Wilderness Voice
JF-Expert Member
- May 19, 2016
- 921
- 1,638
Ha ha ha!Umechanganya sana kuhusu hayo makaburi ya Kabiga katika wilaya ya Nyag'hwale.eneo hilo la Usambilo wamisionari waliuawa na wenyeji kwa kupigiwa mishale yenye sumu siyo kwa kurogwa.nenda kafanye utafiti tena.