SuperHb
JF-Expert Member
- Mar 21, 2016
- 897
- 697
Kuna MTU ana shida ya ngozi anatokewa na kipele kidogo kwenye ngozi baada ya Muda kidogo kinabadilika kinakuwa kikubwa kiasi chenye majimaji NDANI yake, akikitumbua kinapona baada ya Muda mfupi.
BAADAE kinaibuka sehemu nyingine. Kila akitimbua. Kesho yake kinaibuka sehemu nyingine.
MSAADA WENU WA muhimu Sana.ASANTE
BAADAE kinaibuka sehemu nyingine. Kila akitimbua. Kesho yake kinaibuka sehemu nyingine.
MSAADA WENU WA muhimu Sana.ASANTE