Ni biashara gani inalipa??

Fanya hivi, nunua boda boda zako tatu wape vijana waaminifu unaowafahamu wapige mzigo, kwa siku watakuletea mkate mmoja,sukari 1kg + 8,000 *3 =24,000 kwa mwezi ni kama 720,000 hapo wanajilipa wenyewe na mafuta wanaweka wenyewe we utahakikisha servise inafanywa kwa wakati, wakati huo unakaa nyumbani tu miguu kwenye sofa remote mkononi na coca badiri pembeni na papcorn...!

duuh! Mkuu, boda boda tatu tu ndio ukae miguu juu!!
 
Fanya hivi, nunua boda boda zako tatu wape vijana waaminifu unaowafahamu wapige mzigo, kwa siku watakuletea mkate mmoja,sukari 1kg + 8,000 *3 =24,000 kwa mwezi ni kama 720,000 hapo wanajilipa wenyewe na mafuta wanaweka wenyewe we utahakikisha servise inafanywa kwa wakati, wakati huo unakaa nyumbani tu miguu kwenye sofa remote mkononi na coca badiri pembeni na papcorn...!

Kiongozi, ka idea kazuri...Hivi bodaboda inauzwa bei gani?
 
Kiongozi, ka idea kazuri...Hivi bodaboda inauzwa bei gani?

Bodaboda nzuri nazo zijua zinaitwa SAN LG na ukipata ile ya bomba moja ni nzuri zaidi maana haili mafuta sana na spea zake ziko kila kona, bei zake ni 1.5M kwa huku mikoani lakini kwa dar nazani inaweza kuwa pungufu ya hapo, pia kuna aina nyingine inaitwa BOXER ni nzuri ninadumu kwa muda mrefu sana kwa mzigo nazikubali pia bei yake ni ndogo 1.2 mpaka 1.6
 
duuh! Mkuu, boda boda tatu tu ndio ukae miguu juu!!

Husninyo, maisha yanaweza kuwa mteremko kama kitonga vile iwapo unajua kupanga, kwangu mimi boda ndo zinalipia bili zote za maziwa, maji, umeme, kingamuzi na chai ya asubuhi ni bodaboda... kama unahela zipozipo nakushauri uwekeze kwenye boda*2.
 
Bodaboda nzuri nazo zijua zinaitwa SAN LG na ukipata ile ya bomba moja ni nzuri zaidi maana haili mafuta sana na spea zake ziko kila kona, bei zake ni 1.5M kwa huku mikoani lakini kwa dar nazani inaweza kuwa pungufu ya hapo, pia kuna aina nyingine inaitwa BOXER ni nzuri ninadumu kwa muda mrefu sana kwa mzigo nazikubali pia bei yake ni ndogo 1.2 mpaka 1.6

Hahaha...pale Muhimbili kuna wodi imebatizwa jina SAN LG....hiyo ni spesho kwa watu waliovunjika miguu kwa ajali ya bodaboda.

1.2m napata tukutuku ya kunipa hela ya biya kila siku.....ngoja ni do the needful.
 
Hahaha...pale Muhimbili kuna wodi imebatizwa jina SAN LG....hiyo ni spesho kwa watu waliovunjika miguu kwa ajali ya bodaboda.

1.2m napata tukutuku ya kunipa hela ya biya kila siku.....ngoja ni do the needful.

haha haaa afu dereva awe anapeleka kabisa kunakostahili pale kwa ** bar ukienda unaikuta au awe anaenda kulipa bili tu haha ha
 
Fanya hivi, nunua boda boda zako tatu wape vijana waaminifu unaowafahamu wapige mzigo, kwa siku watakuletea mkate mmoja,sukari 1kg + 8,000 *3 =24,000 kwa mwezi ni kama 720,000 hapo wanajilipa wenyewe na mafuta wanaweka wenyewe we utahakikisha servise inafanywa kwa wakati, wakati huo unakaa nyumbani tu miguu kwenye sofa remote mkononi na coca badiri pembeni na papcorn...!

Mkuu sukari kilo tatu kila siku sio nyingi sana kwa familia ya kawaida? Na isitoshe kwa kuisindikiza na mikate 3 tu?
Idea nzuri lakini...
 
Mkuu sukari kilo tatu kila siku sio nyingi sana kwa familia ya kawaida? Na isitoshe kwa kuisindikiza na mikate 3 tu?
Idea nzuri lakini...

Mkuu sokwe, mkate ba sukari ni mfano tu lakini inategemea na ukubwa wa familia pia, mmoja anaweza akawa analeta mkate kila siku, mwingine sukari mara 3 kwa wiki na mwingine dumu kubwa la maji ya kunywa kwa wiki mara 2 kwa wale tunao nunua maji ya kunywa kama huku kwetu. imekaaje hii...?
 
Mkuu sokwe, mkate ba sukari ni mfano tu lakini inategemea na ukubwa wa familia pia, mmoja anaweza akawa analeta mkate kila siku, mwingine sukari mara 3 kwa wiki na mwingine dumu kubwa la maji ya kunywa kwa wiki mara 2 kwa wale tunao nunua maji ya kunywa kama huku kwetu. imekaaje hii...?

Pale ni sawa mkuu, nimekusoma..........
 
