Ni ajabu

Ni ajabu

Kiungo kilichoumbwa...ila kinaleta majanga?
Kiungo kilchoumbwa..ila kinaleta vifo?
Kiungo kilichoumbwa ..ila watu ndugu hawawezi kukishare?
Chafaa nini basi.....

Chafaa kitumike sawa sawa na lengo lake la kuumbwa (kutengenezwa)
 
Funny.bmp

hataree hii
 
shukrani kwa Muumba kwa kuweka hii burudani hapa ilipo
 
hebu fikiria watu wanavyoparangana kwa kutokitumia vizuri kiungo hiki. Inawezekana wanakitumia tofauti na malengo ya Muumbaji

Mmmh!! matumizi mazuri ya kiungo hicho ni yapi kwani?

Na ni yapi malengo ya Muumbaji juu ya kiungo hicho?
 
Mmmh!! matumizi mazuri ya kiungo hicho ni yapi kwani?

Na ni yapi malengo ya Muumbaji juu ya kiungo hicho?

Matumizi mazuri ni kukitumia pale inapostahili, namaanisha kwenye ndoa. Mungu alitaka kitumike kwenye ndoa na kuongeza uzao, ni kiburudisho pia kwa wana ndoa. Matumizi yamebadilika watu wamefanya ni mtaji, wamefanyia uzinzi, hakiongezi uzao bali ukupatikana unatolewa maana umekuja nje ya lengo, na hii imechangia kuvuruga amani na wengine kupoteza uhai wao
 
tulia rafiki, we huoni jinsi hiki kiungo kinagonganisha watu? unafikiri kilitengenezwa na malengo hayo?

mkuu unadhani mm kuna tatizo? yaani ww pitia thred zote uone watu walivyoamka na paapuchi hasa vitoto vya mulugo, hapa kwako mbona kumekaa kikubwa tu mkuu ila maudhui ni yaleyale but ww umeleta ki GT
 
hahahahaha...lakini skuhzi kimekuwa na mbadala (0714, AYUU n.k)
 
kaka hii kitu hii....achana nayo kaka,cjui tu hata nisemeje ila ndiyo starehe kubwa kuliko zote duniani
 
ukitaka kujua umuhimu wake HAMISHIA WANAWAKE WOTE Zanzibar na WANAUME wote BAra, utaona wadau watakavyofanya kazi kukisaka kwa udi na uvumba
 
ukitaka kujua umuhimu wake HAMISHIA WANAWAKE WOTE Zanzibar na WANAUME wote BAra, utaona wadau watakavyofanya kazi kukisaka kwa udi na uvumba

Mmmmmh patakuwa hapatoshi, kazi hazitafanyika itakuwa full mtafutano
 
Mbunye bana ina heshima yake na ina power ya ku control,ni kweli kabisa inabidi tuifungulie open dscussion,just imagine umeikuta barabara imekatwa ikadondoshwa shall you men manage to pick up?
 
Kilichobaki ni kuitumia vizuri. Watu wanapaswa waviheshimu viungo vyao, sio kuvifanyia biashara na kuvitumia kuharibu amani
hasa uikute mbunye mnato ,sticky,hot and tight!!!utakuwa unapiga magoli kila baada ya dakika 5!!lol
 
Back
Top Bottom