Amekupigia simu akakuuliza unafanya nini? wewe ukamjibu naenda kuoga akakasirika, jibu lako halikuwa sahihi hata kidogo kwani kwa muda ule hukuwa unaoga ila ulikuwa unaongea nae which means palikuwa na nafasi ya kumkaribisha kuja kwani hukuwa unaoga, kama yeye alikasika kwamba hukumkaribisha basi msuburi aje kama hayuko mbali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.