Kuna bomba moja la maji taka linatokea usawa wa Ofisi ya Mkemia Mkuu na Ikulu kuingia baharini. Tutaanza kumtafutia humo!
atakimbia sana aiseeView attachment 41087
Katika hali ambayo unaweza kuitafasili kuwa joto la kisiasa la mjini Arusha dr dr dr kikwete ameingia miti licha yamatangazo ya takiribani wiki 2. Na leo asubuhi tulishuhudia magari ya matangazo akizunguka mjini ya kitujuza kuwa kesho atakuwa mjini Arusha kwenye uwanja wa Sheukh Amri Abeid lakini mchana huu gari la matangazo linapita na kutujuza atakae kuwepo ni Dr Bilal si kikwete tena, hali hii imewaacha watu wa Arusha na maswali mengi...
Je Kikwete kasoma alama za nyakati kuwa kwa sasa Arusha si salama kwake? Maana vijana wameandaa mabango na bendera za CHADEMA tayari kwa kumkaribisha.......
analo yaani ashaanza kuishi kama mtumwa ndani ya nchi yake?
Usiku wa kuamkia leo nimeota eti naendesha rocket!!!Hayawi hayawi sasa yamekuwa nimeona ukimya wa dr. slaa maana yake ni nini, Arusha msikate tamaa nchi imesha tikisika. Hata ridhiwani sanatembea na walinzi na msafara wa kisirisiri kama baba yake.
Hivi vile vikosi vya nato libya si vinge endeleza ukombozi huku. Mbona wa tz wanashida kuliko wa libya, bora gadafi kuliko M kwere
SASA NAULIZA HIVIIII..........Hii hali ya Arusha ikisambaa nchi nzima atakimbilia wapi?
Hivi hichi cheo cha makamu wa rais kina umuhimu gani kwenye nchi hii, kama sio ku misuse resources za wananchi,.
Mmmh mada nyingine! Mapinduzi Tanzania bado saaana. Unajua tatizo CDM mnaona wahuni na machinga mijini wakiwashangilia ndo mnadhani mmefanikiwa. Ukweli ni kuwa KURA zipo vijijini! Jijengeni huko. La sivyo 2015 mtalalamika tena!
Siasa za bongo uchwara kweli kweli ndo maana mie naona bora CCM.
A lot of people here will always bend over for slaa to do kameroun things on them