Nguo zenye rangi ya Jeshi

Huyo kibaka alovaa kofia ya jeshi alipaswa kuvuliwa nguo zote abaki uchi, watanzania mmekuwa viburi sana, vibaka kama hao nikiwakuta sehemu yoyote nawatia mbata nawavua nguo zote
Mie nimetinga pensi ya rangi ya jeshi la marekani na nipo hapa nyegezi car wash mkabala na bwalo la jeshi njoo unikamate nakusubiria.
 

typical African mentality, Ovyo kabisa.
 
waafrika ni watu wapumbavu sana
Africa ina watu wapumbavu sana nakubaliana na wewe

Ila Tanzania imeonesha upekee kwenye upumbavu kiasi cha kuwashangaza mataifa mengine ya hapa Africa.

We jaribu kuchunguza vitu vya kipumbavu vinavyofanywa Africa utaona upumbavu unaoshika nafasi za juu, ulifanyika Tanzania.
 
Apa bongo Kuna watu kama wanajeshi, police (kasoro askari magereza) ,
ma Dr na watu wa NIDA
asee Wanalinga Sana sijawahi ona
 
Hunatu akili kina kitenge wameruhusiwa ni kazi yao in short kupiga picha pale kivukoni ni kosa la jinai
 
Hunatu akili kina kitenge wameruhusiwa ni kazi yao in short kupiga picha pale kivukoni ni kosa la jinai
Hujui kitu wewe ni bora ukauliza, unajua sheria ya the white house tour ya 2015 kuhusu kupiga picha?

Uliliona tukio la Snoop Dogg la kwenda kuvuta ganja ikulu?

Au unaongea tu?
 
Wanajeshi wa TZ yani wana ubabe wa kiwaki sana. Sasa mfano kumkamata mtu ukamwambia ajiviringishe kwenye tope unafurahia kitu gani
 
Kwa Sheria zetu raia hatakiwi kuvaa nguo zinazofanana na nguo za majeshi yetu.
Ila kwa Hawa wanausalama wetu wenye elimu ya form 4 div 4,Huwa busara ni zero kabisa,
 
Sheria za mwaka 1947,kwnini hatujifunzi uSA,kule sio kwamba TU mtu raia anavaa combat,hata siraha unaweza kumiliki,
Waharifu wa siku Hz,sio lazima combat,unapiga kimtandao,escrow,meremeta,Richmond waharifu waliiba kwa peni,
 
Sheria za mwaka 1947,kwnini hatujifunzi uSA,kule sio kwamba TU mtu raia anavaa combat,hata siraha unaweza kumiliki,
Waharifu wa siku Hz,sio lazima combat,unapiga kimtandao,escrow,meremeta,Richmond waharifu waliiba kwa peni,
Mbona unangangania kuvaa za majeshi? Mbona usivae za wafungwa, za mortuary attendant kama issue ni uniform? Kila nchi Ina sheria zake na tamaduni zake na ustaarabu wake. Kusema kama Marekani na sisi tuige yapo mabaya Sana ya Marekani na hayo tuyaige. Tanzania tumezungukwa na nchi nyingi zenye political instability hivyo kuruhusu VIFAA vya Jeshi lolote kutumia au kuvaliwa mitaani na raia kina madhara makubwa Sana kiusalama
 
Huyo kibaka alovaa kofia ya jeshi alipaswa kuvuliwa nguo zote abaki uchi, watanzania mmekuwa viburi sana, vibaka kama hao nikiwakuta sehemu yoyote nawatia mbata nawavua nguo zote
Haujajaa tu kwenye 18 utapakwa KY nakuhakikishia
 
Huyo kibaka alovaa kofia ya jeshi alipaswa kuvuliwa nguo zote abaki uchi, watanzania mmekuwa viburi sana, vibaka kama hao nikiwakuta sehemu yoyote nawatia mbata nawavua nguo zote
Na wasiwasi kama uko sawa, hivi mavazi ya jeshi la china au marekani wewe yana kuhusu ninii
 
Wajeda wetu mchosho sana.Wanaacha kupambana na wanaotaka kuuza bandari,wao wanapambana na wananchi wanyonge kisa kuvaa nguo zenye rangi ya jeshi,sasa hapo si kumuelekeza tu mtu kiustaarabu?!!!.
 
Hayo manguo na makofia ya majeshi ya Nchi za Nje yanauuzwa kwenye nguo za Mitumba na yako mengi sana mbona! Huyo mjeda labda yeye ndiyo alikua anataka kumpora Kijana kofia yake!!
 
Awatakiwi wasio raia kuyavaa sababu wengine wanafanyia uhalifu
Achaa akili za kiloko kama za police wa zamani walikua hawataki tupaki gari zetu aina ya BMW karibu na Bank, kisa tu zinakimbia sana,na wahalifu wanazitumia kuibia ma Bank! Suburini mpaka hapo Mtu atakapofanya uhalifu ndiyo umchukulie hatua!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…