NHC Kijichi hizi bei

NHC Kijichi hizi bei

Kapepo

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2015
Posts
1,078
Reaction score
1,227
Habari wakuu wa jukwaa,
Naomba msaada wenu. Ningependa kufahamu ni vigezo gani vinavyotumika kupanga bei ya nyumba hizi.
Je, bei huamuliwa kwa kuzingatia mambo kama eneo ilipo nyumba, ukubwa wa jengo, ubora wa ujenzi, huduma zilizopo, miundombinu, au kuna vigezo vingine muhimu vinavyotumika?
Nitaushukuru sana mchango wenu kwa yeyote mwenye uzoefu au taarifa juu ya hili.
Screenshot_20260101_200833_Instagram.jpg
 
Habari wakuu wa jukwaa,
Naomba msaada wenu. Ningependa kufahamu ni vigezo gani vinavyotumika kupanga bei ya nyumba hizi.
Je, bei huamuliwa kwa kuzingatia mambo kama eneo ilipo nyumba, ukubwa wa jengo, ubora wa ujenzi, huduma zilizopo, miundombinu, au kuna vigezo vingine muhimu vinavyotumika?
Nitaushukuru sana mchango wenu kwa yeyote mwenye uzoefu au taarifa juu ya hili.View attachment 3523988
Yaani Bei za Nyumba TZ zinazidi hadi USA beach Front house.
 
Yaani nitoe milioni 112 kwenye makazi kama mabweni ya wanafunzi wakati nikienda hao kibaha napata kiwanja kikubwa MIta 100 Kwa 100 Kwa shilingi milioni20-30.ukiishi kwenye apartment ni matumizi mabaya pa pesa
Katika vitu ambavyo sipendi ni kuishi kwenye penthouse / appartments /condo /flat.

Napenda kuishi kwenye nyumba inayojitegemea peke yake yenye space kubwa atleast sqm 1600.
 
Katika vitu ambavyo sipendi ni kuishi kwenye penthouse / appartments /condo /flat.

Napenda kuishi kwenye nyumba inayojitegemea peke yake yenye space kubwa atleast sqm 1600.
Tatizo uchafu sasa, ikitokea shida ya maji. Hapo ni mtafutano.. bora za masaki huko
 
Nyumba mil 300 sidhani kama inapendeza kujenga ivyo ghorofa za kuichanganya na watu kibao
 
Hapa tatizo si ukubwa wa eneo bali ni watu wa aina gani wanatakiwa waishi, kama mtu hana mkwanja mrefu asisumbuke kwenda Kijichi kwenye hizo nyumba, wacha tubanane hukuhuku kwa Mtogole.
Labda VIBOPA wawanunulie michepuke ili wawe wanatumia kama GUEST.
 
Back
Top Bottom