Ngozi ya punda ina thamani kubwa China

Ngozi ya punda ina thamani kubwa China

Mkuu naomba ufafanuzi kuhusu SUPU YA KIOTA CHA MBAYUWAYU.
... Ni kweli kbs ndugu. Kuna aina fulani ya mbayuwayu, hutengeneza viota vyao kwa kutumia zana mbalimbali, majani fulani, manyoya yao, kuvu na huvigandisha kwa kutumia gundi ya mate yao. Viota hivi ni adimu sana. Hukusanywa wakati wa majira ya baridi (winter). Huchemshwa na kuongezwa viungo kadha wa kadha kama vile ginseng(sijui kiswahili chake) pembe changa za paa, na nyongo ya kiumbe fulani anaitwa salamander (aina fulani hivi ya mjusi kama kambale anaishi majini) na vitu vingine hata sivijui. Supu yake wenyewe hudai ni tiba ya magonjwa kadhaa km kansa, baridi yabidi, nguvu za huko pentagon nk.
.. Ndugu wachina wanakula vitu vya ajabu sana.
 
Nimepata kuzuru China kwa ziara fupi ya miezi mitatu. Hawa jamaa ni bingwa wa kula... They eat nearly everything. Kwa huku kwetu Africa ni vitu ambavyo haviwezi hata kufikirika.... Supu ya kiota cha mbayuwayu, mbwa, kenge, kakakuona, mende, konokono, farasi, bilulu, nyoka aina zote, minyoo, mabuu.. Etc
Kuna usemi unaosema jamaa wanakula kila kitu chenye uhai na kinachotembea.
 
Kuna usemi unaosema jamaa wanakula kila kitu chenye uhai na kinachotembea.
... Kabisa. Wachina wanasema hivi.:..Tunakula chochote kinachotembea isipokuwa gari, chochote kinachoruka isipokuwa ndege(aeroplane), chochote kinachotambaa isipokuwa treni.
 
Nimepata kuzuru China kwa ziara fupi ya miezi mitatu. Hawa jamaa ni bingwa wa kula... They eat nearly everything. Kwa huku kwetu Africa ni vitu ambavyo haviwezi hata kufikirika.... Supu ya kiota cha mbayuwayu, mbwa, kenge, kakakuona, mende, konokono, farasi, bilulu, nyoka aina zote, minyoo, mabuu.. Etc
Huwa nafikiria huenda Hawa ndgu zetu wa singida Ni wachina
 
Hapa ntaomba msaada wa dada zetu waliowahi kukutana na wachina. Ni kweli hawa watu wana nguvu kama vile wanavyosifika kwa utajiri wa madawa yao ??
 
Nimepata kuzuru China kwa ziara fupi ya miezi mitatu. Hawa jamaa ni bingwa wa kula... They eat nearly everything. Kwa huku kwetu Africa ni vitu ambavyo haviwezi hata kufikirika.... Supu ya kiota cha mbayuwayu, mbwa, kenge, kakakuona, mende, konokono, farasi, bilulu, nyoka aina zote, minyoo, mabuu.. Etc
usiweke chumvi na sukari bhana vingine haviliki.
 
usiweke chumvi na sukari bhana vingine haviliki.
... Ndo mana nikasema mapema ndugu yangu... Vingine kwa huku Africa vyako vya kichina huwezi hata kufikiri. Mfano damu ya nyoka aina ya cobra(swila), pumbu za nguruwe, minyoo ya kukaanga.,...nk. Let me tell you one thing. Waafrika hasa wa bongo, tupo very selective kwenye chakula. Hata hao Wamakonde tunadhani kwamba ni mabingwa wa kula kila kitu, hawafikii wachina. Wachina ni nux kwa maulaji bwana. Acha kabisa. Hivi unaweza kudhani kwamba kinyonga analiwa?... Nenda china ukapate pilau ya kinyonga kaka.
 
Nimeanglia documentary kwenye channel ya france 24 punde kumbe nyuma ya pazia wachina kufanya biashara ya nyama ya punda africa ni ngozi ya punda yenye thamani kubwa na inatengeneza dawa iitwayo
Ejiao china inayosaidia mzunguko wa damu,kinga dhidi ya cancer na nguvu za kiume!
Manyoya ya punda ndio yenye thamani zaidi.
 
Nimepata kuzuru China kwa ziara fupi ya miezi mitatu. Hawa jamaa ni bingwa wa kula... They eat nearly everything. Kwa huku kwetu Africa ni vitu ambavyo haviwezi hata kufikirika.... Supu ya kiota cha mbayuwayu, mbwa, kenge, kakakuona, mende, konokono, farasi, bilulu, nyoka aina zote, minyoo, mabuu.. Etc
Nasikia ndo vina pelekea wawe na high iq
 
Inawezekana wamefanya utafiti wakaona viba100 vitabadilika na kuwa kama punda
We never know
 
Back
Top Bottom