Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,960
- 11,221
Na kitu chenywet ni kupambana na mafisadi na wakwepa kodi wotemsitake kuniaminisha kuwa hili suala halina visasi vya kisiasa even though ni kisheria/kibiashara/kimkataba..
Hapa lazima kuna kitu
Lakini NHC imesema imeanza na yeye.Suala la Mbowe ni la kibiashara zaidi. Hakufuata masharti ya kupanga. Msichanganye masuala ya biashara na siasa
Mbona mnajitetea sana ? Si kodi hajalipa na mnaweza pia kuthibitisha hilo ,Kelele za nini ? Mara hatujamuonea ,oh sio swala la kisiasa ,hata kama sio la kisiasa ,mmekosea timing huwezi kuniaminisha shinikizo la kisiasa halijatumika wakati ambao nchi ilikuwa kwenye homa ya Ukuta Mbowe akiwa ndio Captain
Sawa. Sasa tatizo nini hapo kwa NHC kutimiza wajibu wao?Lakini NHC imesema imeanza na yeye.
Kodi anapokea kila siku kutoka wapi kama akina Mbowe wapangaji hawalipi kodi. Mlipeni hizo bilion then mtoe malalamiko kua hajengi nyumba
Mkuu ulikuwa wapi siku zote kutujuza hayo mpaka usubiri Mbowe atolewe nje ya nyumba ?
Uwezo mdogo wa mtu huyu ulishajadiliwa hapa JF miaka mingi. Mwanzo ulijadiliwa sana na ulijikita kwenye ajira yake ambayo ilikuwa ni kushikwa mkono na kuajiliwa bila sababu.Mmeanza majungu badala ya kumchangia Mwenyekiti alipe deni.
Mkizubaa hatua inayofuata ni kupiga mnada mali zake.
Huo ni mtizamo wako sifhani kama unaweza kuulizwa suala kama hilo kama una sifa na utafuata utaratibu.watu wengi tunachanganya siasa na mambo ya kiutendaji sidhani mbowe ana haki ya kuachwa ktk jengo hilo licha ya kuvumiliwa tena mtu ambaye ni icon mfano wa kuigwa anapigana kwa ajili ya maendeleo anakuwa wa kwanza kutolipa kodi vipi atatuhamasisha vipi wa tz kwa mambo makubwa ya kimaendeleo .kama shirika limefuata taratibu ni haki afukuzweTutasikia mengi mwaka huu, inaweza fikia ukitaka nyumba za NHC unaulizwa chama gani, Tanzania ni yetu sote
Kwani unafikiria tatizo ni Mbowe hana hizo hela ?Kamlipie basi Jemedari wenu
We unafikir mbowe ni tajir wa ngapi tz? , hadi anahesabika katka matajir wa tz hiyo 1b ndio imfirisi? tafta orodha uone. Hata usipotafta kuwa na deni 1bn tayari we ni tajiri mkubwa tu.Mboweeeeeee! Kashikwa na kwikwi. Tuone kama ataendelea kupambana na Magufuli
View attachment 391870
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limeeleza kuwa, hatua ya kufungia Kampuni ya Mbowe Hotels Limited (MHL) ya Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa si ya kisiasa,*anaandika Pendo Omary.
Leo NHC kupitia wakala wake Fosters Auctioneers (Sio Action Mark) wamevamia jengo lililopo kampuni hiyo katika makutano ya Mitaa ya Mkwepu na Indira Gandhi (Makunganya) jijini Dar es Salaam na kuchukua vifaa vya kampuni hiyo katika upande wa uzalishaji gazeti.
Hatua hiyo inatokana na madai kwamba, NHC inadai kampuni hiyo jumla ya Sh. 1.3 Bilion na kwamba, bado hazijalipwa mpaka sasa licha ya kutoa muda stahili wa kulipwa deni hilo.
Ndani ya kampuni ya MHL kuna Kampuni ya Free Media inayozalisha Gazeti la Tanzania Daima la kila siku.
Japhet Mwasenga, Meneja wa Kitengo cha Ukusanyaji Madeni katika Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) amesema, kuondolewa kwa kampuni ya Mbowe katika jengo hilo hakuhusiani na masuala ya kisiasa.
Mwasenga amewaambia waandishi wa habari leo mapema asubuhi wakati NHC ikisimamia shughuli ya uondoshaji vifaa kwenye jengo hilo kuwa “hiki kinachofanyia sio siasa. Hili sio suala la Mbowe peke yake. Ni suala la kiutendaji, pamoja na kwamba wadaiwa wako wengi, tumeamua kuanza na Mbowe.
“Tumefuata taratibu zote kumwondosha mpangaji wetu. Alishapewa taarifa na sisi kama taasisi ya umma, tuliendelea kumvumilia kwa muda mrefu lakini leo tumefika mwisho,” amesema Mwasenga.
Joshua Mwaituka, Mkurugenzi wa Kampuni ya udalali ya Fosters Auctioneers inayosimamia shughuli ya uondoshaji vifaa katika nyumba hiyo amesema, vifaa vyote vilivyondolewa vitahifadhiwa na kampuni hiyo mpaka hapo deni hilo litakapolipwa.
Source: Mwanahalisi Online
Inaonekana mimi na wewe hatulielewi sakata hili kwa undani, hebu tuwaachie wenyewe!We hushangai kuwa Mbowe kakaa kimya sana??
NHC washatoa deatails za madeni.
Sasa ni zamu ya Mbowe kusema alilipa lini na wapi.
Hiyo pointi uliyoitumia kujenga hoja, ndio inawapa nguvu wale wanaohoji na kutilia mashaka kilichotokea! Nadhani kwa kuwa mimi na wewe na wachangiaji wengi hapa hatulijui sakata hili kwa undani ni vizuri tukasikilizia nini kitaendelea badala ya kushambulia na kukebehi upande mmoja!Labda humu JF ili swala linaonekana la uonevu lakini kwa wapangaji wa NHC wanaweza ona huyu bwana kapendelewa sana inawezekanaje deni lifike mpaka zaidi ya billioni na kwa miaka kadhaa asilipe. Ebu waulizeni majirani walio karibu na nyumba za NHC wapangaji wakawaida deni la miezi mitatu tu alizidi ata millioni tatu utapewa notisi kila kukicha na siku wakija huo utemi wa NHC anajua mungu tu. Huyu mwenzetu deni limefika mpaka billioni kweli life is not fair na bado anawatu wa kumtetea.
Kwani unafikiria tatizo ni Mbowe hana hizo hela ?
Mboweeeeeee! Kashikwa na kwikwi. Tuone kama ataendelea kupambana na Magufuli