Point yangu ni kwamba Yesu kahubiri amani ila hajafundisha na jinsi ya kuilinda hiyo amani,leo hii mfano hapa Tz tunaishi kwa amani mara magaidi wanavamia na kuanza kuuwa watu,je Yesu anafundisha tufanyaje hapo katika hali kama hiyo?Kuna secular laws na religion laws kiongozi tofautisha hivi vitu viwili.
Sheria za kidini (uislamu) zinahukumu kuponda mawe hadi kufa, kunyonga, kukata vichwa, kukata viganja n.k
Sheria zisizo zakidini yani hazifungamani na upande wowote, zipo kwa ajili ya mambo yasiyo ya kiimani huwezi kupeleka kesi inayohusu mambo ya kidini mahakamani (Hapa naomba nieleweke ni mambo yale tu yasiyolenga kuleta uvunjifu wa amani au chuki)
Mfano Sheikh au Mchungaji anamtuhumu muamini kuiba sadaka n.k
Mkuu unamnukuu vibaya Kristo Yesu, hamaanishi ugaidi uachwe watu wauwawe au wauwane n.k Yesu alileta injili na injili ni habari njema kwa wote asiyeamin ndiye atafanya huo upuuzi Mkristo yeyote aliyebatizwa ana huruma na ana upendo kwa kuwa ndiyo amri yetu kuu.
Biblia inatuambia watu wanaangamia kwa kukosa maarifa, jitahidi kuyasoma maandiko unayoyasikia vyema na jaribu kuunganisha verses mbalimbali
Mbongo soma hii na hiki ndicho kinachotupa amani sisi Wakristo hatuhuzuniki wala hatuwi katika hali ya unyonge pale tunapokosewa, kutendewa ubaya wala chochote mwanadamu anakufa.Point yangu ni kwamba Yesu kahubiri amani ila hajafundisha na jinsi ya kuilinda hiyo amani,leo hii mfano hapa Tz tunaishi kwa amani mara magaidi wanavamia na kuanza kuuwa watu,je Yesu anafundisha tufanyaje hapo katika hali kama hiyo?
Nimekuiza hivi mfano leo magaidi wanavamia Tz na kuanza kuuwa watu,je mafundisho ya Yesu yanasemaje katika situation kama hiyo? Au ndio wakristo wanatakiwa kukaa tu na kusubiri kuuliwa wote?Mbongo soma hii na hiki ndicho kinachotupa amani sisi Wakristo hatuhuzuniki wala hatuwi katika hali ya unyonge pale tunapokosewa, kutendewa ubaya wala chochote mwanadamu anakufa.
Ukiishi kwa Kristo wewe ni kiumbe mpya.
Peace I leave with you, my peace I give to you; not as the world gives do I give to you. Let not your hearts be troubled, Neither let it be afraid. - John 14:27
Maisha ya duniani si lolote si chochote, utukufu na uzima wa milele ametuandalia bwana wa majeshi hatun shaka juu ya hilo.Nimekuiza hivi mfano leo magaidi wanavamia Tz na kuanza kuuwa watu,je mafundisho ya Yesu yanasemaje katika situation kama hiyo? Au ndio wakristo wanatakiwa kukaa tu na kusubiri kuuliwa wote?
Na ndiyo maana nikasema kama tutaamua kufuata hayo mafundisho ya Yesu basi dunia patakuwa mahali pabaya kabisa kuishi,.maana kwa asili ya binaadamu lazima tu watakuwepo ambao watauwa wezao,watawadhulumu na mengine mengi tu.Maisha ya duniani si lolote si chochote, utukufu na uzima wa milele ametuandalia bwana wa majeshi hatun shaka juu ya hilo.
Watafanya wanalolitaka kwa mujibu wa imani yetu kazi yetu sisi ni kuwaombea maadui zetu kwa kuwa hawajui watakalo kuwa wakilitenda ni baya kiasi gani, watakumbana na hukumu siku ya mwisho pale parapanda kuu itakapolia.
