri huu atagundua kuwa ni ushauri mzuri na wa kumjenga zaidi.

Kwani ataonekana kuwa yeye anapigania masilahi ya nchi na wananchi kwa ujumla, sio kiti chake, cheo chake au tumbo lake kama inavyofikiriwa na wengi sasa hivi.

Ki ukweli mjomba wetu huyu amekuwa akihusishwa na tuhuma au kashifa mbali mbali ambazo kwa heshima yake sio vizuri kuziandika hapa.

Sasa kutokana na hizo kashifa kuwa nyingi ukijumlisha na haya ma kesi kesi yanayomuandama sasa, ni vizuri akajiuzulu ili kulinda heshima yake aliyobaki nayo sasa.

Akumbuke kuwa kujiuzulu kwake haitokuwa mwisho wa yeye kujijenga zaidi kisiasa akiwa nje ya kiti, maana wapo watu ambao walijiuzulu kwa makosa yasiokuwa ya kweli au yasiokuwa ya kwao na kujizolea umaarufu na heshima zaidi ya zile walizokuwa nazo kabla ya kujiuzulu.

Mfano wa watu hao ni formerly prime minister wa Uingereza Theresa May. Rais mstaafu wa Tanzania na mzee wetu Ally Hassan Mwinyi pia aliwahi kujiuzulu kwa mauaji yaliofanyika bila amri yake, na kwa hivyo ikamjengea heshima na kupelekea kuwa Rais wa nchi mbili. Yan raisi wa Zanzibar na wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa hiyo kujizulu kwako kutokana na hizo kashfa mbalimbali zinazokuandama iwe za kweli au za uongo kutakujengea heshima zaidi na kuwa miongoni mwa viongozi waliojiuzulu bila shuruti kutoka kwa mtu yoyote.

Najua wapo wanaoishi kupitia mfuko wako kwa kuandika propaganda za hovyo, na hao hawatakubali ujiuzu ili wafe njaa na familia zao, lkn kumbuka Waswahili wanasema "Muungwana akivuliwa nguo huchutama" kwahiyo kwa vile ushavuliwa nguo na makashifa mbali mbali inabidi tu uchutame. Jumapili njema wazalendo wenzangu.
Akili ya darasa la saba. Mnatuharibia chama chetu.
 
Habari zenu ndugu zangu. Leo nimekuja na ushauri mzuri kwa mjomba wangu Mbowe ili umsaidie kulinda heshima yake kidogo aliyobaki nayo.

Najua ni ngumu kukuubali ushauri wangu, na ukizingatia ushauri huu ni wa kumnyanganya tonge mdomoni kumpa mtu mungine, ila kama akiuangalia kwa makini ushauri huu atagundua kuwa ni ushauri mzuri na wa kumjenga zaidi.

Kwani ataonekana kuwa yeye anapigania masilahi ya nchi na wananchi kwa ujumla, sio kiti chake, cheo chake au tumbo lake kama inavyofikiriwa na wengi sasa hivi.

Ki ukweli mjomba wetu huyu amekuwa akihusishwa na tuhuma au kashifa mbali mbali ambazo kwa heshima yake sio vizuri kuziandika hapa.

Sasa kutokana na hizo kashifa kuwa nyingi ukijumlisha na haya ma kesi kesi yanayomuandama sasa, ni vizuri akajiuzulu ili kulinda heshima yake aliyobaki nayo sasa.

Akumbuke kuwa kujiuzulu kwake haitokuwa mwisho wa yeye kujijenga zaidi kisiasa akiwa nje ya kiti, maana wapo watu ambao walijiuzulu kwa makosa yasiokuwa ya kweli au yasiokuwa ya kwao na kujizolea umaarufu na heshima zaidi ya zile walizokuwa nazo kabla ya kujiuzulu.

Mfano wa watu hao ni formerly prime minister wa Uingereza Theresa May. Rais mstaafu wa Tanzania na mzee wetu Ally Hassan Mwinyi pia aliwahi kujiuzulu kwa mauaji yaliofanyika bila amri yake, na kwa hivyo ikamjengea heshima na kupelekea kuwa Rais wa nchi mbili. Yan raisi wa Zanzibar na wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa hiyo kujizulu kwako kutokana na hizo kashfa mbalimbali zinazokuandama iwe za kweli au za uongo kutakujengea heshima zaidi na kuwa miongoni mwa viongozi waliojiuzulu bila shuruti kutoka kwa mtu yoyote.

