Kuna Uzi wa siku nyingi humu wa Pascal, utafute utawakuta wenzio kule...
fanya iv wakat unaenda kulala,fumba macho kish concentrate kweny pua yak kimya kabisa,kisha unaweza omba unachotaka kimya kimya au kwa maneno ,siyo kwa makelele kipind unaomba Amini kwamba utapata,kwa nn usiku mtu anaweza uliza ivo, kwa sababu akili yak usiku ndio uongea na wewe,au inaweza kutangulia kwenye maisha yak kuona kile ambacho ktatokea,in short mkuu ni somo pana sana siwez eleza yote ila meditation ndio ufunguo wa yote, sababu hata zuckerburg na steve job walitumia sana
Note:ata mimi pia ni mkristo ila naamin tu kwenye nguvu za akili
mi inanitokeaga sana ila ninachojiuliza kwenye kugegeda mbona sionagi tukio ambalo linajirudia... au pale kuna nguvu nyingine ya ajabu...!!!
hapana mkuu sio mapepo ,ni vitu ambavyo vipo coz hata science inakir kwamba human DNA can be reprogrammed by words and frequency so,pia unaweza ukapona magonjwa kwa maneno tu yalichanganywa na imani na persistence, na hiyo ndio siri inayofichwa na watumishi wengi sana wanaojiita wametumwa na mungu,waganga na wasoma vitabu,wanachokifanya ni kuhakikisha unakuwa katika hypnotic state,hii state itafanya akili yak iwe katka hali ya receptivity ambayo dna inaweza ikiwa programmed na ndo utasikia mganga fulani ni kiboko,wakat huyu huyu mtoa mapepo na mponyaji ndio bingwa wa mambo ya ajabu ya kishenzimapepo hayo
Nenda barabara ya kisutu kuna temple inaanza saa 11 asubuhi!I'm also looking for a spiritual path. I'm waiting for someone to take me to a Buddhist temple. I believe in the power of the mind.
Kuzitumia kivipiyah kwel kila mtu huwa anazaliwa na hii kitu ILA ni wachache sana wanazozitumia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mi inanitokeaga sana ila ninachojiuliza kwenye kugegeda mbona sionagi tukio ambalo linajirudia... au pale kuna nguvu nyingine ya ajabu...!!!
kuzitumia kadiri ya lengo la alituumba,kwa mfano unaweza tumia km tahadhar dhid ya kitu coz hii kitu ina mchezo wa kukupa warning,lakini pia kujiponya magonjwa, kuwa mwenye furaha, na kutumia hata kwenye masomo km bado unasomaKuzitumia kivipi
Yes Kuna mtu namsubiria twende woteNenda barabara ya kisutu kuna temple inaanza saa 11 asubuhi!
Provide a Link pleasehata science inakir kwamba human DNA can be reprogrammed by words and frequency
AsanteYes Kuna mtu namsubiria twende wote
Nipo busweru mkuuupo sehemu gani??????