Biashara ni ngumu sana, inataka usimamizi wa hali ya juu, usipokuwa makini utabaki kusimulia kuwa nilikuwa na 5m/= juzi juzi zimekwisha, ukiweza weka kwenye fixed deposit, kama bado ipo, then tulia tuli.
 
Fanya hivi, nunua boda boda zako tatu wape vijana waaminifu unaowafahamu wapige mzigo, kwa siku watakuletea mkate mmoja,sukari 1kg + 8,000 *3 =24,000 kwa mwezi ni kama 720,000 hapo wanajilipa wenyewe na mafuta wanaweka wenyewe we utahakikisha servise inafanywa kwa wakati, wakati huo unakaa nyumbani tu miguu kwenye sofa remote mkononi na coca badiri pembeni na papcorn...!

Ni kweli kiongozi, lakini challenge kubwa ya biashara hii ni uaminifu wa hao madriver wa pikipiki, watu wengi inawashinda kwa sababu ya hawa madereva ambao ni kazi sana kumpata mtu mwaminifu, vijana wengi wanakuja kuomba mikono nyuma but pale wanapopata tu wanaanza upuuzi, ukija kustuka mara nyingi hasara flani tayari unakuwa umeiingia bila kupenda, unajikuta umerudi nyuma
 
Biashara ni ngumu sana, inataka usimamizi wa hali ya juu, usipokuwa makini utabaki kusimulia kuwa nilikuwa na 5m/= juzi juzi zimekwisha, ukiweza weka kwenye fixed deposit, kama bado ipo, then tulia tuli.

ushauri wako bab kubwa..kijana anaonekana ajawai shika hela mpaka kafungulia thread million 5 si mchezo,,,atulie kwanza asijefua.
 
Prime Dynamics thanks a lot

Consider this done mkuu. Be blessed sana

Mi naona hii pikipiki iwe sehemu ya mtaji tu ili kuwa na uhakika wa kusambaza na mambo yakiiva basi suzuki carry fastaaaaaaa!!!!!!!

Sasa hata niki log out danga chee!!!!

Leo shemeji/ wifi yenu hanuni tena na atakuwa ananunua yeye bundle..ndo nishampatia extra curricula activity hapa

Pampers na maziwa,wipes na binamu zao gudu bai from my pocket!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Kibongo bongo watasema ni ya poda. kwetu huku shamba hiyo hela unafungu glocery na nusu ya pesa unawekeza kwenye ardhi kama Chana alivyofanya.
 
Last edited by a moderator:
wazo la biashara linaweza kutoka kwa mtu yoyote na akakupa na mchanganuo lakini usikurupuke kwa kuiona faida peke yake, angalia na gharama za kuianzisha kuipatia soko na matumizi yake.

umepewa mawazo mengi ya biashara lakini mimi naamini wazo bora zaidi la biashara unalokichwani kwako ila sema huliamini kwa kuhisi labda ni kubwa kulifanikisha au ni dogo kwako, wazo hilo ndio linauwezo wa kukutoa na biashara yako,nikikupa wazo mimi ujue kwamba nimeshalifikiria kwa uwezo wangu wa kufikiri, kutenda na kusimamia tayari liko ndani ya uwezo wangu lakini swali linakuja kwako je? uko sawa na mimi?.

kaa chini fikiria utapata wazo zuri la biashara ambalo utakuwa na uwezo wa kuimanage bila kukuletea shida,M5 ni pesa ukiwa na wazo lako mwenyewe il M5 sio pesa nikikupa wazo mimi.
 
Duh! mkuu jamani hata kainterest kabiashara yeyote huna jamani! Ok jaribu kufikiria biashara hii and make sure umefanya survey katika eneo unapo ishi. Kama uko Dar buy mitungi ya gas 30 ya kilo 15 and 30 ya kila 6. (Biashara ya domestic Gas inalipa sana hapo Dar) Sasa ifanye kwa style tofauti. Weka M-Pesa pia hapo kwako. Pia kodisha pikipiki moja kwanza (most of the owners wa pikipiki they need elfu 6 kwa siku, kwa mwezi ni 180,000) kijana wa kuedesha pikipiki kubaliana nae. anatakiwa afanye kazi within maeneo ya ofisi yako. Use him to do "Cooking Gas home delivery" whereby mteja will just make a call anytime then anatao direction alipo so kijana wako will just deliver Gas within 15min. Print vipeperushi visambaze katika eneo unapo ishi au ofisi yakoilipo. Sehemu nzuri ya kusambazia vipeperushi kama hivyo ni karibu na misikiti au kanisa baada ya ibada, jumapili au Ijuma. Therefore kutokana na faida ya mitungi ya 15kg if you can distribute mitungi yote 30 in a day it means you have not less than 65,000 unlike mitungi ya 6kg. Kuhusu M-Pesa, it won't be a must for a customer to pay cash hata akiwa na M-Pesa you do accept lakini you have to charge kama vile atakavyo taka cash. Therefore mteja akiwa ofisini akijulishwa Gas imeisha will just send you M-Pesa then unadeliver Gas nyumbani kwake. Guys hapo Dar there is alot of businesses but one has to be so creative and business oriented. To deal with biashara ya huduma kwa jamii it pays alot. Mkuu huwezi poteza pesa yako ila am very sure demand ndio itakushinda usipo kuwa makini.

hapo umesomeka vizuri sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom