technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,560
- 57,885
Mbowe alipe lakini na huyu jamaa ni jipu achunguzweMbowe alipe deni full stop.
Hela zote alizouza chama ametumia kuprinti t shirt za UKUTA ,huku akijua UKUTA haupo.!!
Waosha miguu wake mmeanza kutetea kwa ngonjera zisizo na kichwa wala miguu
Wakuu salaaa
Huyu mkurugenzi ni jipu na ili sakata la mbowe ni kujikomba kwa wakuu wake lakini unajua nini unakifanya ,umekifanya na unaendelea kukifanya hapo NHC!!
Umeshindwa kujenga Nyumba angalau ya milioni 30,40,50 kwenye uongozi wako
Umeshindwa kuzikarabati Nyumba za NHC ingawa kodi unapokea kila siku!!
Kuna pesa za kodi za pango hazilipwi TRA Bali mnaziweka mfukoni !!!
!
Mimi si mtetei mbowe wala sijawakuwa chadema lakini huyu jamaa ni jipu!!Atajenga nyumba kwa hela ipi wakati hamtaki kulipa kodi ya pango? Mkiulizwa mnajificha kwenye siasa, na sasa Mwenyekiti wako ametoka na single ya kumiliki jengo kwa asilimia 75. Ogopa wapalestina.
Mbowe alipe kodi lakini na huyu jamaa ni jipu achunguzweAtajenga nyumba kwa hela ipi wakati hamtaki kulipa kodi ya pango? Mkiulizwa mnajificha kwenye siasa, na sasa Mwenyekiti wako ametoka na single ya kumiliki jengo kwa asilimia 75. Ogopa wapalestina.
Hapa mkuu unafeli sana.Wakuu salaaa
Huyu mkurugenzi ni jipu na ili sakata la mbowe ni kujikomba kwa wakuu wake lakini unajua nini unakifanya ,umekifanya na unaendelea kukifanya hapo NHC!!
Umeshindwa kujenga Nyumba angalau ya milioni 30,40,50 kwenye uongozi wako
Umeshindwa kuzikarabati Nyumba za NHC ingawa kodi unapokea kila siku!!
Kuna pesa za kodi za pango hazilipwi TRA Bali mnaziweka mfukoni !!!
Njoo kwanza mtuambie
Mikataba wa NHC na Ile foundation ya mke wa Kikwete mlipojenga magorofa ya Dodoma mliingiaje kwanini shirika LA Nyumba la taifa waingizwe watu wachache kumiliki share kama nani wao ?
Niko na mengi lakini ushauri hapa nataka Rais magufuli amchunguze huyu bwana ni jipu !!
Habari gani ya upande mmoja ,mnawahoji NHC mnawahoji madalali ,hamumuhoji mpangaji?View attachment 391870
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limeeleza kuwa, hatua ya kufungia Kampuni ya Mbowe Hotels Limited (MHL) ya Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa si ya kisiasa,*anaandika Pendo Omary.
Leo NHC kupitia wakala wake Fosters Auctioneers (Sio Action Mark) wamevamia jengo lililopo kampuni hiyo katika makutano ya Mitaa ya Mkwepu na Indira Gandhi (Makunganya) jijini Dar es Salaam na kuchukua vifaa vya kampuni hiyo katika upande wa uzalishaji gazeti.
Hatua hiyo inatokana na madai kwamba, NHC inadai kampuni hiyo jumla ya Sh. 1.3 Bilion na kwamba, bado hazijalipwa mpaka sasa licha ya kutoa muda stahili wa kulipwa deni hilo.
Ndani ya kampuni ya MHL kuna Kampuni ya Free Media inayozalisha Gazeti la Tanzania Daima la kila siku.
Japhet Mwasenga, Meneja wa Kitengo cha Ukusanyaji Madeni katika Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) amesema, kuondolewa kwa kampuni ya Mbowe katika jengo hilo hakuhusiani na masuala ya kisiasa.
Mwasenga amewaambia waandishi wa habari leo mapema asubuhi wakati NHC ikisimamia shughuli ya uondoshaji vifaa kwenye jengo hilo kuwa “hiki kinachofanyia sio siasa. Hili sio suala la Mbowe peke yake. Ni suala la kiutendaji, pamoja na kwamba wadaiwa wako wengi, tumeamua kuanza na Mbowe.
“Tumefuata taratibu zote kumwondosha mpangaji wetu. Alishapewa taarifa na sisi kama taasisi ya umma, tuliendelea kumvumilia kwa muda mrefu lakini leo tumefika mwisho,” amesema Mwasenga.
Joshua Mwaituka, Mkurugenzi wa Kampuni ya udalali ya Fosters Auctioneers inayosimamia shughuli ya uondoshaji vifaa katika nyumba hiyo amesema, vifaa vyote vilivyondolewa vitahifadhiwa na kampuni hiyo mpaka hapo deni hilo litakapolipwa.