Najua wapo wanaoishi kupitia mfuko wako kwa kuandika propaganda za hovyo, na hao hawatakubali ujiuzu ili wafe njaa na familia zao, lkn kumbuka Waswahili wanasema "Muungwana akivuliwa nguo huchutama" kwahiyo kwa vile ushavuliwa nguo na makashifa mbali mbali inabidi tu uchutame. Jumapili njema wazalendo wenzangu.
Pole sana, kawaeleze waliokutuma kuwa amekataa.
 
Yaani hata akijiuzulu Mhe. Mbowe bado vugu vugu la mabadiliko litapata mabalozi wake.
Mbowe anawahangaisha sana!
 
Habari zenu ndugu zangu. Leo nimekuja na ushauri mzuri kwa mjomba wangu Mbowe ili umsaidie kulinda heshima yake kidogo aliyobaki nayo.

Najua ni ngumu kukuubali ushauri wangu, na ukizingatia ushauri huu ni wa kumnyanganya tonge mdomoni kumpa mtu mungine, ila kama akiuangalia kwa makini ushauri huu atagundua kuwa ni ushauri mzuri na wa kumjenga zaidi.

Kwani ataonekana kuwa yeye anapigania masilahi ya nchi na wananchi kwa ujumla, sio kiti chake, cheo chake au tumbo lake kama inavyofikiriwa na wengi sasa hivi.

Ki ukweli mjomba wetu huyu amekuwa akihusishwa na tuhuma au kashifa mbali mbali ambazo kwa heshima yake sio vizuri kuziandika hapa.

Sasa kutokana na hizo kashifa kuwa nyingi ukijumlisha na haya ma kesi kesi yanayomuandama sasa, ni vizuri akajiuzulu ili kulinda heshima yake aliyobaki nayo sasa.

Akumbuke kuwa kujiuzulu kwake haitokuwa mwisho wa yeye kujijenga zaidi kisiasa akiwa nje ya kiti, maana wapo watu ambao walijiuzulu kwa makosa yasiokuwa ya kweli au yasiokuwa ya kwao na kujizolea umaarufu na heshima zaidi ya zile walizokuwa nazo kabla ya kujiuzulu.

Mfano wa watu hao ni formerly prime minister wa Uingereza Theresa May. Rais mstaafu wa Tanzania na mzee wetu Ally Hassan Mwinyi pia aliwahi kujiuzulu kwa mauaji yaliofanyika bila amri yake, na kwa hivyo ikamjengea heshima na kupelekea kuwa Rais wa nchi mbili. Yan raisi wa Zanzibar na wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa hiyo kujizulu kwako kutokana na hizo kashfa mbalimbali zinazokuandama iwe za kweli au za uongo kutakujengea heshima zaidi na kuwa miongoni mwa viongozi waliojiuzulu bila shuruti kutoka kwa mtu yoyote.

Najua wapo wanaoishi kupitia mfuko wako kwa kuandika propaganda za hovyo, na hao hawatakubali ujiuzu ili wafe njaa na familia zao, lkn kumbuka Waswahili wanasema "Muungwana akivuliwa nguo huchutama" kwahiyo kwa vile ushavuliwa nguo na makashifa mbali mbali inabidi tu uchutame. Jumapili njema wazalendo wenzangu.
Mimi napendekeza Mbowe akuoe ili roho yako itulie
 
Habari zenu ndugu zangu. Leo nimekuja na ushauri mzuri kwa mjomba wangu Mbowe ili umsaidie kulinda heshima yake kidogo aliyobaki nayo.

Najua ni ngumu kukuubali ushauri wangu, na ukizingatia ushauri huu ni wa kumnyanganya tonge mdomoni kumpa mtu mungine, ila kama akiuangalia kwa makini ushauri huu atagundua kuwa ni ushauri mzuri na wa kumjenga zaidi.

Kwani ataonekana kuwa yeye anapigania masilahi ya nchi na wananchi kwa ujumla, sio kiti chake, cheo chake au tumbo lake kama inavyofikiriwa na wengi sasa hivi.

Ki ukweli mjomba wetu huyu amekuwa akihusishwa na tuhuma au kashifa mbali mbali ambazo kwa heshima yake sio vizuri kuziandika hapa.

Sasa kutokana na hizo kashifa kuwa nyingi ukijumlisha na haya ma kesi kesi yanayomuandama sasa, ni vizuri akajiuzulu ili kulinda heshima yake aliyobaki nayo sasa.

