Njoo pm tuyajenge basiAsante rafiki
Njoo pm tuyajenge basiAsante rafiki
Mkuu Mkuu kwema habari za masiku
Niliamua nisijibu hiyo reply. She is trying too hard to prove herself wrong, kiukweli hata yeye anamkubali lakini kashapata redflags kutokana na jamaa kuwa open kwake kuhusu tabia zake. You know gals, wanadhani kuna prince charming wa cinderella tales which is highly wrong. Chalii anaweza kuwa true kabisa thou simjui in person, Most players hata nao hupenda pia especially wale friends wao wanaoendana nao interests ila sio lazma amkubali. If she wants to keep it proffessional anaweza tena effortlessly lakini kudhani anaweza kupata friend mwanaume ambaye wataendana halafu mtu asidevelop anything is WRONG
I have seen so many times watu wanakuwa na marafiki wa kike thou waliwatongoza kwa point moja in life lakini baadae waliwaheshimu sana. Unaweza kuwa na rafiki wa opposite sex kama mna common ground kama biashara. Kwanza urafiki wa hivi huwa mzuri tu maana huwa hakuna vinyongo vya kimaendeleo, kwanza gals huwa hawana mambo mengi so huwa focused sana na kama mna patnership mambo huenda faster kutokana na zile favor ambazo wao hupewa katika fursa mbalimbali. Urafiki wa hivi upo ila inabidi mwanaume ujitoe katika position na mawazo local kuwa sex ndio connection na opposite sex.
Ndio hicho mkuu,Ila kama mnaendana si mmalize Tu mkuu,mpeane Tu conditions mnaweza kuwa mume na mke watu wanaoshea many things ikiwemo maarifa ya kibiasharaHaiwez baki salama
Kaeni myaweke Sawa,shetani usiyemjua ni Bora kuliko Malaika usiyemjuaKuna mengi tunapishana kulinganisha na tunayoendana
Njoo kwangu hilo ni jambo dogo sanaTumekutana mahali tukajadili mawili matatu tukabadilishana namba kiukweli interest zetu zikaendana na tukaendelea kuwasiliana/kusaidiana kimawazo kwa mda kidogo lakini urafiki umeisha gafla baada ya yeye kuingiza mambo ya mapenzi ambayo hayakua kwenye list ya urafiki wetu mbaya zaidi alinambia mwenyewe madhaifu aliyonayo kwa warembo...
Wakuu inamaana siwezi pata rafiki kama rafiki tu wakubadilishana nae mawazo na si kushiriki nae tendo(mahusiano)
Kwan baba ako na kaka zako hawakutoshiTumekutana mahali tukajadili mawili matatu tukabadilishana namba kiukweli interest zetu zikaendana na tukaendelea kuwasiliana/kusaidiana kimawazo kwa mda kidogo lakini urafiki umeisha gafla baada ya yeye kuingiza mambo ya mapenzi ambayo hayakua kwenye list ya urafiki wetu mbaya zaidi alinambia mwenyewe madhaifu aliyonayo kwa warembo...
Wakuu inamaana siwezi pata rafiki kama rafiki tu wakubadilishana nae mawazo na si kushiriki nae tendo(mahusiano)
Tumekutana mahali tukajadili mawili matatu tukabadilishana namba kiukweli interest zetu zikaendana na tukaendelea kuwasiliana/kusaidiana kimawazo kwa mda kidogo lakini urafiki umeisha gafla baada ya yeye kuingiza mambo ya mapenzi ambayo hayakua kwenye list ya urafiki wetu mbaya zaidi alinambia mwenyewe madhaifu aliyonayo kwa warembo...
Wakuu inamaana siwezi pata rafiki kama rafiki tu wakubadilishana nae mawazo na si kushiriki nae tendo(mahusiano)
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣watu wengine watoe ushauri mimi nimeshachoka