Chizoba_CzB
Member
- Dec 13, 2019
- 86
- 98
Salama ndugu zangu hope mko salama nipo poa tu shukuru Mungu kwa Uhai na huku tukimwomba atoondolee hili janga la Corona maana tupo katika kipindi kigumu sana hasa ukiangalia na mzunguko wetu wa kazi zetu zilivyo.
Kama kawaidaaa niliplan kuingia Ngorongoro mwaka huu kwenda kusafisha macho kidogo na kujifunza mambo mengine nimefanikiwa kuingia Ngorongoro na kiukweli Adventure yangu ilikuwa poa sana na nmeenjoy sana ni sehemu poaa sana kama unapanga kuiyembelea basi najua hutajutia .
So napenda kushare picha chache nilizopiga nikiwa Ngorongoro Crater kama sehemu ya kupeana ujuzi,kushare picha zako,na kubadilishana mawazo.
Picha zote nimepiga kwa simu na kuedit kwa simu
"Chizoba" *As Long As You Live Anything Can Happen*
Kama kawaidaaa niliplan kuingia Ngorongoro mwaka huu kwenda kusafisha macho kidogo na kujifunza mambo mengine nimefanikiwa kuingia Ngorongoro na kiukweli Adventure yangu ilikuwa poa sana na nmeenjoy sana ni sehemu poaa sana kama unapanga kuiyembelea basi najua hutajutia .
So napenda kushare picha chache nilizopiga nikiwa Ngorongoro Crater kama sehemu ya kupeana ujuzi,kushare picha zako,na kubadilishana mawazo.
Picha zote nimepiga kwa simu na kuedit kwa simu
"Chizoba" *As Long As You Live Anything Can Happen*