Nguvu ya bikra katika mapenzi

Nguvu ya bikra katika mapenzi

Nimekuwa nikisikia habari nyingi kuhusu bikra lakini sikuziamini kivilee, nilijua mwanamke ni mwanamke haijalishi ukimkuta bikra au vipi ili mradi ana maumbile ya kike basi hakuna kinachoharibika.

Miezi kadhaa iliyopita nimebahatika kumpata mwanamke ambae ni bikra ambae nilikuwa namuwinda kwa muda mrefu sana sema ndo hivyo kila kitu kinawakati wake. Hakuna kitu kizuri kwenye mahusiano ya kimapenzi kama kuwa na mwanamke ambae umemtoa mwenyewe bikra na kumfundisha mapenzi mwenyewe.

Kusema ukweli mi si mtulivu kwenye mahusiano lakini toka nikutane na huyu amenibadilisha sana maisha yangu ya kimahusiano, nahisi kitu ambacho sijawahi kuhisi maishani mwangu, kaimani ffulani moyoni na mwepesi ajabu. sijawahi kupenda hapo mwanzo kama navyopenda sasa.

Kwa ufupi nahisi raha na amani ya hali ya juu ambayo sijawahi kuipata mwanzoni. Sasa nimeamua kutulia kabisa na kuachana na binti wa mjini wanaotembeza k kila kukicha.

Nimepata wangu halisi miezi michache ijayo natarajia kuitwa baba najiona mwenye bahati kumpata mwanamke bikra, anajua thamani yake, anajua nini maana ya maisha, ana heshima na anajua yeye ni nani mwanamke bikra mtamu. nimeokota dhahabu nashukuru Mungu kwa hili.
So unataraj kuitwa baba kabla ya kuitwa MUME
 
nishawahi kuwa na hawa wanaojiita mabikra kama watatu kiukweli ni wasumbufu sio siri, yaani msumbuane wee, nikikutana nae namtanua ila sina mpango wa kuwasaka
Hahahahahaaaa yaani kidogo nipaliwe...we kaka! 🙂
 
bikra ni ukosefu tu fursa. Kama kweli unahitaji kuenjoy raha ya hawa wanawake(zawadi zetu kutoka kwa mungu) tafuta mwanamke mtu mzima anaye kuzidi umri tena inapendeza akiwa hata na watoto kadhaa hivi misuli ya papuchi yake huwa ni nyumbufu zaidi na imejaa vizuri na inateleza vizuri utamu kolea na kyuma ya mtu mzima huwa inanukia vizuri zaidi ukiinusa nakukupandisha morali zaidi wa kumtoamba acha hivi vitoto kyuma haijajaa vizuri hata kunukia havinukii na vikinukia basi ni pafyumu tu za matunda sijui majani ya wapi wapi huko kifupi tu huwezi kupata great *** kwa demu bikra.
 
Yaani nimetafuta hii thread page nyingi ili tu ni dondoshe LIKE
 
bikra ni ukosefu tu fursa. Kama kweli unahitaji kuenjoy raha ya hawa wanawake(zawadi zetu kutoka kwa mungu) tafuta mwanamke mtu mzima anaye kuzidi umri tena inapendeza akiwa hata na watoto kadhaa hivi misuli ya papuchi yake huwa ni nyumbufu zaidi na imejaa vizuri na inateleza vizuri utamu kolea na kyuma ya mtu mzima huwa inanukia vizuri zaidi ukiinusa nakukupandisha morali zaidi wa kumtoamba acha hivi vitoto kyuma haijajaa vizuri hata kunukia havinukii na vikinukia basi ni pafyumu tu za matunda sijui majani ya wapi wapi huko kifupi tu huwezi kupata great **** kwa demu bikra.
Hahahahahaahha 😀😀😀
 
Nimekuwa nikisikia habari nyingi kuhusu bikra lakini sikuziamini kivilee, nilijua mwanamke ni mwanamke haijalishi ukimkuta bikra au vipi ili mradi ana maumbile ya kike basi hakuna kinachoharibika.

Miezi kadhaa iliyopita nimebahatika kumpata mwanamke ambae ni bikra ambae nilikuwa namuwinda kwa muda mrefu sana sema ndo hivyo kila kitu kinawakati wake. Hakuna kitu kizuri kwenye mahusiano ya kimapenzi kama kuwa na mwanamke ambae umemtoa mwenyewe bikra na kumfundisha mapenzi mwenyewe.

