Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 14,395
- 18,203
Anakula hadi nyoka na sumu yake bila kudhurika sembuse pilipili.Nguruwe anakula chochote hata banda lake akiwa na njaa analitafuna, sidhani kama pilipili inaweza kumuua
Anakula hadi nyoka na sumu yake bila kudhurika sembuse pilipili.Nguruwe anakula chochote hata banda lake akiwa na njaa analitafuna, sidhani kama pilipili inaweza kumuua