Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,951
Sita umchafue Malima kwa manufaa yako. Hebu soma hapa:1. Waziri aliyedumu muda mrefu ni Ameir Jamal.
2. Ndiyo najua kuhusu Ameir Jamal. Aliyewahi kuwa waziri wa fedha kwa vipindi vitatu tofauti ambavyo ni 1965-1972, 1975-1977 na 1979-1983 alipoingia Kighoma Malima na kuhudumu hadi 1985 kabla ya kurudi tena 1994.
3. Kighoma Malima alianza uwaziri wa fedha mwaka 1983. Mkuu nimejibu maswali yako yote uliyouliza. Sioni sababu ya kuendelea kubishana juu ya hili. Mdau Mkupuo hapo juu katoa ushauri mzuri wa kujibu swali lililoulizwa "Ni Akina Nani Walichoma BOT" basi tujikite huko.
Mawaziri 16 wa fedha walioifikisha Tanzania ilipo sasa tangu