Kusema ukweli mi si mtulivu kwenye mahusiano lakini toka nikutane na huyu amenibadilisha sana maisha yangu ya kimahusiano, nahisi kitu ambacho sijawahi kuhisi maishani mwangu, kaimani ffulani moyoni na mwepesi ajabu. sijawahi kupenda hapo mwanzo kama navyopenda sasa.

Kwa ufupi nahisi raha na amani ya hali ya juu ambayo sijawahi kuipata mwanzoni. Sasa nimeamua kutulia kabisa na kuachana na binti wa mjini wanaotembeza k kila kukicha.

Nimepata wangu halisi miezi michache ijayo natarajia kuitwa baba najiona mwenye bahati kumpata mwanamke bikra, anajua thamani yake, anajua nini maana ya maisha, ana heshima na anajua yeye ni nani mwanamke bikra mtamu. nimeokota dhahabu nashukuru Mungu kwa hili.
Hyo mimba iliingiaje ...kwa maneno yako mlifanya kabda ndoa...wote walewale... Wazinzi...hamna tofauti na hao mnawaita watembeza k'
 
bikra ni ukosefu tu fursa. Kama kweli unahitaji kuenjoy raha ya hawa wanawake(zawadi zetu kutoka kwa mungu) tafuta mwanamke mtu mzima anaye kuzidi umri tena inapendeza akiwa hata na watoto kadhaa hivi misuli ya papuchi yake huwa ni nyumbufu zaidi na imejaa vizuri na inateleza vizuri utamu kolea na kyuma ya mtu mzima huwa inanukia vizuri zaidi ukiinusa nakukupandisha morali zaidi wa kumtoamba acha hivi vitoto kyuma haijajaa vizuri hata kunukia havinukii na vikinukia basi ni pafyumu tu za matunda sijui majani ya wapi wapi huko kifupi tu huwezi kupata great **** kwa demu bikra.
.
 
Kuna rafiki yangu mmoja aliniambia.. "Mumewe ndie alie m'bikiri lakini hajamfaidi kabisa" wanaume wa nje ya ndoa ndio wamemfaidi zaidi. Naomba hili lisije likakutokea kwa mkeo.
 
nikweli mino
Hahahaha....Hapo kwenye ukosefu wa fursa ni kweli...mostly of girls ambao wapo bikra ktk age flan karne hii wamelack opportunity...
Ila hapo kwny wamama watu wazima kha!!! Sikubaliani na wewe kwakweli
nikweli minofu yao ya papuchi imejaa vizuri na nilaini inateleza vizuri kwenye kutoamba jumlisha ile smell ya fu.ck aisee hatari ni kupumzika kidogo tu unajikuta unataka tenakesho yake ukimtazama unamuona macho yamedumbukia ndani.kwakweli raha sana kuwa pamoja nanyie viumbe kwenye sayari hii bonge la kampani.halafu we niamini mimi ni mzoefu sijui hata nisemeje.
 
nikweli mino

nikweli minofu yao ya papuchi imejaa vizuri na nilaini inateleza vizuri kwenye kutoamba jumlisha ile smell ya fu.ck aisee hatari ni kupumzika kidogo tu unajikuta unataka tenakesho yake ukimtazama unamuona macho yamedumbukia ndani.kwakweli raha sana kuwa pamoja nanyie viumbe kwenye sayari hii bonge la kampani.halafu we niamini mimi ni mzoefu sijui hata nisemeje.
Mh...unajiexpress yani...
Kha...!!!
 
unajua inashangaza kuona mwanamke unakandia kabisa kusema bikra haina thamani lakini kiukweli kabisa bikra inathamani sana kama wewe ulitolewa ukiwa darasa la pili basi usitupe mawazo yako yakukandia wasichana mabikira, mimi ni mmoja wa hao mabikira na ninajivunia kwa hilo, watu wanajidanganya sana eti msichana bikra akishatolewa huwa unamfungulia mlango wakufanya na wengine, mimi nasema hapana kama unajiheshimu utaendelea kumuheshimu yule aliyekuoa na kukuweka ndani.
 
Back
Top Bottom