Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,585
- 4,270
Kutokana na ongezeko la mahitaji ya gasi ya Oxygen yaliyojitokeza hivi karibuni umekuwa na mkanganyiko mkubwa wa huduma hasa hiyo gas ya oxygen inayotumika kwa wingi
Ukiangalia kwenye matangazo ya NHIF yanasema hiyo gasi inatolewa Bure. Ila kiuhalisia hiyo gasi inauzwa kwa hospitali za serikali na zile za Binafsi
Ninacho omba
Kuwe na maelekezo yatakayo bandikwa hospitali zote kubwa yanayo elekeza huduma zinazotolewa na Bima kwenye hii changamoto ya Uviko 19; kwa hili la gas,
1. NHIF iseme wazi kuwa italipia gasi ya Oxygen
2. Na kama wanalipia kiasi mfano chupa 5 kwa mgonjwa mmoja, pia waseme wazi wazi
3. Na kama hawalipii kabisa pia waseme wazi wazi
4, Ingependeza kama kungekuwa na bei Elekezi ya hii mitungi kwani hii ni huduma muhimu inayogusa watu wengi
Bila hivyo wanachi wanatozwa hela kwa kuwa hakuna muongozo ulio wazi, Lakini pia NHIF italipia hiyo hiyo mitungi ambayo mwananchi ameshalipia
Ukiangalia kwenye matangazo ya NHIF yanasema hiyo gasi inatolewa Bure. Ila kiuhalisia hiyo gasi inauzwa kwa hospitali za serikali na zile za Binafsi
Ninacho omba
Kuwe na maelekezo yatakayo bandikwa hospitali zote kubwa yanayo elekeza huduma zinazotolewa na Bima kwenye hii changamoto ya Uviko 19; kwa hili la gas,
1. NHIF iseme wazi kuwa italipia gasi ya Oxygen
2. Na kama wanalipia kiasi mfano chupa 5 kwa mgonjwa mmoja, pia waseme wazi wazi
3. Na kama hawalipii kabisa pia waseme wazi wazi
4, Ingependeza kama kungekuwa na bei Elekezi ya hii mitungi kwani hii ni huduma muhimu inayogusa watu wengi
Bila hivyo wanachi wanatozwa hela kwa kuwa hakuna muongozo ulio wazi, Lakini pia NHIF italipia hiyo hiyo mitungi ambayo mwananchi ameshalipia