Sisi tunafundishwa upendo tu na hakuna kingine na kwenye upendo kuna amani kuna furaha kuna baraka n.k
Siuungi mkono, lakini si kwamba Israel hakuna mabaya yapo mengi tu na haimaanishi yanafanywa na watu wote.
ndio maana nikakupa taarifa sahihi kuwa Israel sio religion state ni secular.
iran kuna dhambi, Saudia kuna dhambi Tanzania kuna dhambi na kote huku kuna mashoga kataa sasa
Mnaposema mwenye jukumu la hukumi ni Mungu Mnakosea sana Maana Bila hukumu hata Dunia Isingekua Mahala Salama Watu Wanahukumiwa Sababu Wanakosea Tukisema Tungoje Hukumu Ya Mungu Duniani Tutaipata Wapi ?!Unaona laana hiyo, hivi mwenye jukumu la kuhukumu ni Mungu au mwanadamu? Hapa sizungumzii secular courts
sasa kwanini mtu asiogope kujiunga na uislamu iwa hofu kama hizi?
kuna taratibu za kuwabadilisha hawa watu na ikishindikana waache watajijua wao
Hujui U.K na U.S. wanapokimbilia waislamu kuna viongozi, watangazaji, wana michezo n.k mashoga?Kuwepo na mashoga ni tatizo sehemu yoyote ile iwayo ulimwenguni hata kwenye tanzania yetu ila kuwepo kwa kiongozi shoga ni tatizo zaidi maana inaonesha kwa kiasi gani una ungana nao juu ya ushoga wao
#TaifaTeule#
Kuna mambo ya kibinadamu na ya kiungu (imani) huwezi kuhusisha mambo ya kibinadamu na ya kiroho hata siku moja.Mnaposema mwenye jukumu la hukumi ni Mungu Mnakosea sana Maana Bila hukumu hata Dunia Isingekua Mahala Salama Watu Wanahukumiwa Sababu Wanakosea Tukisema Tungoje Hukumu Ya Mungu Duniani Tutaipata Wapi ?!
Wacha wahukumiwe na Mungu Atahukumu Pia
Taifa la Mungu ahahahaaaah, hizi stori za sungura na fisi mtaacha lini !!!Jee taifa la mungu,kizazi teule,watoto barikiwa wa mungu wamekuaje tena??
Waziri wa kwanza anayeshiriki wazi mapenzi ya jinsia moja ateuliwa Israel
Mwanaume wa kwanza kutangaza wazi kuwa anayeshiriki mapenzi ya jinsia moja ameteuliwa kuwa waziri na Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu.
Amir Ohana, kutoka chama cha Natanyahu cha Likud , amemteua kama kaimu waziri wa sheria kufuatia kufutwa kazi kwa mtangulizi wake.
Bwana Ohana, mwenye umri wa miaka 43, ni mfuasi sugu wa Netanyahu , ambaye aliunga mkono hatua za kumlinda waziri mkuu dhidi ya kushtakiwa.
Uteuzi wake unakuja siku kadhaa baada ya bunge kuvunjwa kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi mpya.
Bwana Netanyahu alimfuta kazi waziri wa sheria aliyekuwepo madarakani , Ayelet Shaked, miezi mitatu iliyopita.
Chama cha Shake ,ambacho kilikuwa sehemu ya serikali ya muungano wa Netanyahu, hakikupata viti vya kutosha kukiwezesha kurejea bungeni katiika uchaguzi wa mwezi Mei.
Waisrael watafanya tena uchguzi mwezi wa Septemba baada ya Bwana Netanyahu kushindwa kupata uungaji mkono wa kutosha kutoka kwa vyama kumuwezesha kuunda serikali ya mpito.
Ikitangaza utuzi wake, ofisi ya waziri mkuu ilisema kuwa Bwana Ohana ambaye ana taaluma ya sheria ni mwenye uelewa mkubwa sana mfumo wa sheria''
Bwana Ohana ni mfuasi sugu wa Netanyahu, na ametumia juhudi zake zote kuunga mkono muswada tata uliomuwezesha waziri mkuu aliyeko madarakani kuwa na kinga ya kutoshtakiwa.
