Serikali ijenge na kuboresha barabara ya Mbagala, Lindi na Mtwara kwa eneo la daraja la Mzinga

wakikosi

JF-Expert Member
Feb 28, 2015
1,354
1,483
Mita karibu 200 toka Mbagala rangi 3 kuelekea Mkuranga kuna mtelemko na kisha daraja la mto mzinga.

Eneo hili la mlima kokoto na daraja la mto mzinga njia ni nyembamba sana,na njia hii ni barabara ya kimataifa ina malori mengi sana.

Jambo baya ni kuwa mara kwa mara huwa kuna malori yanazimika hapo mlimani kokoto,na kufanya njia hiyo kutopitika hata masaa 4 mnakuwa mmeganda tu hapo mlimani na foleni huwa ndefu kufika hata kilometa 3.

Serikali ifanye wepesi wa kujenga njia 4 au 6 kati ya eneo la Mbagala rangi 3 hadi Kongowe pia kujenga daraja la kisasa eneo hilo la mzinga maana wakazi wa Kongowe, Toangoma, Mkuranga, Lindi na Mtwara tunateseka sana na changamoto za kufunga kwa barabara kunakotokana na ajari au kuharibika kwa magari hapo mlimani kokoto na kuharibu ratiba nzima ya wasafiri na wakazi wa huku Mkuranga ,Toangoma na mikoa ya Lindi na Mtwara
 
Mita karibu 200 toka Mbagala rangi 3 kuelekea Mkuranga kuna mtelemko na kisha daraja la mto mzinga.

Eneo hili la mlima kokoto na daraja la mto mzinga njia ni nyembamba sana,na njia hii ni barabara ya kimataifa ina malori mengi sana.

Jambo baya ni kuwa mara kwa mara huwa kuna malori yanazimika hapo mlimani kokoto,na kufanya njia hiyo kutopitika hata masaa 4 mnakuwa mmeganda tu hapo mlimani na foleni huwa ndefu kufika hata kilometa 3.

Serikali ifanye wepesi wa kujenga njia 4 au 6 kati ya eneo la Mbagala rangi 3 hadi Kongowe pia kujenga daraja la kisasa eneo hilo la mzinga maana wakazi wa Kongowe, Toangoma, Mkuranga, Lindi na Mtwara tunateseka sana na changamoto za kufunga kwa barabara kunakotokana na ajari au kuharibika kwa magari hapo mlimani kokoto na kuharibu ratiba nzima ya wasafiri na wakazi wa huku Mkuranga ,Toangoma na mikoa ya Lindi na Mtwara
One by one
 

Attachments

  • images (64).jpeg
    images (64).jpeg
    4.5 KB · Views: 6
Mita karibu 200 toka Mbagala rangi 3 kuelekea Mkuranga kuna mtelemko na kisha daraja la mto mzinga.

Eneo hili la mlima kokoto na daraja la mto mzinga njia ni nyembamba sana,na njia hii ni barabara ya kimataifa ina malori mengi sana.

Jambo baya ni kuwa mara kwa mara huwa kuna malori yanazimika hapo mlimani kokoto,na kufanya njia hiyo kutopitika hata masaa 4 mnakuwa mmeganda tu hapo mlimani na foleni huwa ndefu kufika hata kilometa 3.

Serikali ifanye wepesi wa kujenga njia 4 au 6 kati ya eneo la Mbagala rangi 3 hadi Kongowe pia kujenga daraja la kisasa eneo hilo la mzinga maana wakazi wa Kongowe, Toangoma, Mkuranga, Lindi na Mtwara tunateseka sana na changamoto za kufunga kwa barabara kunakotokana na ajari au kuharibika kwa magari hapo mlimani kokoto na kuharibu ratiba nzima ya wasafiri na wakazi wa huku Mkuranga ,Toangoma na mikoa ya Lindi na Mtwar

Mita karibu 200 toka Mbagala rangi 3 kuelekea Mkuranga kuna mtelemko na kisha daraja la mto mzinga.

Eneo hili la mlima kokoto na daraja la mto mzinga njia ni nyembamba sana,na njia hii ni barabara ya kimataifa ina malori mengi sana.

Jambo baya ni kuwa mara kwa mara huwa kuna malori yanazimika hapo mlimani kokoto,na kufanya njia hiyo kutopitika hata masaa 4 mnakuwa mmeganda tu hapo mlimani na foleni huwa ndefu kufika hata kilometa 3.

Serikali ifanye wepesi wa kujenga njia 4 au 6 kati ya eneo la Mbagala rangi 3 hadi Kongowe pia kujenga daraja la kisasa eneo hilo la mzinga maana wakazi wa Kongowe, Toangoma, Mkuranga, Lindi na Mtwara tunateseka sana na changamoto za kufunga kwa barabara kunakotokana na ajari au kuharibika kwa magari hapo mlimani kokoto na kuharibu ratiba nzima ya wasafiri na wakazi wa huku Mkuranga ,Toangoma na mikoa ya Lindi na Mtwara
Umesema kweli kaka maana juzi natokea vikindu nilipofika pale nikaishia kuguna pamekaa vibaya
 
Umesema kweli kaka maana juzi natokea vikindu nilipofika pale nikaishia kuguna pamekaa vibaya
Yaani ni eneo dogo lakini halina njia mbadala ikiwa tu gari 1 limezimika barabarani.

Ni shida sana,mnakaa pale hata masaa 3 kisa lory limezimika mlimani
 
Yaani ni eneo dogo lakini halina njia mbadala ikiwa tu gari 1 limezimika barabarani.

Ni shida sana,mnakaa pale hata masaa 3 kisa lory limezimika mlimani
Sasa upite usiku afu huko kasi na hakuna foleni ya magari na wewe dereva ni mgeni njia hiyo unaweza kujikuta kule chini
 
Nilipita hapo ilikuwa weekend.
Tulikaa kwenye foleni na mwanangu.
Mtoto akasema mama nirudishe nyumbani wewe nenda mwenyewe 🤣🤣🤣🤣 .
 
Tangu lini serikali ikakumbuka njia ya kusini kirahisi hivi...? huwa nahisi kama huku kusini kwa wenzetu kumetengwa sana kimaendeleo. Yanafanyika kwa mdondo sana kama vile hawalipi kodi yaani
 
Sio poa aise,yaani maisha ya huku ni mateso sana alafu ni kilometa chache tu toka City centre
 
Tangu lini serikali ikakumbuka njia ya kusini kirahisi hivi...? huwa nahisi kama huku kusini kwa wenzetu kumetengwa sana kimaendeleo. Yanafanyika kwa mdondo sana kama vile hawalipi kodi yaani
Serikali huwa inahisi sisi watu wa kusini sio binadamu aise
 
Back
Top Bottom