Nguvu ya bikra katika mapenzi

Nguvu ya bikra katika mapenzi

nishawahi kuwa na hawa wanaojiita mabikra kama watatu kiukweli ni wasumbufu sio siri, yaani msumbuane wee, nikikutana nae namtanua ila sina mpango wa kuwasaka
 
Usisahau sikuhizi mjini wanawake wanatengeneza bikra
 
Hope mtoa mada alitaka tujue kakutana na inayoitwa bikra,pia natumai mtoa mada mgeni sana kwenye hizo bikra hadi kutangaza kuoa kabisa.Japo kauli ya mwisho,kuita manungaembe wakina dada,haijavutia.Sio kila bikra lazima uitoe wewe,na kama haujapata ya kutoa usiwaite jina baya kama hilo.So wataka wanawake wote ukate utepe(bikra)?
 
Hata ambao hawana bikra mwanzon walipendwa kama unavyompenda huyo, wengine wakishatolewa hyo ndo wanaonja tam sasa hapo jua umefungulia mzeee hata ungemkuta cjui nn kuchapiwa kupo pale pale mbaya zaid umewadharau hao wanawake wengne ambao hawana bkr, je ww unayo? Ni kwel hujawah kulala na mwanamke had ukampata huyo mwenye bkr? Kama umewah kulala na wengne unapata wap ujasir wa kuwatukana hawa wengne? Una hakika gan mama ako aliolewa akiwa bkr? Kutukana ambao hawana huon unaweza kuwa umemtukana na mama yako? Umeniudh sana omba samahan haraka sanaaa!!
 
utajuta kuoa bikra ............ bora aliyeshaziona ndefu, fupi, nyembamba, nene akatulia akaamua kuolewa.
 
Niliposoma title yako "Nguvu ya bikira" nikajua unaelezea nguv za kiroho anazoweza kuwa nazo mwanamke bikira, kumbo utumbo mtupu? Nikusaidie sasa Mwanamke Bikira ana nguvu za kiroho kuliko yule ambae hana, Mwanamke bikira akijitambua vizur na akamjua Mungu vema anakuwa na upakomkubwa sanaa n.k hizo ndo nguvu tulitegemea uzieleze hata nguvu za ki mwili basi ungeelezea hvyo!!
 
Back
Top Bottom