Source: Mwanahalisi Online
Kodi anapokea kila siku kutoka wapi kama akina Mbowe wapangaji hawalipi kodi. Mlipeni hizo bilion then mtoe malalamiko kua hajengi nyumba
Jamaa ni jipu kweli,ila km mwenyekiti Mbowe angelipa kodi yote hayo yangetokea??Hakuna cha majungu Mimi sio chadema lakini huyu jamaa ni jipu
Mkuu ulikuwa wapi siku zote kutujuza hayo mpaka usubiri Mbowe atolewe nje ya nyumba ?Wakuu salaaa
Huyu mkurugenzi ni jipu na ili sakata la mbowe ni kujikomba kwa wakuu wake lakini unajua nini unakifanya ,umekifanya na unaendelea kukifanya hapo NHC!!
Umeshindwa kujenga Nyumba angalau ya milioni 30,40,50 kwenye uongozi wako
Umeshindwa kuzikarabati Nyumba za NHC ingawa kodi unapokea kila siku!!
Kuna pesa za kodi za pango hazilipwi TRA Bali mnaziweka mfukoni !!!
Njoo kwanza mtuambie
Mikataba wa NHC na Ile foundation ya mke wa Kikwete mlipojenga magorofa ya Dodoma mliingiaje kwanini shirika LA Nyumba la taifa waingizwe watu wachache kumiliki share kama nani wao ?
Niko na mengi lakini ushauri hapa nataka Rais magufuli amchunguze huyu bwana ni jipu !!
Atajenga nyumba kwa hela gani wakati Mbowe hataki kulipa kodi?Mimi si mtetei mbowe wala sijawakuwa chadema lakini huyu jamaa ni jipu!!
Magufuli si ndio aliibia NHC kwa kuuza nyumba kwa wadogo na hawala zake gazeti la RAI mbona liliandika sana hata jina la kimada aliyepewa nyumba walilitaja kesi ya nyani kwa ngedereWakuu salaaa
Huyu mkurugenzi ni jipu na ili sakata la mbowe ni kujikomba kwa wakuu wake lakini unajua nini unakifanya ,umekifanya na unaendelea kukifanya hapo NHC!!
Umeshindwa kujenga Nyumba angalau ya milioni 30,40,50 kwenye uongozi wako
Umeshindwa kuzikarabati Nyumba za NHC ingawa kodi unapokea kila siku!!
Kuna pesa za kodi za pango hazilipwi TRA Bali mnaziweka mfukoni !!!
Njoo kwanza mtuambie
Mikataba wa NHC na Ile foundation ya mke wa Kikwete mlipojenga magorofa ya Dodoma mliingiaje kwanini shirika LA Nyumba la taifa waingizwe watu wachache kumiliki share kama nani wao ?
Niko na mengi lakini ushauri hapa nataka Rais magufuli amchunguze huyu bwana ni jipu !!
Mkuu hakuna siasa hapo ni swala la mtu kulipa kodi tuu.Ndio huo udhaifu huyo mleta mada anapotaka huyo Mchechu akaguliwe maana deni mpaka kufikia hapo na bado yuko ofisini ni udhaifu wa hali ya juu katika kukusanga kodi. Hilo sakata la Mbowe ni matokeo ya siasa za chuki na visasi ndio maana unaona mkurugenzi wa NHC anaona fahari kupambana na mdaiwa wa kisiasa, kwa lengo la kufurahisha wanasiasa wa kundi lingine bila kujiuliza inakuwaje hawezi kukusanya kodi na bado anakalia ofisi ya umma. Nilitaraji kama suala hili sio la kisiasa tungeona wadaiwa wote wakikutana na madhila hii, lakini kiukweli hata ukichunguza utakuta hata huyo mkurugenzi ana mikataba mingi sana inayoenda kinyume na maadili ya umma na haguswi kisa anajipendekeza kwa watawala. Hapa hakuna cha madai wala nini bali ni siasa chafu na chuki, huku watendaji wakifanya kazi chini ya viwango na kuchezeshwa mziki na wanasiasa.
Hii kodi ya shilingi 1.3 billioni ni ya kuanzia lini mpaka lini?
Kama mbowe hatimizi wajibu wake kimkataba mnatarajia aachiwe tu. KILA MTU NI SAWA KWENYE UTAWALA WA SHERIATutasikia mengi mwaka huu, inaweza fikia ukitaka nyumba za NHC unaulizwa chama gani, Tanzania ni yetu sote
"Pamoja na kwamba wadaiwa wapo wengi, tumeamua kuanza na Mbowe"
Halafu anakataa hili sio suala la kisiasa.
Kwanini Mbowe?
Mkuu hakuna siasa hapo ni swala la mtu kulipa kodi tuu.
Ndio ukweli wewe wa CCM si walijimilikisha nyumba sasa walipe fedha nymba zijengweAtajenga nyumba kwa hela gani wakati Mbowe hataki kulipa kodi?