Ni apps gani za android & iphone unazotumia au kujua

Ni apps gani za android & iphone unazotumia au kujua

Jamani mi naomba za blackberry. Ila nisiwe mchoyo natoa nilizonazo wakuu:

Photosplash hii unaedit picture nzuri sana wakuu
Picmix hii haina tofaut na instagram

Picturestory hii pia unaedit pic na kushare online na watu mbalimbali

Bambooplayer hii unaskilizaa nyimbo ulizosave na inakuletea lyrics automatic ukiwa umejiunga na bundle

Kakaotalk hii ni kama social network nyingine like twitter!

Msaada jamani naombeni za kwenu maana naona nyingi za iphone ndio zimemwagwa!
 
Jamani kwa bberry app ipi nitaweza kudownload youtube videos?

Thanx!
 
LEMON WALLET: kwa ajili ya kuhifadhi vitambulisho na kadi za Benki (Android &iOS).
DASHLANE: kusevu passwords.
CHECK(zamani iliitwa PAGEONCE): hii inahifadhi na ku track bills zako zooote. I've been using this for 3 years now and it is one of my best apps!
REMOTE MOUSE: Hii inasaidia kutumia simu kama mouse ya PC
ANCESTRY: for family tree
GOT QUESTIONS: maswali ya Biblia
WESTERN UNION: hii inajieleza, hauhitaji agents kutuma $$$
GUITAR TUNER: hii husaidia ku tune gitaa
MORTAL LITE(Game): hii nikianza kuicheza nakesha!
 
Android : Blackmart+Alpha dowload paid app for free,
cool tools
hii inanakupa battrey,ram,cpu.
satellite directot + Sat35 kwa kumia apps hizi mbili huhitaji fundi wa dish instllation, utapata elevation na adhimus, frequency na symbol rate za channel zote zinazopatikana ktk satellite husika

Polarization horizontal nayo ipo?
 
Hivi hakuna program ambayo ukipiga simu inakwambia hupatikani?, Badala ya kuruhusu simu iite kidogo alafu ndio inakata.

Mkuu! Ulipata majibu ya swali lako? Hata kama sio hapa. Naomba unijulishe mi mwenyewe napenda kufahamu kama ipo na inaitwaje.
 
Sasa hv vi symbian vye2 tuvitupe?mbona mnatutenga hvyo?
 
Nsaidieni dada yenu natumia nokia5233 npate applicnt za kuchk japo vmuv na kudownload kwan youtube haitak dah
 
Mkuu! Ulipata majibu ya swali lako? Hata kama sio hapa. Naomba unijulishe mi mwenyewe napenda kufahamu kama ipo na inaitwaje.

Ni imani yangu kuwa kwenye play store hakuna hii maana hadi sasa sijapata pamoja na kujaribu apps kibao hata zingine zikitaka kufanya rooting kabisa
 
Wakuu Nina iPad bt sijui unaDownload vipi Movie au Music nimejaribu kuiweka software moja ya Downloader by movie hazikai kwenye iPad zinakaa kwenye hiyo software.

By the way,,ni bora kuuliza kuliko kujua kila kitu.
 
Wajameni naomba msaada....nna cmu nikitaka kuingia kwenye internet inaniambia "insufficient memory" wakati simu ina memory 4gb....hapo tatizo nini waungwana?
 
App Stealth inaficha baadhi ya Apps usizotaka watu wazi access kuna code maalum ukiweka ndo unaziona Photo locker inaficha baadhi ya picha usizotaka mtu kuziona unazifungua kwa password tu, kwa wapenz wa games jaribuni Highway Zombie ni best ever app been created apple iko bure android nliona inauzwa, Bee Mp3 utadownload any music online unautaka free and fast.
 
Wajameni naomba msaada....nna cmu nikitaka kuingia kwenye internet inaniambia "insufficient memory" wakati simu ina memory 4gb....hapo tatizo nini waungwana?

Ni kwamba internal memory/storage imejaa cha kufanya hamishia vi2 kutokaktk phne memory kupeleka kwenye memory card.kama ni miziki,picha,video au files zozote ambazo unahs zitakuwa zimechukua nafasi ktk phne memory.
 
yap zombie highway ni free app ipo google play /playstore na ni ya ukwel kwa wapenda ma game
 
Back
Top Bottom