Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,357
- 108,493
...kweli leo ijumaa,Mungu tusaidie wajawako...
Hivi kweli kidume rijali na kengele zake aamue tu kuvaa hiyo bidhaa hapo chini eti kwa sababu hakuna yenye kumfaa...hivi kweli jamani kweliiii
...kweli leo ijumaa,Mungu tusaidie wajawako...
avae mwanaume maana ile kitu iko mbele sana na ikichachamaa itakua balaa
mwanamke imejificha........
naomba usiniharibie siku,nimetukana nini!nimemvunjia nani heshima!report kwa mode
Huyu kawaza badala ya kufikiria...ni kama mtu aliyekurupushwa usingizini
Kwani nakuharibia au umejiharibia mwenyewe....wewe unaona bonge la swali umeulizanaomba usiniharibie siku,nimetukana nini!nimemvunjia nani heshima!report kwa mode
hahahahahahahahahahahahahaaaaaaaaa jf bwana never boring"Hii itakufaa? maana ndiyo pekee iliyobakia kabati", fikiria hivyo ndivyo mwandani wako anakuambia.
Sasa sijui hapo korodani zako zitapumulia wapi kama sio kujitakia utasa tu.
![]()
chupi sio muhimu sana.
niliropoka tu, sina sababu yoyote ya kusema hivoHapo umetoa kiima tu sasa lete kiarifu , why?