jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
- Thread starter
- #181
It was a yes or no answer.Why so defensive?wapi nimedharau taaluma ya nursing?Kwasababu kazi yako wewe na Slaa tu 27/4 humu.So I was wondering wapi muda wa huduma?Unesi ni kazi ya hesima kubwa. Kila aliyezaliwa hospitali aliingia kwenye mikono ya nesi na kuhudumiwa vizuri mpaka leo anajisikia fit kuandika kejeli juu ya taaluma ya unesi.
By the way, mimi sio nesi. But nursing is a highly respectable profession.