Ni aibu kusema Tanzania kuna njaa

Ni aibu kusema Tanzania kuna njaa

Kulikuwa na umuhimu gani wa kuwa na mawaziri?.kikwete na mabaya yote aliyofanya.hajawahi kuficha chakula.na hapa ndo kikwete anaonekana bora kuliko magufuli.
 
Mie binafsi nakubaliana na kauli ya Mheshimiwa Rais Magufuli kuwa hapa nchini hakuna njaa. Tanzania ni moja wapo za nchi ambazo mwenyezi Mungu ameipa kila aina ya neema lakini watu wake hawataki kuitumia ipasavyo kwa sababu ya kutotaka kufanya kazi haswa za kilimo.
Leo nchi kama Misri yenye idadi ya watu karibu Milioni 100 wanaishi kwa kutegemea kilimo cha umwagiliaji kutoka mto Nile inakuwaje hapa Tanzania tuna maziwa na mito mengi mbali mbali na mvua kunyesha mara kwa mara tunashindwa kuwa na chakula na kusingizia njaa?
Sasa hivi tuna kiongozi asiyekuwa mnafiki anachowaambia watanzania ni ukweli mtupu na inatakiwa mkubaliane na ushauri wake kwamba kuna wafanyabiashara na wanasiasa wanajaribu kutengeneza hili suala la njaa kwa manufaa ya kujipatia umaarufu wa kisiasa na faida ya kibiashara.

kachukue buku 2 lumumba sasa
 
Acha kufikiri tofauti na maumbile ya asili. Tumia ubongo kufikiri. Aliyewambia wananchi ni wavivu ni nani? Mbivu wewe unayewaza na kaamua kununua ndege badala ya kutengeneza miundombinu ya kilio cha umwagiliaji. Hao unao wait a wavivu wataweza je kuharisha irrigation programmes wakati pesa yote mmelala akina jag dish Singh? Mere meta? Green finance? Iptl nk nk? Fikiri kwa ubongo mpendwa. Hao waziri walikaa barazani wakapanga Siyo wewe unayetoa matamko majukwaani . Budget kwenye jukwaa? Nina uhakika hata hao walikuwa hayo mamlaka wanakushangaa sana na huenda wanajua sana
Kwani ununuzi wa ndege umefanya miundombinu isishughulikiwe? Miradi mingapi inaendelea hivi sasa wakati ndege zimenunuliwa? Ngoja nikutajie michache
1.kinyerezi 2
2. Daraja la surrender
3.Tazara interchange
4. Mabweni (majengo 20 yenye ghorofa 4 kila moja) ya wanafunzi wa chuo kikuu.
5. Elimu bure inaendelea. Na miradi mingi mingine ya mabilions ukiachana na barabara ya b90 aliyozindua jana magufuli.

Kama ndege ni tatizo wakati hatuna ndege iliyonunuliwa miundo mbinu yetu ilikuwa imara?
 
Kwani ununuzi wa ndege umefanya miundombinu isishughulikiwe? Miradi mingapi inaendelea hivi sasa wakati ndege zimenunuliwa? Ngoja nikutajie michache
1.kinyerezi 2
2. Daraja la surrender
3.Tazara interchange
4. Mabweni (majengo 20 yenye ghorofa 4 kila moja) ya wanafunzi wa chuo kikuu.
5. Elimu bure inaendelea. Na miradi mingi mingine ya mabilions ukiachana na barabara ya b90 aliyozindua jana magufuli.

Kama ndege ni tatizo wakati hatuna ndege iliyonunuliwa miundo mbinu yetu ilikuwa imara?
Hiyo ndo tanzania yenye neema?vipi ajira?maji,umeme,afya?unafuu wa maisha.mishahara bora.?
 
Hakuna suala la unafiki mmezoea kuwa na viongozi wanaotoa ahadi za uongo.
Hapa Kazi tu
Viongozi wa chama gani hao ambao Watanzania wamezoea kuwa nao wanaotoa ahadi za uongo???[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .
Sio vizuri kuvuana nguo
 
Kilimo cha umwagiliaji kinahitaji miundo mbinu ya maji ya uhakika, sasa tuanzie hapo kwenye miundo mbinu ya maji; serikali imewawezesha wananchi kuvuna maji kwa ajili ya kilimo wakati wa ukame!

Kwa wale waliozaliwa maeneo ya kanda ya ziwa mtakuwa mashahidi hapa, kuna kipindi wananchi wa kando kando ya ziwa walikuwa wanalima(wanavuta ule mchanga wa ziwani) na kulima viazi kwa kumwagilia maji, ili kujinusuru na baa la njaa, lakini serikali ikawapiga marufuku wasilime hayo maeneo kwa kisingizio cha uharibifu wa mazingira.

