Mwana wa Mungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2008
- 1,003
- 83
ndo hicho cha ajabu, nafikiri polisi wetu wanatakiwa kwenda shule ya sheria kabla. mtu unasalenda kabisa unakubali kukamatwa, hauna bunduki wana hujui kupigana ile kuhubiri tu, wenyewe wanakutia pingu, ni udhalilishaji sana. lakini hiyo haina shida kwa mchungaji mwenyewe, tatizo liko kwa waumini wa kikristo, wa kanisa lake na hata wale ambao si wa kanisa lake, alimradi tuwawe wakristo. wanahisi kudhalilishwa kwa mchungaji au dini yao. kuna upinzani gani yule jamaa alileta? aliaka kukimbia? kulikuwa na tatizo gani hata nguvu ya aina ile itumike?
Tuache kulalamika bila msingi jamani, yaani pingu tu mnalalamika hivyo je angetiwa makofi si mngefikia hata kuandamana? Suala la kuwa yeye ni mchungaji au sheikh si la msingi kwanza nani kakwambia sheria inachagua dini, mi nilidhani unazungumzia jitihada zilizotumika kulishughulikia suala la DECI zingetumika kwa mafisadi kumbe mnazungumzia kula gud time chini ya polisi!!!
hii post imekaa kidini kabisa yaani kama si uchochezi basi ni kutaka kututenganisha watanzania...tuache tabia hiyo kabisa. Anyway, hii haina maana kuwa post hii haifai bali ni marekebisho machache tu kwa mtazamo wangu, pia imenipa upeo mpya wa kuamini kuwa serikali ikiamua kuwashughulikia mafisadi inaweza "uNLESS NA WAHUSIKA WANA MKONO WAO"
ndo hicho cha ajabu, nafikiri polisi wetu wanatakiwa kwenda shule ya sheria kabla. mtu unasalenda kabisa unakubali kukamatwa, hauna bunduki wana hujui kupigana ile kuhubiri tu, wenyewe wanakutia pingu, ni udhalilishaji sana. lakini hiyo haina shida kwa mchungaji mwenyewe, tatizo liko kwa waumini wa kikristo, wa kanisa lake na hata wale ambao si wa kanisa lake, alimradi tuwawe wakristo. wanahisi kudhalilishwa kwa mchungaji au dini yao. kuna upinzani gani yule jamaa alileta? aliaka kukimbia? kulikuwa na tatizo gani hata nguvu ya aina ile itumike?
fiksiman, hujaelewa nini hapo? mbona Ubungoubungo amefafanua vizuri sana. polisi wanatakiwa wawe fair. Kama kanuni au sheria inasema watiwe pingu basi isichague. mafisadi wa EPA wanatayarishiwa executive rooms kule Keko /Segerea mchungaji anatiwa pingu!! polisi wako kwa ajili ya mafisadi au kwa ajili ya usalama wa raia wote?
Tuache kulalamika bila msingi jamani, yaani pingu tu mnalalamika hivyo je angetiwa makofi si mngefikia hata kuandamana? Suala la kuwa yeye ni mchungaji au sheikh si la msingi kwanza nani kakwambia sheria inachagua dini, mi nilidhani unazungumzia jitihada zilizotumika kulishughulikia suala la DECI zingetumika kwa mafisadi kumbe mnazungumzia kula gud time chini ya polisi!!!
hii post imekaa kidini kabisa yaani kama si uchochezi basi ni kutaka kututenganisha watanzania...tuache tabia hiyo kabisa. Anyway, hii haina maana kuwa post hii haifai bali ni marekebisho machache tu kwa mtazamo wangu, pia imenipa upeo mpya wa kuamini kuwa serikali ikiamua kuwashughulikia mafisadi inaweza "uNLESS NA WAHUSIKA WANA MKONO WAO"
.KULETA/kuchochea vurugu si lazima uwe na silaha bali unahamasisha uvunjivu wa amani.KAMA MCHUNGAJI ANAJUA KUWA MAMLAKA ZA DUNIA ZINA WEKWA NA MUNGU NA HIVYO ALITAKIWA KUZITII MAMLAKA HIZO.
Waziri mkuu alishatangaza kuwa DECI ipo kinyume cha SHERIA ZA NCHI AMBAZO HATA MCHUNGAJI ANATAKIWA KUZITII,PIA MKUU WA POLISI KANDA MAALUM YA DSM ALITANGAZA KUSIWE NA MKUSANYIKO WOWOTE KTK OFISI ZA DECI AU MKUSANYIKO WOWOTE WA WANANCHI KATIKA KUONGELEA DECI KWA SABABU MAMBO YAO YANASHUGHULIKIWA NA SERIKALI.
Sasa huyu mchungani aliendaje kukusanya watu?Kama wananchi ndio walimlazimisha awaambie hatma ya mbegu zao,kwanini asitoe taarifa polisi?
Acheni kutumia dini kama kinga ya maovu.
....HUENDA POLISI ALIYEMKAMATA ALIKUWA MUISLAM(joke)
Nguvu iliyotumika kumkamata mchungaji wa DECI majuzi, iliniumiza sana, mtumishi wa Mungu, mtu anayesimamia makanisa vile, halafu akafungwa pingu wakati hajaleta upinzani wowote, wala hajatoa dalili ya kupingwa kukamatwa, ilikuwa ni ya kupindukia.
Mimi sio polisi, ninaweza nikasema kuwa, kama polisi waliona ni bora kufanya vile, basi sawa, lakini basi nguvu ileile iliyotumika pale, itumike hivyohivyo na kwa mafisadi wengine kama kina mramba na mawaziri wengine wakubwa. hao mawaaziri wengine walikamatwa kwa kusindikizwa, lakini yule mchungaji alikamatwa kwa kupigwa pingu hadharani kama jambazi.
Mchungaji yule alikuwa pale akiwapa watu mbegu zao, akawa anawatangazia matangazo. polisi wanasema alikuwa anahamasisha fujo, hivi ni fujo gani wana deci wanaweza kuileta? mimi kama mkristo, na wakristo wengine wengi tu mtaani huku, tumechukizwa sana na kitendo kile cha kumdharirisha mchungaji wetu, hata kama mimi sisali kwake, lakini kuna waumini wake wengi wameumizwa na kitendo kile. kama hakukataa kupelekwa polisi, kwanini nguvu ya ziada kama ile itumike? lini tulishasikia hata Shehe mmoja tu amepigwa pingu? mbona kuna fujo nyingi tu zinafanyika misikitini, tena kali, nyingine ni hiyo ya arusha juzi kumzuia mtu wa bakwata. na nyingine nyingi. hivi kulikuwa na umuhimu wa kumfunga pingu mchungaji wa kikristo vile? ni mioyo mingapi ya wakristo imeumia? hatutaki jambo hili lijirudie, mapolisi wawe makini, wasilete hasira zzo binafsi kumaliza machungu yao. kama walikuwa na hasira na wale wachungaji au walikuwa na hasira na wakristo, ni maadui wa wakristo nina maana, wangejiweka wazi ili tujue. ile kitendo kile, hata kama watu hawatasema hadharani kwasababu wakristo ni waoga kuandamana, selikali ijue kuwa, liko linafukuta mioyoni mwa watu. na kuna siku watawajibika, either kwa kupitia kura au kitu kingine chochote ambacho sio violent. asante.