Bwana Netanyahu anachunguzwa kwa madai rushwa na ufisadi na anaweza kushtakiwa miezi michache ijayo .Anakanusha vikali shutuma dhidi yake.
Bwana Ohanani mwanaharakati wa haki za wapenzi wa jinsia moja , ambaye anatetea ndoa za jinsia moja, jambo ambalo halitambuliki nchini Israeli isipokuwa kwa wale watakaoamua kufunga ndoa yao nje ya nchi . Mwaka jana apinga muswada wa sheria uliopiga marufuku ubaguzi wa wapenzi wa jinsia moja kwa kuzingatia utambulisho.
Ingawa haki za wapenzi wa jinsia moja zinapingwa na jamii ya Wayahudi nchini Israeli, kwa ujumla taifa hilo limekuwa na mafanikio katika kucommunity zenye sheria inayowalinda wapenzi wa jinsia moja .
My take:Wafuasi wa imani B kazi mnayo maana sasa sielewi kitabu chenu kikoje maana hawa ni watoto wa mungu kabisa
Source:BBC SWAHILI
Na ndiyo maana nikasema kama tutaamua kufuata hayo mafundisho ya Yesu basi dunia patakuwa mahali pabaya kabisa kuishi,.maana kwa asili ya binaadamu lazima tu watakuwepo ambao watauwa wezao,watawadhulumu na mengine mengi tu.
Kuna mambo ya kibinadamu na ya kiungu (imani) huwezi kuhusisha mambo ya kibinadamu na ya kiroho hata siku moja.
Mzinzi hawezi kumuhukumu mzinzi kiimani bali mzinzi anahukumiwa na Mungu tu.
Na kumbuka kwa imani yetu (Christians) ni mwiko kuhukumu hiyo ni kazi ya Mungu.
Nakuuliza swali kisha unijibu Mimi nimezini Saudia nikakamatwa nikahukukiwa kwa sheria za kiislamu nikanyongwa Mungu ataenda kunihukumu kwa lipi au adhabu zinakuwa mara mbili?
Kuna mambo ya kibinadamu na ya kiungu (imani) huwezi kuhusisha mambo ya kibinadamu na ya kiroho hata siku moja.
Mzinzi hawezi kumuhukumu mzinzi kiimani bali mzinzi anahukumiwa na Mungu tu.
Na kumbuka kwa imani yetu (Christians) ni mwiko kuhukumu hiyo ni kazi ya Mungu.
Nakuuliza swali kisha unijibu Mimi nimezini Saudia nikakamatwa nikahukukiwa kwa sheria za kiislamu nikanyongwa Mungu ataenda kunihukumu kwa lipi au adhabu zinakuwa mara mbili?
Hujui U.K na U.S. wanapokimbilia waislamu kuna viongozi, watangazaji, wana michezo n.k mashoga?
Dah! Yaani akipigwa mawe mpaka afe anahesabika hana dhambi ya uzinzi tena? Na hao waliompiga hawana dhambi ya kuua?Ila Yule alohukumiwa uzinzi kwa kupigwa mawe dhambi yake ya uzinzi imefutika.
Eti unakuwa kwa kasi.Ila atleast hayo mataifa ulotaja Uislam unkuwa kwa kasi.
Lakini Israel uhasherati umezid
Zurri ni kweli kiongozi haya yasemwayo na huyu mdogo wangu?Kuna hukumu na kuna adhabu.
Mtu alokufa na dhambi hajatubu ile dhambi ndio ataenda kukutana na adhabu huko kwa Allah.
Ila Yule alohukumiwa uzinzi kwa kupigwa mawe dhambi yake ya uzinzi imefutika.
Na km hakuna mahakama ya kadhi bas anatakiwa kutubu ili aifute ile dhambi.
Kwahyo akifa ataenda kuadhibiwa kwa madhambi mengine sio tena ile alohukumiwa huku au alokwishaitubu.