Ni ajabu

Ni ajabu

Natafakari kiungo kinachofanya mtu aitwe mwanamke jinsi Mungu alivyokiumba.. ni ajabu. the way kimetengenezwa na ufanyaji wake wa kazi pamoja na umbile lake; hakika sifa apewe Muumbaji. Natafakari kinavyowachanganya watu, wengine wanajinyonga, wengine wanagombana na ndugu zao na majanga kibao .... kweli ni ajabu.. kiungo kilichoumbwa kama msaidizi kwa kiungo kingine (cha Adamu) ona kinavyofanya jukwaa hili lijae ....... Wewe unasemaje? hebu wenzangu tafakari kazi za viungo mbalimbali mwilini mwako.... kisha tumpe Mungu Muumbaji utukufu.

Hapo kwenye red, Viungo vyote vya mwili wa mwanadamu ni muhimu mno. Fikiria kipuuzi kama ungekuwa huna macho dunia ingekuwaje, au ungepata changamoto zipi kama huna miguu au mikono au una hitilafu yoyote ya kiungo mwilini!

Lakini hiki kiliwekwa makusudi kuendeleza maisha kwa kuonganisha mtu na mtu na familia na familia. Matokeo ya kiungo hiki ni watoto na kupata ndugu. Lakini matumizi mabaya ya kiungo hiki ndiyo huleta chuki, hasira, mauaji, mafarakano nk kutokana na uzito wa jukumu ambalo kiungo hiki kimepewa.

Kuna baadhi ya watu wameamua kutumia kiungo hiki kama biashara, na wengine kama silaha au ngazi ya kupata mafanikio isivyo halali au bila kuwa na sifa. Wapuuzi zaidi ndiyo wamebadili matumizi ya asili ya kiungo hiki na kile cha pacha wake kuwa matumizi yasiyo ya asili na kuharibu mpango mzima na makusudi ya kiungo hiki. Shame on them!

Ni vyema kiungo hiko kiheshimiwe na kupewa matumizi sahihi na siyo kitumike kwenye kufanya mambo yasiyokubalika mbele za Mungu na wanadamu, ni aibu!
 
Funny.bmp
Haaaa!!! hao madogo wanaweza wakawa wameshaanza kucheza kombolela na tiyali bado
 
yaani hata ingekua inawezekana kuiweka mfukoni ya mpenzi wako(mbunye au mgegedo) unatembea nayo ingekua raha sana!! no cheating ,ukitamani tu unakumbuka aah...........mgegedo wangu nimemuachia mupenzi happiness win ........so hadi niuibe saa ngapi!!
 
yaani hata ingekua inawezekana kuiweka mfukoni ya mpenzi wako(mbunye au mgegedo) unatembea nayo ingekua raha sana!! no cheating ,ukitamani tu unakumbuka aah...........mgegedo wangu nimemuachia mupenzi happiness win ........so hadi niuibe saa ngapi!!

ha ha haaaa hata kuaminiana tu inatosha. Fikiria kama watu wangekuwa waaminifu 100% kwa wapenzi wao pia ingekuwa raha sana
 
yaani hata ingekua inawezekana kuiweka mfukoni ya mpenzi wako(mbunye au mgegedo) unatembea nayo ingekua raha sana!! no cheating ,ukitamani tu unakumbuka aah...........mgegedo wangu nimemuachia mupenzi happiness win ........so hadi niuibe saa ngapi!!
Tungefurahia maisha hadi basi, cheating zisingekuwepo!!! full maraha kila mmoja na wake bila kificho mchana kweupeeeeeeeee!
 
Subhana allah....!!!!! Mapema yote hii.... Au w/nd imeanza??? Nasikia akisimama inakua chini..... Akikaa inakua mbele.... Akiinama unakua nyuma!!!!! Kweli Mungu fundi

Bazazi hajakuwa jamani
Mbona basi kumkuza tena hadharani
Mbele ya hadhara ya wanaMMU

Bazazi!
 
he! He! He! Kiungo kimesha haribiwa, kimebadilishiwa na direction kabisaa
ha ha ha......mmevibana sana watu wakawatafutia mbadala..na mkome kuringa

leo nimesoma mahali wanasema "kunawanaume kila penye shimo wanadhani uke" ha ha ha
 
yaani hata ingekua inawezekana kuiweka mfukoni ya mpenzi wako(mbunye au mgegedo) unatembea nayo ingekua raha sana!! no cheating ,ukitamani tu unakumbuka aah...........mgegedo wangu nimemuachia mupenzi happiness win ........so hadi niuibe saa ngapi!!

Ha ha ha ha...! Umenichekesha sana aisee. Nimekumbuka cku moja nilikua safarini kwa miezi miwili, wife aliniambia anatamani mgegedo ningemwachia!
 
hivi kama kunahayo madhara ya kupigwa bomba na watu wanayajua mbona wanaendelea kama sio kwamba hiyo kitu ni tamu sana??

Wanalaana, last week nilikuwa maisha pale mwenyewe tu nimetuliwa nikawaona mashoga km 3 wanacheza na kukatika sana viuno vyao kiukweli walikera sana hadi nikafikia uamzi wa kuondoka maana nilichukizwa sana kabla cjapata kuondoka akaja mkaka mmoja shoga eti anajaribu kuninyanyua nilipo kaa tukacheze mziki, hasira ilinipanda sana nikaondoka mbio
 
Wanalaana, last week nilikuwa maisha pale mwenyewe tu nimetuliwa nikawaona mashoga km 3 wanacheza na kukatika sana viuno vyao kiukweli walikera sana hadi nikafikia uamzi wa kuondoka maana nilichukizwa sana kabla cjapata kuondoka akaja mkaka mmoja shoga eti anajaribu kuninyanyua nilipo kaa tukacheze mziki, hasira ilinipanda sana nikaondoka mbio

hahahahahah..lazima atakuwa alivutiwa na wewe. sasa roho mbaya ya nini hadi kumkimbia mwenzio??
 
Back
Top Bottom