BoTi kuchomwa moto ilikua kama movie was planned
Mastermind alikua Mkonoh
Baada ya kuweka mazingira safi na kutawanya pesa kama escrow, wakatia kiberit, ukiwa unalenga documents maarum na zoez lilifanikiwa apo mwalimu hakuwa TZ
Baada ya mission kuisha, mkonoh mwenye akachukua simu na kumvutia simu mwalmu
Mkonoh; mwalimu habar, uku nyumban BoTi imeungua na moto
Kama dakka mbil iv
Mwalmu; Mkonoh nikirud Tz nisikukute nakufunga maanina ww!!! ( mwalmu alijue hii sio kawaida watakua wamefanya yao tu)
Mkono alipotea Tz ad kifo cha mwalmu ndio alirud