Akumbuke kuwa kujiuzulu kwake haitokuwa mwisho wa yeye kujijenga zaidi kisiasa akiwa nje ya kiti, maana wapo watu ambao walijiuzulu kwa makosa yasiokuwa ya kweli au yasiokuwa ya kwao na kujizolea umaarufu na heshima zaidi ya zile walizokuwa nazo kabla ya kujiuzulu.

Mfano wa watu hao ni formerly prime minister wa Uingereza Theresa May. Rais mstaafu wa Tanzania na mzee wetu Ally Hassan Mwinyi pia aliwahi kujiuzulu kwa mauaji yaliofanyika bila amri yake, na kwa hivyo ikamjengea heshima na kupelekea kuwa Rais wa nchi mbili. Yan raisi wa Zanzibar na wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa hiyo kujizulu kwako kutokana na hizo kashfa mbalimbali zinazokuandama iwe za kweli au za uongo kutakujengea heshima zaidi na kuwa miongoni mwa viongozi waliojiuzulu bila shuruti kutoka kwa mtu yoyote.

Najua wapo wanaoishi kupitia mfuko wako kwa kuandika propaganda za hovyo, na hao hawatakubali ujiuzu ili wafe njaa na familia zao, lkn kumbuka Waswahili wanasema "Muungwana akivuliwa nguo huchutama" kwahiyo kwa vile ushavuliwa nguo na makashifa mbali mbali inabidi tu uchutame. Jumapili njema wazalendo wenzangu.
fomerly prime minister, hapa unataka kutuambia nini? Wewe kweli ni mpwa wake Mbowe au umejibandika kututapeli.
Unao ushahidi wa madai yako kuwa Mbowe ni mhalifu au mtukutu kiasi kuwa jamii imemchoka, au unasema tu kwa sababu umo JF.
 
Habari zenu ndugu zangu. Leo nimekuja na ushauri mzuri kwa mjomba wangu Mbowe ili umsaidie kulinda heshima yake kidogo aliyobaki nayo.

Najua ni ngumu kukuubali ushauri wangu, na ukizingatia ushauri huu ni wa kumnyanganya tonge mdomoni kumpa mtu mungine, ila kama akiuangalia kwa makini ushauri huu atagundua kuwa ni ushauri mzuri na wa kumjenga zaidi.

Kwani ataonekana kuwa yeye anapigania masilahi ya nchi na wananchi kwa ujumla, sio kiti chake, cheo chake au tumbo lake kama inavyofikiriwa na wengi sasa hivi.

Ki ukweli mjomba wetu huyu amekuwa akihusishwa na tuhuma au kashifa mbali mbali ambazo kwa heshima yake sio vizuri kuziandika hapa.

Sasa kutokana na hizo kashifa kuwa nyingi ukijumlisha na haya ma kesi kesi yanayomuandama sasa, ni vizuri akajiuzulu ili kulinda heshima yake aliyobaki nayo sasa.

Akumbuke kuwa kujiuzulu kwake haitokuwa mwisho wa yeye kujijenga zaidi kisiasa akiwa nje ya kiti, maana wapo watu ambao walijiuzulu kwa makosa yasiokuwa ya kweli au yasiokuwa ya kwao na kujizolea umaarufu na heshima zaidi ya zile walizokuwa nazo kabla ya kujiuzulu.

Mfano wa watu hao ni formerly prime minister wa Uingereza Theresa May. Rais mstaafu wa Tanzania na mzee wetu Ally Hassan Mwinyi pia aliwahi kujiuzulu kwa mauaji yaliofanyika bila amri yake, na kwa hivyo ikamjengea heshima na kupelekea kuwa Rais wa nchi mbili. Yan raisi wa Zanzibar na wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa hiyo kujizulu kwako kutokana na hizo kashfa mbalimbali zinazokuandama iwe za kweli au za uongo kutakujengea heshima zaidi na kuwa miongoni mwa viongozi waliojiuzulu bila shuruti kutoka kwa mtu yoyote.

Najua wapo wanaoishi kupitia mfuko wako kwa kuandika propaganda za hovyo, na hao hawatakubali ujiuzu ili wafe njaa na familia zao, lkn kumbuka Waswahili wanasema "Muungwana akivuliwa nguo huchutama" kwahiyo kwa vile ushavuliwa nguo na makashifa mbali mbali inabidi tu uchutame. Jumapili njema wazalendo wenzangu.
Usitumie neno fomerly kama haujui tafsiri yake.
 
Back
Top Bottom