Nguo mpya za kike zafanyiwa Ibada ya Uchawi

Nguo mpya za kike zafanyiwa Ibada ya Uchawi

nzalendo

Platinum Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,976
Reaction score
14,826
Sikuamini macho yangu kumbe tuko kwenye jamii hatari kiasi namna hii?

Mfanyabiashara mwenye uwezo anafanya mambo ya shirki(ushirikina) juu ya nguo za ndani za kike.

Ni nguo mpya kabisa zinafanyiwa mambo usiku wa manane ili baadae mvaaji akiwa katika siku zake basi anakuwa connected na madhabahu yake ikiwa na maana kwa baadae mimba kuharibika, kuwa na kajini mahaba,kukosa mume.n.k. (pia kuangamia=kafara)

Kumbe nguo ya ndani ni hatari sana,kama ntu akiichukua huweza kukutengeza.

SASA HUYU MFANYABIASHARA HUZIWAHI KABLA,NI TEKNOLOJIA MPYA KATIKA UCHAWI ''PRE AMBLE.......''
 
Duh...kizazi hatari. Lakini ni vitu vingi tu hufanyiwa hivi. Cha msingi unaponunua bidhaa yoyote unatakiwa uiombee ilikukata mawasiliano na mambo ya kuzimu ....hasa vifaa vya kujirembea kwa wadada.
 
Kwa nini za kiume hazifanywi hayo mambo??
 
Dah inatisha kweli ndo maana majina mahaba ayawatoki watu kumbe vifaa na mavazi tunayotumia ndo sababisha majanga kweli cjui tukimbilie wapi viwanda atuna kila kitu tunategemea kutoka nje.
 
Dah inatisha kweli ndo maana majina mahaba ayawatoki watu kumbe vifaa na mavazi tunayotumia ndo sababisha majanga kweli cjui tukimbilie wapi viwanda atuna kila kitu tunategemea kutoka nje.
kweli mkuu
 
nzalendo,
je, unaweza kutufafanulia zaidi namna ulivyo ifumania hii ishu,(usiku wa manane)?
 
Mkuu...sio nguo za ndani tu....nguo yoyote unapoinunua km unaamini ktk MUNGU wa kweli kabla hujaivaa isemee NENO vinginevyo utakwisha.....Kitu kingine chakuzingatia Jitahidi nguo unazonunu zinakuwa na Nembo gani zingine zinawakilisha Madhabahu zaKishetani...take care
 
Kwani wanaume mnaenda mwezini?

Hakuna connection ya damu.

Mkuu connection na Madhabahu yakishetani haiangalii ni Mwanamke au mwanaume inategemea mwenye hiyo madhabahu anakusudia nini mimi niliwahi kuwa connected... na Roho za kuzimu kupitai jina nililotumia kusajili Line ya Simu cz sikutumia jina langu nilitaabika kwelikweli...hadi nakuja kugundua Nilishapigika sana...ndg acha kabisa kuna watu wameSacfrice kwa SHETANI na wanamtumikia at the maximum ..take care
 
Mkuu...sio nguo za ndani tu....nguo yoyote unapoinunua km unaamini ktk MUNGU wa kweli kabla hujaivaa isemee NENO vinginevyo utakwisha.....Kitu kingine chakuzingatia Jitahidi nguo unazonunu zinakuwa na Nembo gani zingine zinawakilisha Madhabahu zaKishetani...take care

... Malaika wa Bwana hufanya kituo wakiwazungukia wale wamchao... kama kumcha Mungu ni sehemu ya tabia yako hata uvae nguo iliyotoka kufanyiwa tambiko saizi hutadhurika maana aliyeupande wako ni mkuu kuliko adui.
 
... Malaika wa Bwana hufanya kituo wakiwazungukia wale wamchao... kama kumcha Mungu ni sehemu ya tabia yako hata uvae nguo iliyotoka kufanyiwa tambiko saizi hutadhurika maana aliyeupande wako ni mkuu kuliko adui.

Nikweli mkuu lkn bila kufyatua NENO?? Kumbuka kisa cha DAUDI alipomshinda MFILISTI kumbuka NENO alilomwambia Sauli....pia yeye DAUDI alipokuwa kwenye uwanja wa mapambano alimwambiaje GOLIATH maana yangu nikwamba hata km MUNGU yuko upande wetu lazima tuseme kitu jiulize kwanini YESU alimuuliza BATIMAYO kwamba anataka amfanyie nini ikiwa alijua yule kipofu shida yake kubwa nikuona....
 
Nikweli mkuu lkn bila kufyatua NENO?? Kumbuka kisa cha DAUDI alipomshinda MFILISTI kumbuka NENO alilomwambia Sauli....pia yeye DAUDI alipokuwa kwenye uwanja wa mapambano alimwambiaje GOLIATH maana yangu nikwamba hata km MUNGU yuko upande wetu lazima tuseme kitu jiulize kwanini YESU alimuuliza BATIMAYO kwamba anataka amfanyie nini ikiwa alijua yule kipofu shida yake kubwa nikuona....

neno kwa mda huo si lazima ilimradi kila siku huwa unajikabidhi mikononi mwa Mungu, we unasemea nguo lkn je wajua kuwa haya njiani tunakopita mapepo wa uovu wamejaa? mwilini umevaa vitu vingapi? ni nguo tu..vipi kuhusu saa, viatu, mkanda, mafuta uliyopaka, maji uliyooga, body spray je? kila kimoja ilikisemea neno kwa wakati wake?
Mi nikimwomba Mungu asubuhi niamkapo naomba kwa ajili ya vyote,nikiomba mchana ujue ni special case au ni kwa ajili ya chakula.
 
Back
Top Bottom