Ni apps gani za android & iphone unazotumia au kujua

Ni apps gani za android & iphone unazotumia au kujua

TXD/tube God kwa ajiri ya kudownload video youtube.
Androrec kwa ajiri ya kurecod incoming na outgoing call zote.
NQ security kwa ajiri ya kuprotect call,sms,image & video pia ant-theft,backup ya sms na data zako zingne na vibration sim ikipokelewa n.k
English glamer kuajiri ya kujufunzia kiingereza.
Ni kwa Android na Apple
 
Mbona appl ya tanzania tv kwenye android chanel zilizoko aziplay
Natumia samsung gt~b55100
 
ze9epeva.jpg

Nimefikisha 307 wewe upo ngapi? Maana wewe mkongwe mimi nimeweka baada ya kuona kwako
Dah nimeinstall ROM mpya juzi nkasahau kufanya backup..ngoja nianze upya then nipost screenshot
 
Greenfy(root) Hii ina hibernate apps zinazorun background, ina free memory,simu inakua smooth as the day you purchased it na inarun background kwa MB 3 tu!! But don't hibernate IM apps you use you won't get push notfications ila facebook is a major culprit!! Similar app ni APP QUARANTINE..hii inafreeze mpaka system process ambazo huzitumii(experts only)
 
bible ya kiswahili ipo ila ni agano jipya.

kwenye android ipo bible ya kiswahili yenye vyote agano jipya na kale inaitwa holy bible in swahili real cool unaweza itumia hata ukiwa offline!!
 
Mhh nataka kujaribu kutengenza ka app. Bianfsi Si mzuri sana wa programmming so hii inaweza kuwa complex kidogo kwa level . so natafuta mtaaam wa ksuhrikiana naye ili tuweze kutengenza ka app kama wanasheria. Just kataonyesha sheria za makosa ya jinai au katiba ya Tanzania.. So ni app ya kudisplay tu text na kunavigate..........

App ya katiba ipo
 
Fake you kwenye android inasaidia kupiga na kupokea simu na meseji za uongo, kuonyesha fake balance na pia kudanganya battery low its nice and really helped me kujinasua sehemu sehemu..
 
Fake you kwenye android inasaidia kupiga na kupokea simu na meseji za uongo, kuonyesha fake balance na pia kudanganya battery low its nice and really helped me kujinasua sehemu sehemu..

Dah mbaya weweee....acha niipakue sasa hivi.
 
Kwa iPhone 4, 4s, 5....

1. Ringtones --- hii app ni maalumu kwa ajili ya kuset customised ringtones. Ila ni lazima uwe na iTunes katika PC yako ili uweze kutumia app hii. Kwa wale wanaopenda kupersonalise ringtones, basi hii app ni bab kubwa.

2. RedLaser --- hii app ni kwa ajili ya kufahamu details za bidhaa mbalimbali zenye barcode. Ni poa kama unataka pia kufahamu kama bidhaa fulani ni genuine ama kanyanga.

3. Camera360 --- kwa wapenzi wa kupiga na kuedit picha, hii app ni bab kubwa. Kuna watu zaidi ya milioni 100 duniani wanatumia app hii! Unaweza ukaedit picha kwa styles mbalimbali. Unaweza kuimport na kuexport picha kutoka kwenye apps nyingine za picha unavyotaka.

4. Units Plus --- hii ni kwa ajili ya kufanya conversions za area, power, currency, length, fuel mileage, pressure, speed, time, weight n.k.

5. PS Express (Adobe photoshop express) --- hii ni kwa ajili ya kuedit picha unavyotaka..

6. Essentials (how to cook everything) --- hii ni kwa wapenzi wa kuandaa mahunjumati. App inatoa maelekezo ya kuandaa na kupika. Kuna recipes za aina ya misosi kama 15 hivi zilizo na vijirecipes vingi tu ndani yake.

7. Home --- hii ni kwa ajili ya kujifunza namna bora ya kuandaa na kupamba ndani mwa nyumba. Ipo poa sana hii app. Inakufanya unakuwa interior designer bila kulipia chochote (zaidi ya pesa ya bundle).

8. RunKeeper --- hii ni kwa wapenda mazoezi ya kukimbia. Itakusaidia kutambua umbali uliokimbia, njia uliyotumia, calories ulizochoma, spidi uliyotumia n.k. Ila inafanya kazi kwa kutumia teknolojia ya GPS. Unaweza ukapanga na kuweka historia ya ukimbiaji wako na kuwaonyesha marafiki kupitia Facebook na Twitter.

9. DHL ACT --- hii ni kwa ajili ya kutrack/kutrace mzigo wako uliosafirishwa na DHL.
 
Back
Top Bottom