simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Watetezi wa taifa teule kimyaaaa😁😁
Ni taifa teule of course halina ubishi.Kumbuka Ni Taifa teule la mungu,au wewe hijakaririshwa hivyo mkuu
Kanisa la kiingereza la Anglican limeruhusu hilo.Mtu yyt anaweza kuamua kuwa shoga na wengine isiwahusu wao lkn unapokuwa kiongozi tena ktk nchi ambayo inaaminiwa na wakristo kuwa ni taifa teule la Mungu basi mtu huyo lzm apigwe vita sana mpk aachie hio nafasi. La Sivyo kesho akitokea mchungaji Kanisani akiamua kuwa shoga hatutokuwa na haki ya kumkataa matokeo yake na watoto wetu pia watafuata huko huko.
Kutahamaki jamii inageuka kama ile ya SODOMA NA GOMORA.
Mtu akiamua aolewe na mwanamme mwenzake akafanye huko pembeni lkn asituongoze sisi wala watu ambao wanaamini kuwa Mungu aliumba ADAM NA EVE sio ADAM na STEVE
Ingekuwa ni waziri huko Ulaya wala watu wasingesema kitu .
Ni taifa teule of course halina ubishi.
Alafu wakristo hatukalilishwi tunaelewa, Qur'an ndiyo inakalilishwa kwa sababu ya lugha
Sijawahi kumsikia Mkristo yeyote akipasema Saudia kwa kuwauwa wananchi wake kwa adhabu kali kama kuwakata mapanga n.kEti taifa teule 😁 wakat linanyanyasa wapalestina na kuwauwa, linanyanyasa watu weusi litakuwaje taifa teule kwa mfano!
Ukristo hawautambui 😁
Yesu wanamkana 😁
Hivi ninyi wamatumbi hamshituki tu!!! Poleni sana
Wazee wa taifa teule wanachungulia na kusepa.
Lini? Kanisa limeruhusu kweli au kiongozi wa kanisa aliulizwa na hakuonyesha kulikataa hilo?Kanisa la kiingereza la Anglican limeruhusu hilo.
Hilo ni Taifa la israel lina mambo yake ya ndani sisi watu wamataifa hatuwezi kuingilia mambo yao.
alafu huwa hatujifunzi kutoka kwa wachungaji, wainjilisti au mashemasi tunajifunza kutokana na Biblia
Anglican imeruhusu ndoa za jinsia moja nadhani uko nyuma sana kihabari.Lini? Kanisa limeruhusu kweli au kiongozi wa kanisa aliulizwa na hakuonyesha kulikataa hilo?
Anglican imeruhusu ndoa za jinsia moja nadhani uko nyuma sana kihabari.
Ila la Tanzania bado halijafanya huo upuuzi, waasisi wenyewe waingereza wameshafungisha ndoa kadhaa
Ila ni taifa teule la Mungu ??Wewe kinachokuuma nini?
hili ndilo tatizo la waislamu mnataka watu wote wawe na imani kama yenu kitu ambacho daima hakitawezekana.
Israel sio religion state kama Saudia, Iran, Algeria n.k ni secular state ndio maana kuna amani
Kabisa kwa mujibu wa maandiko ya Biblia.Ila ni taifa teule la Mungu ??
This generation will phaseout, let's waiting for next generationNi upumbavu wa kiwango cha ardhi na mbingu kuamini Israel ni taifa teule au nchi yoyote ile. Ni upumbafu tuliokaririshwa maafrika.
Mwenyezi Mungu ametoa sharia/muongozo wa maisha ya mwana adaam.kwahiyo wairan wanatekeleza hukumu kwa niaba ya Allah Subhana!!Unaona laana hiyo, hivi mwenye jukumu la kuhukumu ni Mungu au mwanadamu? Hapa sizungumzii secular courts
sasa kwanini mtu asiogope kujiunga na uislamu iwa hofu kama hizi?
kuna taratibu za kuwabadilisha hawa watu na ikishindikana waache watajijua wao
Shtuka unaibiwa wewe waisrael manyang'au tu kama manyang'au wengine huku duniani.Kabisa kwa mujibu wa maandiko ya Biblia.
Jesus christ! toka lini Mungu muumba wa mbingu na ardhi akasaidiwa kuhukumu na kiumbe chake?Mwenyezi Mungu ametoa sharia/muongozo wa maisha ya mwana adaam.kwahiyo wairan wanatekeleza hukumu kwa niaba ya Allah Subhana!!
Iran huwa inawanyonga hawa wanyama
Iran publicly hangs man on homosexuality charges
Iranian media reported that the 31-year-old kidnapped two 15-year-olds.m.jpost.com
Kuna wajinga wengi sana ambao hawasomi hata takwimu............wanakwambia Israel taifa la mungu huku Colombia yenye 99% ya ukristo hawataki hata kuisikiaNi upumbavu wa kiwango cha ardhi na mbingu kuamini Israel ni taifa teule au nchi yoyote ile. Ni upumbafu tuliokaririshwa maafrika.