Criss
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 858
- 252
Kuna bomba moja la maji taka linatokea usawa wa Ofisi ya Mkemia Mkuu na Ikulu kuingia baharini. Tutaanza kumtafutia humo!
Hahahahaaaaaaaa............kwa hali ilivyo sasa usikute jamaa anaandaaa makao yake yakudumu mashariki ya mbali teheteheteheteeeeee