Ngozi ya chatu ni zaidi ya uijuavyo

Ninayo ngozi ya chatu naimiliki kihahali kule kilingeni Msata... Karibu tufanye jaribio la pamoja
 
. Mtu mwingine naye alimwona nyoka akipita njiani, akajishika kwa nguvu mkono kwenye wrist, nyoka hakuweza kusogea hata inchi moja mpaka alipouliwa.
[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]hilo nimelishuhudia pia


Ni maajabu ya ajabu
 
Mbwa wangu anakula hadi chatu sasa nyie njoeni na chatu wenu muone kilicho mtoa kanga manyoya
 
Reactions: R.K
. Mtu mwingine naye alimwona nyoka akipita njiani, akajishika kwa nguvu mkono kwenye wrist, nyoka hakuweza kusogea hata inchi moja mpaka alipouliwa.
[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]hilo nimelishuhudia pia
Haya maajabu Kitu gani kinafanya ashindwe kusogea?
 
Mkuu sijaelewa.. Huwa anatofautishaga ngozi nyengine na nini?
Kuna article nilisoma kwamba mbwa hawezi kutifautisha rangi za ngozi ya chatu, hivyo akimuona chatu hubaki anashangaa kwa muda mrefu na chatu hutumia hiyo fursa kumkamata
 
Kule kwetu walitusimu kuwa chatu sbb anakula wanyama mdomo wake unaharufu kali za nyama. Kwa hiyo anapopanua mdomo Ile harufu inamvutia mbwa na kuifuata.
 
Ukiwaeleza habari hii ya wali kunukia porini watu hawaelewi kabisa
 
Nataka nifanye utafiti naweza kupata dawa bora sana ya mvuto hasa kwa madomo zege na akina dada wanaosaka ndoa... Shida ni kwamba inaweza kuwa zana bora kabisa kwa matapeli na machangu[emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144]
"Off Label Use" ktk madawa ya kizungu unaifahamu Mshana Jr? Mambo ya kawaida hayo mkulu!

Bazazi
 
I think this makes sense
 
Hii kitu niliambiwa na wazee wangu enzi hizo, sijui ina ukweli gani
Ni kweli kabisa mkuu. Nimeshudia kabisa. Sisi kwetu zamani kulikuwa na nyoka hatari. Siku tuko shule,kulikuwa na poli kubwa la shule,tumeshuhudia hayo makitu,nyoka akijivua gamba ndio unasikia harufu ya wali
 
Binafsi sijakutana na any scientific explanation kama hilo lipo.
Nimeona video clips kadhaa nyoka kadakwa na chatu na anajaribu kujinasua.
Mbwa wanajulikana for their good sense od smell lakini in principle hawawezi kusense uwepo wa nyoka!
Nahisi events za kujipeleka ni tunda la mbwa kuwa curious! Mwishowe anadakwa kiulaini.
Curiosity na sense of smell hupishana sana kati ya breeds za mbwa!
Ninachojua mbwa wanakula sana nyama ya chatu. More than once imetokea shambani kwangu. Lakini kwanza chatu aliyeuwawa hubabuliwa kwenye moto na kuchoma ngozi yake. Baada ya hapo mbwa hulishwa mapande
Nadhani ni eneo la kufanya utafiti
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]umeniongezea kitu
 
Video ilikuwa maarufu kwakuwa si kawaida kwa mbwa kuweza kufanya kitendo kama kile... Tuliowahi kwenda maporini na misituni tunajua hili....
Mshana na hili la nyoka kumwogopa mama mjamzito limekaaje? Maana hii habari si ngeni kule kwetu na wazee wsnasemsa kabisa kukiwa n nyoka ndani kama kunamjamzito mpeni kazi ya kuua huyo nyoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…