Sasa ni mkulima gani atakaye weza kuvuta maji ziwani apeleke kwenye shamba zaidi ya kilomita 15 ili ajikomboe kwa kilimo cha umwagiliaji?
 
  • Thanks
Reactions: mps
Mnaposema tanzania kuna njaa mfanye tafit pia mtambue kuwa kwann watu hao wana njaa? Katika kijiji kimoja utakuta ni baadhi ya watu wachache ndio wanalalamika wana njaa, na kuna wengine kwao njaa ni jadi yao mvua inyeshe isinyeshe wao njaa wanayo tu amini usiamini....kuna watu hawajui bajeti za chakula kwa mwaka katika familia zao,wakipata chakula wanatumia vibaya wakitegemea kuwa mvua itawahi kunyesha na ndio hao hao wa kwanza kupiga kelele kuwa wana njaa pale mvua inapochelewa kunyesha maana chakula kinakuwa kimeisha..pia ni hao hao wanaozaa kiholela pasipokujua wanatunza vip watoto wao ili hali wametawaliwa na uvivu. Ukienda usukumani kuna watu kilimo kikifika wako busy kwenda kwenye kutwa kupalilia mashamba ya wenye hela kila siku wanasahau kulima mashamba yao mpaka msimu wa kulima unaisha, kiangazi kikifika hapo lazima njaa iwakune ipasavyo. Kwa hiyo tukizungumzia njaa kisa mvua ya mwaka huu hainyeshi au imechelewa kunyesha tukumbuke msimu wa mwaka jana watu walilima na wakavuna chakula cha kutosha, kiko wapi? Lazima tu akili zitukae sawa kama tuliendekeza uvivu ili tusubir kilo kumi za serikali sa ivi lazima akili zitakaa kwenye msitari!
 
Mie binafsi nakubaliana na kauli ya Mheshimiwa Rais Magufuli kuwa hapa nchini hakuna njaa. Tanzania ni moja wapo za nchi ambazo mwenyezi Mungu ameipa kila aina ya neema lakini watu wake hawataki kuitumia ipasavyo kwa sababu ya kutotaka kufanya kazi haswa za kilimo.

Leo nchi kama Misri yenye idadi ya watu karibu Milioni 100 wanaishi kwa kutegemea kilimo cha umwagiliaji kutoka mto Nile inakuwaje hapa Tanzania tuna maziwa na mito mengi mbali mbali na mvua kunyesha mara kwa mara tunashindwa kuwa na chakula na kusingizia njaa?

Sasa hivi tuna kiongozi asiyekuwa mnafiki anachowaambia watanzania ni ukweli mtupu na inatakiwa mkubaliane na ushauri wake kwamba kuna wafanyabiashara na wanasiasa wanajaribu kutengeneza hili suala la njaa kwa manufaa ya kujipatia umaarufu wa kisiasa na faida ya kibiashara.
Si bure, umetumwa
 
Mie binafsi nakubaliana na kauli ya Mheshimiwa Rais Magufuli kuwa hapa nchini hakuna njaa. Tanzania ni moja wapo za nchi ambazo mwenyezi Mungu ameipa kila aina ya neema lakini watu wake hawataki kuitumia ipasavyo kwa sababu ya kutotaka kufanya kazi haswa za kilimo.

Leo nchi kama Misri yenye idadi ya watu karibu Milioni 100 wanaishi kwa kutegemea kilimo cha umwagiliaji kutoka mto Nile inakuwaje hapa Tanzania tuna maziwa na mito mengi mbali mbali na mvua kunyesha mara kwa mara tunashindwa kuwa na chakula na kusingizia njaa?

Sasa hivi tuna kiongozi asiyekuwa mnafiki anachowaambia watanzania ni ukweli mtupu na inatakiwa mkubaliane na ushauri wake kwamba kuna wafanyabiashara na wanasiasa wanajaribu kutengeneza hili suala la njaa kwa manufaa ya kujipatia umaarufu wa kisiasa na faida ya kibiashara.
Nina wasiwasi na uelewa wako katika kilimo ndugu yangu. Isitoshe nashangazwa sana na wanaomsifia Rais Magufuli katika suala la njaa.
Ni kweli Tanzania tuna vyanzo vingi vya Maji kuliko Misri au nchi zilizo jangwani. Lakini umeshajiuliza Tanzania inatumiaje hayo Maji? Wenzetu Misri wamewekeza kwenye kilimo cha umwagiliaji kwa zaidi ya 50%.
Sisi Tanzania pamoja na maji yote hayo tumewekeza kwenye umwagiliaji kwa 3% tu. Hapo unategemea nini? Kilimo chetu kinategemea kudra za Mwenyezi Mungu.
Kumbuka mwaka huu mvua za vuli zimegoma maeneo mengi na ndiko wanakolalamika njaa.
Hapo unawalaumu wafanyabiashara, wao ndio wamezuia mvua?

Kwa mwaka mmoja wa Rais Magufuli madarakani, uzalishaji wa kilimo umeshuka kutoka 2.7% hadi 0.3%, sasa hapo Chakula kinatoka wapi? Wananchi wakilalamika njaa wana kosa gani?

Mbaya zaidi Rais ameweka mazingira magumu ya kodi kwa wafanyabiashara wanaoingiza Chakula nchini akitaka walipe kodi. Sikatai kulipa kodi, lakini kwa kipindi hiki cha ukame wangelegeza masharti ili wananchi wapate Chakula kwa bei nafuu.
Kama Rais wetu ana nia ya dhati ya kukuza kilimo, awekeze kwenye umwagiliaji. Kama ameweza kununua ndege kwa pesa taslim, fedha hizo zinatosha kabisa kumaliza utata wa Chakula nchini.
 
Mie binafsi nakubaliana na kauli ya Mheshimiwa Rais Magufuli kuwa hapa nchini hakuna njaa. Tanzania ni moja wapo za nchi ambazo mwenyezi Mungu ameipa kila aina ya neema lakini watu wake hawataki kuitumia ipasavyo kwa sababu ya kutotaka kufanya kazi haswa za kilimo.

Leo nchi kama Misri yenye idadi ya watu karibu Milioni 100 wanaishi kwa kutegemea kilimo cha umwagiliaji kutoka mto Nile inakuwaje hapa Tanzania tuna maziwa na mito mengi mbali mbali na mvua kunyesha mara kwa mara tunashindwa kuwa na chakula na kusingizia njaa?

Sasa hivi tuna kiongozi asiyekuwa mnafiki anachowaambia watanzania ni ukweli mtupu na inatakiwa mkubaliane na ushauri wake kwamba kuna wafanyabiashara na wanasiasa wanajaribu kutengeneza hili suala la njaa kwa manufaa ya kujipatia umaarufu wa kisiasa na faida ya kibiashara.
Wewe acha ujinga, kilimo cha umwagiliaji unachokisema unafikiri ni kuchota maji kwa ndo unyweshee shamba? Unafikiri mwananchi wa Kwimba anaweza kwenda kuchota maji Lake Victoria kwa kibuyu aje anyweshe shamba...msipende kutukwaza basi na Rais wenu mnatafuta laana za bure!
 
Hivi kama ndugu zangu wanaonizunguka na hata walio mbali wana uhakika wa kula naangaika ya nini kuumiza kichwa na watu. Kama yeye anaona kun chakula basi sawa .. ....... Mtu anaona kuna ukame bado anasisitiza watu walime........Wakalime basi wamfurahishe wasije mtia majaribuni.
 
Nina wasiwasi na uelewa wako katika kilimo ndugu yangu. Isitoshe nashangazwa sana na wanaomsifia Rais Magufuli katika suala la njaa.
Ni kweli Tanzania tuna vyanzo vingi vya Maji kuliko Misri au nchi zilizo jangwani. Lakini umeshajiuliza Tanzania inatumiaje hayo Maji? Wenzetu Misri wamewekeza kwenye kilimo cha umwagiliaji kwa zaidi ya 50%.
Sisi Tanzania pamoja na maji yote hayo tumewekeza kwenye umwagiliaji kwa 3% tu. Hapo unategemea nini? Kilimo chetu kinategemea kudra za Mwenyezi Mungu.
Kumbuka mwaka huu mvua za vuli zimegoma maeneo mengi na ndiko wanakolalamika njaa.
Hapo unawalaumu wafanyabiashara, wao ndio wamezuia mvua?

Kwa mwaka mmoja wa Rais Magufuli madarakani, uzalishaji wa kilimo umeshuka kutoka 2.7% hadi 0.3%, sasa hapo Chakula kinatoka wapi? Wananchi wakilalamika njaa wana kosa gani?

Mbaya zaidi Rais ameweka mazingira magumu ya kodi kwa wafanyabiashara wanaoingiza Chakula nchini akitaka walipe kodi. Sikatai kulipa kodi, lakini kwa kipindi hiki cha ukame wangelegeza masharti ili wananchi wapate Chakula kwa bei nafuu.
Kama Rais wetu ana nia ya dhati ya kukuza kilimo, awekeze kwenye umwagiliaji. Kama ameweza kununua ndege kwa pesa taslim, fedha hizo zinatosha kabisa kumaliza utata wa Chakula nchini.
Magufuli yeye anawaza ndege tu, huku mwoga wa kupanda ndege...na hana hoja tu, kwanini anafikiri ni lazima kununua ndege lakini hakuna lazima kununua chakula? huu ni ushamba na ndo matatizo ya kudesa PhD
 
Back
Top Bottom