FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,082
- 40,735
Vitu vingine ni ridiculous, yaani ile barabara ya kutokea pale round about na kukunja kona kuelekea bandarini na hatimaye daraja la Kigamboni ni nyembamba kama uchochoro wa vingunguti kwa mkodisha mawigi, ni vichekesho kwa kweli.
Basi ikitokea lorry linataka kuingia kwenye moja wapo ya yale mageti na pakawa na foleni ya kuingia humo ndani, inawabidi hata nyie wwnye magari madogo/daladala kusabiri hata nusu saa nzima ili muweze kupita, maana kuna lane mbili tu na moja malori huwa yanatumia kama parking, na lane nyingine moja ndio mnabanana malori na magari na madaladala, fujo tupu, mnaotumia kale ka uchochoro ili kuelekea Kigamboni bridge mnaelewa, hii ni aibu na fedheha!
Basi ikitokea lorry linataka kuingia kwenye moja wapo ya yale mageti na pakawa na foleni ya kuingia humo ndani, inawabidi hata nyie wwnye magari madogo/daladala kusabiri hata nusu saa nzima ili muweze kupita, maana kuna lane mbili tu na moja malori huwa yanatumia kama parking, na lane nyingine moja ndio mnabanana malori na magari na madaladala, fujo tupu, mnaotumia kale ka uchochoro ili kuelekea Kigamboni bridge mnaelewa, hii ni aibu na fedheha!