Ni aina gani ya miti inafaa kwa bustani ya nyumbani?

Name: Cupressocyparis leylandii

evergreen.jpg
 
kuna m1 hapo juu kaweka...ila sina hakika kama kuna miti pale yafaa kwa garden..mingine yafaa kupandwa shambaa
Miti hy hapo yote unaweza lima shamba, mtazamo wangu japo lengo anataka miti ya kivuli kwa bustani ya nyumbani, Sio dhambi akipata kivuli na matunda pia, unapanda mti mmoja mmoja ya matunda tofauti tofauti, utapata kivuli na matunda pia. Be multipurpose.
 
only fumigation..yes unauzwa sana alafu bei bure 1000

Naujua bana..kumbe ndio mharadali..I thought mharadali is a fictional tree kutoka kwenye kitabu chenu nyie wapenda mungu!

Ila nikipata hela lazima ninunue miche ya mbele ije kwa ndege airport nikapande...Mbele ni aibu kwa miti acha kabisa!

Whether zinakubali either way,maana ukichukia Italy au LA au hata Miami ni nearly the same!
 
Oh, ni vema unapenda miti katika bustani yako. Kabla hujaamua mti gani upande, ni vema ujue mahali ulipo. Mfano, kuna miti inasitawi vizuri sehemu za Pwani. Mingine sehemu zenye mwinuko na hali ya baridi, kama vile Nyanda za juu kusini. Hivyo, inategemea nyumba yako ipo wapi katika sehemu hizo mbili. Ni angalizo tu.
 
Huu utakubali na huku mabwepande mana unaonekana wa kishua


Inakubali mkuu,tena kama unataka unapata hybrid zake..

Unasema whether region yako tu miti inakuja tu unaweka kwenye cart wanakutumia ulipo....Kuna nchi Ulaya and America whether ni nearly the same mkuu.....Kama Italy,LA,Miami,Turkey,South America,etc....Ni mbegu tu watu hawajaamua kununua na kupanda!
 
Back
Top Bottom