Ngoromiko (Jini mrefu aonekanaye usiku)

Ngoromiko (Jini mrefu aonekanaye usiku)

Wakati nakua huko nyumbani (arusha) nilikuwa nasikia story za kutisha kuhusu kiumbe kiitwacho ngoromiko
Wasifu wa ngoromiko
Mrefu sana
Huonekana mara nyingi usiku tuu
Huwasha taa mara Moja na kuzima taa hiyo inasemekana ipo kwenye paji lake la uso.
Mwili wake umegawanyika mara mbili upande ngumu kama chuma na nusu ni kama binadamu
Je umewahi kusikia kitu kuhusu kiumbe hiki tuambie
Mku umenikumbusha kipindi nasoma Lyamungo tulikuwaga Siku za week end tunaenda Narumu tunarudi usiku mkubwa na Yukawa tuna a visa juu ya huyu ngoromiko.
 
Wakati wa kwenda kulima na ng'ombe mbugani alfajili yamesumbua mno.linaweza murika umbali km10,ndan ya sekunde linamurika umbali km3.lakini wakongwe wanakuambia achana nayo hayo.
Mbuga ya Tenende/Kasala na Katembo yamesumbua sana.
Majuzi nimeenda msibani,ile nakatisha shule ya Tenende kwa mbele kabisa nikaona mwanga,ilikuwa saa saba usiku... Wife akaanza kuogopa.
 
Mbuga ya Tenende/Kasala na Katembo yamesumbua sana.
Majuzi nimeenda msibani,ile nakatisha shule ya Tenende kwa mbele kabisa nikaona mwanga,ilikuwa saa saba usiku... Wife akaanza kuogopa.
Aisee hatari sana
 
Majuzi nimeenda msibani,ile nakatisha shule ya Tenende kwa mbele kabisa nikaona mwanga,ilikuwa saa saba usiku... Wife akaanza kuogopa.
Hilo dubwana huwa halina shida sana na hizo huwa ni mbwembwe flani kukupa taarifa kuwa lipo eneo hilo.

Hila sasa ukutane nalo likiwa na hasira za kunyang'anywa hawala time hiyo unaweza kuganda kwenye joto au kutokwa na jasho kwenye baridi kali.

Mzee mmoja jirani aliwahi shuhudia vita yao yakichapana ila omba yasikuone yanapokuwa kwenye mpambano, eitha upikwe mzima mzima au wakugawane kila familia zao zipate kitoweo ambacho ni nyama yako 😂!.
 
Wakati nakua huko nyumbani (arusha) nilikuwa nasikia story za kutisha kuhusu kiumbe kiitwacho ngoromiko
Wasifu wa ngoromiko
Mrefu sana
Huonekana mara nyingi usiku tuu
Huwasha taa mara Moja na kuzima taa hiyo inasemekana ipo kwenye paji lake la uso.
Mwili wake umegawanyika mara mbili upande ngumu kama chuma na nusu ni kama binadamu
Je umewahi kusikia kitu kuhusu kiumbe hiki tuambie

Kiza hutengeneza maumbo?
 
back in the day 2006 bhana niko na jamaa mmoja anaitwa Hashimu tupo Home moshi kama mishale ya ngoma 2 tu usiku tunachota maji somewhere kuna mto yeye Hashimu akanitonya ananiambia usiangalie nyuma twende mbele kamwe usigeuke nami bila kubisha nikawa kimya naangalia mbele hapo tunapiga hatua na kukazana kuondoka pale kwenye mto.

Basi mpaka tulipo karibia home taa tunaziona ndio ananiambia ameona jini refu halina mwisho. yeye mtu wa tanga anasema amezoea kuliona huko kwao tanga sema hayadhuru zaidi ya kuogopesha tu. daaah dunia ina mengi.
 
Wakati nakua huko nyumbani (arusha) nilikuwa nasikia story za kutisha kuhusu kiumbe kiitwacho ngoromiko
Wasifu wa ngoromiko
Mrefu sana
Huonekana mara nyingi usiku tuu
Huwasha taa mara Moja na kuzima taa hiyo inasemekana ipo kwenye paji lake la uso.
Mwili wake umegawanyika mara mbili upande ngumu kama chuma na nusu ni kama binadamu
Je umewahi kusikia kitu kuhusu kiumbe hiki tuambie
Viumbe toka sayar nyingne wakija dunian mnawaita majini..bas sawa
 
Hilo dubwana huwa halina shida sana na hizo huwa ni mbwembwe flani kukupa taarifa kuwa lipo eneo hilo.

Hila sasa ukutane nalo likiwa na hasira za kunyang'anywa hawala time hiyo unaweza kuganda kwenye joto au kutokwa na jasho kwenye baridi kali.

Mzee mmoja jirani aliwahi shuhudia vita yao yakichapana ila omba yasikuone yanapokuwa kwenye mpambano, eitha upikwe mzima mzima au wakugawane kila familia zao zipate kitoweo ambacho ni nyama yako !.

Umenichekesha sana
 
Huo msamiati wa 'Ngoromiko' niliusikia shuleni Old Moshi. Wabwana-wadogo walimpachika jina mwalimu fulani, vile wasivyokuwa na adabu.
 
Nishawahi kuonana naye. Siku moja mida ya saa nane usiku tulienda kuteka maji,sababa bomba la maji lilikuwa moja kwenye eneo tuliloidhi so watu walikuwa wanachota hadi maji yanakauka. So tukawa tunateka usiku wa manane
Basi bwana ili ufike bombani lazima upite shuleni na kuna msitu wa miti mingi sana. Akai tunatembea nikaona tunafuatwa na mtu ana kanzu. Kwy miti mifupi anakuwa mfupi na miti mirefu anarefuka kulikuwa na mbalamwezi haikuwa shida kumwona.
Tulishaambiwa kitambo ukimwona usijaribu kukimbia wala kumsema kwa mwenzako kwamba umemwona, na usijatibu kumkimbia ukifanya hivo kamwe hautafika unakoenda hata km umebakiza mita mia.
Basi nikauchuna, kumbe kila mtu aliona.
Sababu stori zilikatika gafla tukawa kimya. Nashukuru tulifika salama home bila tatizo. Ndo tukasimuliana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom