Uipinzani wako wengi lakini si chadema kwa mujibu wa memba wenye data.
KWa sababu waliwatimua dakika za mwisho sasa walitegemea nini? ama ndio ilikuwa njama kuwatimua ili kigoma ikose wabunge wa CHADEMA harafu baadae aje ahojiwe Zitto badala ya kamati iliyo watimu?