Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Zaidi ya nguzo sita na transfoma tatu zimeanguka Tabata na kujeruhi watu pamaoja na kuziba barabara kutokana na uchakavu wa miundombinu
Mfanyakazi wa Tanesco amewataka wananchi waache kukaa chini ya nguzo za umeme kwani kuna madhara kama hayo yanajitokeza
Mfanyakazi wa Tanesco amewataka wananchi waache kukaa chini ya nguzo za umeme kwani kuna madhara kama hayo yanajitokeza