Nguvu ya mwanamke

Japo maisha ni ya thamani kwa kuyakatisha kwa staili hio japo inauma lakin alikosea angevumilia tu waachane tu mwanamke wa hvyo hafai...
ANA ROHO YA KINYAMA SANA HUYO MWANAMKE. NAMWEKA KUNDI MOJA NA WAUAJI. AKAISHI PORINI HUYO MWANAMKE
Duuuuh!!!
 

Ujumbe Bora wa mwaka 2016......Tatizo Wanawake wengi hawalioni hili kabisa...
 
Sijutii weye kuwa shemeji yangu umeandika kwa mpangilio mzuri na hisia za juu kabisa ubarikiwe threads chanya kama hizi ndio zinatakiwa hapa penye uzi huu najiona nipo jf.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…